Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Nitakuunga na top mwenyewe utakyla mema balaa lkn usiwe nchoyo unikumbuke😅Ubaya wa hiyo tasisi unaweza kwenda apply ukaishia kuwa mtumishi wa ngazi za chini[emoji1787][emoji1787]hiyo sitaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakuunga na top mwenyewe utakyla mema balaa lkn usiwe nchoyo unikumbuke😅Ubaya wa hiyo tasisi unaweza kwenda apply ukaishia kuwa mtumishi wa ngazi za chini[emoji1787][emoji1787]hiyo sitaki
Boss wangu usiyafanye maisha kuwa magumu kiasi hiki aisee!Pia Freemason wanawaingiza mkenge bila kujijua kupitia whatsapp, Twitter, paypal, mastercard, western union, crypto currency, KFC, McDonald's, Emirates, Lufthansa, Qatar airways, tinder, ebay, Amazon, Microsoft, Western Union, Mpesa, EPL, UEFA, Pepsi, coca-cola, NBA, Nike, puma, Addidas, Disney, WarnerBroz, Hollywood, LGBT, women rights, internet,Tesla, Nasa
Huyo ni alhaji mswalihina jina. Nchi za kiislam zinetuma timu hukoKama nimeghaili kwenda kwenye appointment yamaana kisa mechi ya ufunguzi wewe ni nani unizuie? Ulokole wako kahubirie ndugu na jamaa wanaokuzunguka.
Sio kwamba utangulie wewe ndio ndio unipe uzoefu mimi[emoji849][emoji849][emoji849]Nitakuunga na top mwenyewe utakyla mema balaa lkn usiwe nchoyo unikumbuke[emoji28]
Hahaha muoga kama nini.Sio kwamba utangulie wewe ndio ndio unipe uzoefu mimi[emoji849][emoji849][emoji849]
Usiwe serious saaana na hii JF hadi kuhemkwa na matusi wewe Mvaa kobazi kisa tu dini tena ulizoletewa. Mbona kuna Mtu kanasibisha mada hii na Kwa Mwamposa, umeona yeyote hapo aliyejaa upepo kama wewe [emoji848][emoji847]wavaa kobazi wali kubikiri akapata mimba nawaka goma kukuoa mke wapili nini?Mana kila hoja lazima uwataje
Umesahau kuitaja CCM mkuuPia Freemason wanawaingiza mkenge bila kujijua kupitia whatsapp, Twitter, paypal, mastercard, western union, crypto currency, KFC, McDonald's, Emirates, Lufthansa, Qatar airways, tinder, ebay, Amazon, Microsoft, Western Union, Mpesa, EPL, UEFA, Pepsi, coca-cola, NBA, Nike, puma, Addidas, Disney, WarnerBroz, Hollywood, LGBT, women rights, internet,Tesla, Nasa
Umesahau JAMII FORUMPia Freemason wanawaingiza mkenge bila kujijua kupitia whatsapp, Twitter, paypal, mastercard, western union, crypto currency, KFC, McDonald's, Emirates, Lufthansa, Qatar airways, tinder, ebay, Amazon, Microsoft, Western Union, Mpesa, EPL, UEFA, Pepsi, coca-cola, NBA, Nike, puma, Addidas, Disney, WarnerBroz, Hollywood, LGBT, women rights, internet,Tesla, Nasa
Hata Smart phone ni ufreemasoni huwezi wakwepaLeo kombe la dunia linaanza. Nawatahadharisha msiangalie. Ni mbinu za shetani kupitia Freemason kuwaingiza mkenge. Chukueni hii tahadhari seriously kuepukana na sintomfaham siku ya kiyama.
kafie mbele. unawashwa nini sasa? mkiongelea mambo yenu msiweke zihaka kwenye dini.Usiwe serious saaana na hii JF hadi kuhemkwa na matusi wewe Mvaa kobazi Lisa tu dini tena ulizoletewa wewe! Mbona kuna Mtu kanasibisha mada hii na Kwa Mwamposa, umeona yeyote hapo aliyejaa upepo kama wewe [emoji848][emoji847]
Hata dampo ni freemason labda akaishi poriniUmesahau pia hiyo device (simu or laptop) navyo ni vyombo vya Freemasons so, wacha kivitumia katupe kwa dampo[emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]weee nisije nikawa mimi ndio kafara yenyeweHahaha muoga kama nini.
Ebu shushia maji ya bariiiidi kwanza Ndugu kisha jipige mara tatu kifuani ukisema walaaniwe waliotuletea dini zinazotutenganisha sisi kwa sisi wa-TZ Taifa la UPENDO, UMOJA na MSHIKAMANO...[emoji38]kafie mbele. unawashwa nini sasa? mkiongelea mambo yenu msiweke zihaka kwenye dini.
Wewe hapa umekujaje?Pia Freemason wanawaingiza mkenge bila kujijua kupitia whatsapp, Twitter, paypal, mastercard, western union, crypto currency, KFC, McDonald's, Emirates, Lufthansa, Qatar airways, tinder, ebay, Amazon, Microsoft, Western Union, Mpesa, EPL, UEFA, Pepsi, coca-cola, NBA, Nike, puma, Addidas, Disney, WarnerBroz, Hollywood, LGBT, women rights, internet,Tesla, Nasa
kwahio TZ dini yetu niipi ukiacha zakuletewa?Ebu shushia maji ya bariiiidi kwanza Ndugu kisha jipige mara tatu kifuani ukisema walaaniwe waliotuletea dini zinazotutenganisha sisi kwa sisi wa-TZ Taifa la UPENDO, UMOJA na MSHIKAMANO...[emoji38]