wavaa kobazi wali kubikiri akapata mimba nawaka goma kukuoa mke wapili nini?Mana kila hoja lazima uwatajeWavaa kobazi bana utawajua tu, wewe Qatar wavaa kobazi mahili wamekubali kombe la dunia wewe nani hadi upinge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wavaa kobazi wali kubikiri akapata mimba nawaka goma kukuoa mke wapili nini?Mana kila hoja lazima uwatajeWavaa kobazi bana utawajua tu, wewe Qatar wavaa kobazi mahili wamekubali kombe la dunia wewe nani hadi upinge
Ze bulldozer 😄Kazi ya mwamposaa....
Pia Freemason wanawaingiza mkenge bila kujijua kupitia whatsapp, Twitter, paypal, mastercard, western union, crypto currency, KFC, McDonald's, Emirates, Lufthansa, Qatar airways, tinder, ebay, Amazon, Microsoft, Western Union, Moesa, EPL, UEFA, Pepsi, coca-cola, NBA, Nike, puma, Addidas, Disney, WarnerBroz, Hollywood, LGBT, women rights, internet,Tesla, Nasa
[emoji16][emoji16][emoji16]Hii nchi hata ukitaka kwenda kunya utaambiwa usiende freemason huyo anakuita.
Kuna watu wako siriaz sana hawaelewi kitu utani🤣🤣changamsha genge hii
Ohooo njoo nikuelekeze namna ya kuingiziwa mzigo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] me twitter na WhatsApp natumia kama nimeingizwa kuwa mwanachama mbona kwenye account yangu sioni mtonyo wowote? AU NDIO NITUMI AFUTATU YA KUJIUNGA
Kitinkuu ni hatari mkuu hapo singidaSasa Coca-Cola na hili jua la Kintinku nikipata ya baridi naichaje mkuu[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
Hivi hawatuingizi mkenge kupitia kupumua? Nataka kujua ili nichukue tahadhari mapema..!!Pia Freemason wanawaingiza mkenge bila kujijua kupitia whatsapp, Twitter, paypal, mastercard, western union, crypto currency, KFC, McDonald's, Emirates, Lufthansa, Qatar airways, tinder, ebay, Amazon, Microsoft, Western Union, Mpesa, EPL, UEFA, Pepsi, coca-cola, NBA, Nike, puma, Addidas, Disney, WarnerBroz, Hollywood, LGBT, women rights, internet,Tesla, Nasa
Ha ha haa,huenda yupo sahihi lakini ndo yupo kwenye mfumo anataka tusifanye yote hayo....tutaishije sijui😂😂Daaah mkuu uko sawa kweli mbona usiende nyumbani upumzike kidogo.
Bila shaka mtoa mada ni mvaa kobazi[emoji23][emoji23][emoji23]kweli upako umekuingia mkuu upo kanisa gani na sisi tuje!
Ubaya wa hiyo tasisi unaweza kwenda apply ukaishia kuwa mtumishi wa ngazi za chini[emoji1787][emoji1787]hiyo sitakiOhooo njoo nikuelekeze namna ya kuingiziwa mzigo
Pia Freemason wanawaingiza mkenge bila kujijua kupitia whatsapp, Twitter, paypal, mastercard, western union, crypto currency, KFC, McDonald's, Emirates, Lufthansa, Qatar airways, tinder, ebay, Amazon, Microsoft, Western Union, Mpesa, EPL, UEFA, Pepsi, coca-cola, NBA, Nike, puma, Addidas, Disney, WarnerBroz, Hollywood, LGBT, women rights, internet,Tesla, Nasa
Anaweza akawa sawa ila hayupo sahihi.He's okay but not right!😂😂Daaah mkuu uko sawa kweli mbona usiende nyumbani upumzike kidogo.
Shida ni kuwa hujui kujenga hoja. Elezea watu wanaingizwaje mkenge ili wakuelewe.Leo kombe la dunia linaanza. Nawatahadharisha msiangalie. Ni mbinu za shetani kupitia Freemason kuwaingiza mkenge. Chukueni hii tahadhari seriously kuepukana na sintomfaham siku ya kiyama.