Msiba gani ulikugusa sana kati ya Mafisango, Kanumba na Magufuli?

Msiba gani ulikugusa sana kati ya Mafisango, Kanumba na Magufuli?

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,219
Reaction score
4,608
Vyote vilikuwa ni vifo vya ghafla sana. Mafisango alifariki kwa ajali ya gari, Kanumba kwa kubamizwa ukutani na Magufuli kwa mshituko wa moyo.

Hawa wote walikuwa ni majabali kwenye fani zao.

Mafisango alikuwa gwiji wa soka, Kanumba ni manju wa maigizo na Magufuli rais wa nchi.
 
Msimba ulionipa Goosebumps ulikuwa wa Magufuli.


Msiba huu ulinifanya kutafakari kitu kinaitwa time and space .

Muda na nyakati- kuwa katika muda watu humpatia MTU utukufu ambao sio wake Ila katika nyakati (space) MTU hupewa sifa Kutokana na alichofanya.

Rip All.
 
Vyote vilikuwa ni vifo vya ghafla sana. Mafisango alifariki kwa ajali ya gari, Kanumba kwa kubamizwa ukutani na Magufuli kwa mshituko wa moyo.

Hawa wote walikuwa ni majabali kwenye fani zao.

Mafisango alikuwa gwiji wa soka, Kanumba ni manju wa maigizo na Magufuli rais wa nchi.
Kimpangalio ni
1.Mafisango
2.Kanumba
3.Magu...

Yaani uliomiuma sana Ulikuwa wa Mutesa aisee PMM
 
Vyote vilikuwa ni vifo vya ghafla sana. Mafisango alifariki kwa ajali ya gari, Kanumba kwa kubamizwa ukutani na Magufuli kwa mshituko wa moyo.

Hawa wote walikuwa ni majabali kwenye fani zao.

Mafisango alikuwa gwiji wa soka, Kanumba ni manju wa maigizo na Magufuli rais wa nchi.
msiba haupimiki uchungu, huzuni uzito au wepesi 🐒

hakuna msiba mwepesi hata kidogo, unless you are intending to hurt the families walo ondokewa na wapendwa wao specifically ulowataja 🐒
 
Vyote vilikuwa ni vifo vya ghafla sana. Mafisango alifariki kwa ajali ya gari, Kanumba kwa kubamizwa ukutani na Magufuli kwa mshituko wa moyo.

Hawa wote walikuwa ni majabali kwenye fani zao.

Mafisango alikuwa gwiji wa soka, Kanumba ni manju wa maigizo na Magufuli rais wa nchi.
Magufuli
R.I.P shujaa wetu
 
Vyote vilikuwa ni vifo vya ghafla sana. Mafisango alifariki kwa ajali ya gari, Kanumba kwa kubamizwa ukutani na Magufuli kwa mshituko wa moyo.

Hawa wote walikuwa ni majabali kwenye fani zao.

Mafisango alikuwa gwiji wa soka, Kanumba ni manju wa maigizo na Magufuli rais wa nchi.
Hakuna, wameziba mashimo yao kwisha kazi hakuna cha kuguswa hapa
 
Back
Top Bottom