Msiba kwa wanaofanya biashara ya kuagiza vitu China

Msiba kwa wanaofanya biashara ya kuagiza vitu China

qurious

Senior Member
Joined
Jan 13, 2012
Posts
117
Reaction score
77
Poleni na majukumu kuna rafiki yangu amenipa hii habari ni kama sijaamini vile ina maana kuna utapeli mpya mjini au ni hivi nasikia 80% ya mizigo inayoingizwa na hawa wafanyabishara inaagizwa na dada mmoja anaitwa cecy akishirikiana na wifi yake Rehema na wamekuwa wakifanya hii biashara kwa muda ila safari hii pesa wamefanyia investment so wakawa wanadaiwa.

Wamekamatwa na tz watu wanasubiri mizigo yao mpk sasa nasikia walioripoti na kutoa ushahidi wa pesa zinafika 2bilion na zaidi ninachojiuliza hawa wadada wamejiamini kuliza watu kwa pesa yote hiyo?
 
Unaandika vitu hata havieleweki ni mizigo gani hio inayoagizwa China? Hao wadada wanahusika vipi kwenye kununua mzigo kwa suppliers etc pia usiseme 80% ya wafanya biashara wote wanawatumia hao watu wenu utakuwa haupo serious. Tulia andika polepole tukuelewe unawahi wapi?
 
Unaandika vitu hata havieleweki ni mizigo gani hio inayoagizwa china? hao wadada wanahusika vipi kwenye kununua mzigo kwa suppliers etc pia usiseme 80% ya wafanya biashara wote wanawatumia hao watu wenu utakuwa haupo serious. Tulia andika polepole tukuelewe unawahi wapi?
Daaah kiongozi hata mimi nimemshangaa huyo mtoa habari. Hakuna anachojua zaidi ya kupotosha. Eti 80% wanaagiza kwa huyo dada.
Nchi hii uhuru umezidi mnooo.
 
Unaandika vitu hata havieleweki ni mizigo gani hio inayoagizwa china? hao wadada wanahusika vipi kwenye kununua mzigo kwa suppliers etc pia usiseme 80% ya wafanya biashara wote wanawatumia hao watu wenu utakuwa haupo serious. Tulia andika polepole tukuelewe unawahi wapi?
Ndo tatizo ya habari za kuambiwa ndugu ni hivi kuna wimbi kubwa limeibuka la wafanyabishara kufungua group za whatsup na kusema wanaagiza mizigo China kwa bei rahisi na kumbe wao kuna mtu anawaagizia na huyo mtu naye anaagiza kwa mtu na huyo mwingine ndo anaagiza kwa huyo Cecy so watu wengi waliopo kwenye hayo magroup unakuta wanadai mizigo ya toka mwaka jana na hawajapata hadi leo.
 
Kama ni wadada mizigo wanayoagiza itakuwa ni viwalo na nywele bandia. Tanzania inaagiza mzigo wa takribani Tshs. bilioni 236 wa viwalo kutoka China kwa mwaka.

Ukigawa kwa miezi 12 ni wastani wa Tshs. bilioni 19.6 kwa mwezi.

Tshs. bilioni 2 ni 10% tu ya hiyo.

Kwa hiyo hao wadada sio kweli kwamba wanaagiza 80% ya mzigo. Hiyo 10% ni nzito ila sio ya kutangaza taharuki kama hii uliyotangaza.
 
Kama ni wadada mizigo wanayoagiza itakuwa ni viwalo na nywele bandia. Tanzania inaagiza mzigo wa takribani Tshs. bilioni 236 wa viwalo kutoka China kwa mwaka.

Ukigawa kwa miezi 12 ni wastani wa Tshs. bilioni 19.6 kwa mwezi.

Tshs. bilioni 2 ni 10% tu ya hiyo.

Kwa hiyo hao wadada sio kweli kwamba wanaagiza 80% ya mzigo. Hiyo 10% ni nzito ila sio ya kutangaza taharuki kama hii uliyotangaza.
Watu wengine ni kuachana nao tu ...
 
Daaah kiongozi hata mm nimemshangaa uyo mtoa habari. Akuna anacho jua zaidi ya kupotosha. Eti 80% wanaagiza kwa uyo dada.
Nchi hii uhuru umezidi mnooo.

Mkuu kama hauelewi kausha tu

Wadada wengi sana wamefungua magroup ya whatsap wakidanganya watu kwamba wanaagiza mizigo
Kumbe na wao wanampa mtu mwingine hela,

Wanalia mtaani vibaya mno, wahusika hawapatikani na mizigo ni tokea March
 
Mkuu kma hauelewi kausha tu

Wadada wengi sana wamefungua magroup ya whatsap wakidanganya watu kwamba wanaagiza mizigo
Kumbe na wao wanampa mtu mwingine hela,

Wanalia mtaani vibaya mno, wahusika hawapatikani na mizigo ni tokea March
Sahihi kabisa

Nipo kwenye groups kadhaa za hivyo nachek tu watu wanavyopigwa. Mwanzo nilidhan ni group serious nikasema nijiunge. But ukichunguza ni kutapeliana tu.
 
Mkuu kma hauelewi kausha tu

Wadada wengi sana wamefungua magroup ya whatsap wakidanganya watu kwamba wanaagiza mizigo
Kumbe na wao wanampa mtu mwingine hela,

Wanalia mtaani vibaya mno, wahusika hawapatikani na mizigo ni tokea March
Afadhali hata useme ndugu ni kilio sema kila mtu analia kimya kimya, wanachofanya ni kujifanya wanatangaza bidhaa nyingine ili wakusanye pesa walipe wale waliotangulia kulipa pesa za mizigo. Hadi hapo na wenyewe watakapolipwa pesa zao.
 
Back
Top Bottom