Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heLizweni tu[emoji16][emoji16] unawezaje nunua vitu kwa watu kati kiasi hiko si bora kununua kariakoo.
Mimi sijawahi amini mtu
Naagiza mwenyewe.
Nilianza AliExpress siku nikawa mzoefu siku hizi sitaki hata kuiona.
Nikahamia Alibaba, nimeshaichoka, nikazama kule taobao, nikasituka hawana bei Rafiki, nikaingia soko la fish market lipo china wanauza used walizotumia kama unavyoona kupatana[emoji1787][emoji1787] huko sikukaa sana nikawajaribu 1688, sasa napiga huko, JD na Tmall.
Mambo safi.
Elezea basi vizuri tuelewe kumbuka na wewe mwanzo ulikuwa kipofuLizweni tu[emoji16][emoji16] unawezaje nunua vitu kwa watu kati kiasi hiko si bora kununua kariakoo.
Mimi sijawahi amini mtu
Naagiza mwenyewe.
Nilianza AliExpress siku nikawa mzoefu siku hizi sitaki hata kuiona.
Nikahamia Alibaba, nimeshaichoka, nikazama kule taobao, nikasituka hawana bei Rafiki, nikaingia soko la fish market lipo china wanauza used walizotumia kama unavyoona kupatana[emoji1787][emoji1787] huko sikukaa sana nikawajaribu 1688, sasa napiga huko, JD na Tmall.
Mambo safi.
Alibaba uliacha bure tu kama unajua kuitumia vizur unapata vitu quality kwa bei nzur sana tena kuna muda kama ni mjanja bei inalingana na 1688 ila kama ukiingia kichwa kichwa ndio unapigwa bei za kariakoo.Lizweni tu[emoji16][emoji16] unawezaje nunua vitu kwa watu kati kiasi hiko si bora kununua kariakoo.
Mimi sijawahi amini mtu
Naagiza mwenyewe.
Nilianza AliExpress siku nikawa mzoefu siku hizi sitaki hata kuiona.
Nikahamia Alibaba, nimeshaichoka, nikazama kule taobao, nikasituka hawana bei Rafiki, nikaingia soko la fish market lipo china wanauza used walizotumia kama unavyoona kupatana[emoji1787][emoji1787] huko sikukaa sana nikawajaribu 1688, sasa napiga huko, JD na Tmall.
Mambo safi.
Ameandika kama anakimbizwaUnaandika vitu hata havieleweki ni mizigo gani hio inayoagizwa china? Hao wadada wanahusika vipi kwenye kununua mzigo kwa suppliers etc pia usiseme 80% ya wafanya biashara wote wanawatumia hao watu wenu utakuwa haupo serious. Tulia andika polepole tukuelewe unawahi wapi?
Naomba uweke hapa utaratibu wa kununua Moja Moja kwa mchina mzigo upoje na mfumo wa malipoHao wafanyabiashara wa ajabu sana mimi na nunua mzigo moja kwa moja kwa mchina halafu natuma hela kwa shipping agents wangu na kumlipa kwa WeChat. Ila tokea kuanza corona mzigo unachelewa sana.
Lakin ni wapuuz tu haoNdo tatizo ya habari za kuambiwa ndugu ni hivi kuna wimbi kubwa limeibuka la wafanyabishara kufungua group za whatsup na kusema wanaagiza mizigo china kwa bei rahisi na kumbe wao kuna mtu anawaagizia na huyo mtu naye anaagiza kwa mtu na huyo mwingine ndo anaagiza kwa hiyo cecy so watu wengi waliopo kwenye hayo magroup unakuta wanadai mizigo ya toka mwaka jana na hawajapata hadi leo.
Naomba ushauri Hawa mfumo wao upoje Alibaba kulipiaJiunge na Alibaba.com na ukishapata unachokitafuta safirisha kwa Silent Ocean (GSM) Namba zao za simu ni 0746 813 813 watakuelekeza! Kwa njia hii huwezi ibiwa hata kama ni kununua njiti ya kiberiti.
Tupe darasa hapaAlibaba uliacha bure tu kama unajua kuitumia vizur unapata vitu quality kwa bei nzur sana tena kuna muda kama ni mjanja bei inalingana na 1688 ila kama ukiingia kichwa kichwa ndio unapigwa bei za kariakoo.
Mimi nishakwenda china kila duka nilochukuwa mzigo wamenipa na business card zao. Kwahio ninachofanya nawasiliana nao kwenye WhatsApp tu. Wanatuma picha za bidhaa nachagua nao wanajumlisha jumla ya malipo. Lakini sasahivi nataka nijaribu kununua mzigo kwa Alibaba pia nataka kwenda India na Uturuki.Naomba uweke hapa utaratibu wa kununua Moja Moja kwa mchina mzigo upoje na mfumo wa malipo
Njia zipi unatumia ili kuwa na uhakika wa usalama wa pesa zako na mzigo
Unalipa kwa kutumia kadi yako ya Benki (debit card) na kuna Insuarance kama bidhaa haikufika unarejeshewa hela yako au ukiletewa bidhaa ambayo siyo. Ni njia ya kiungwana kabisa.Naomba ushauri Hawa mfumo wao upoje Alibaba kulipia
In fact Alibaba.com kuna viwanda na kuna wauzaji wa rejareja. Si Salama kununua moja kwa moja kupitia makampuni maana unaweza kulizwa. Vyema kupitia alibaba aliexpress etc ili uwe na uhakika kuwa hela yako ipo Salama.Mimi nishakwenda china kila duka nilochukuwa mzigo wamenipa na business card zao. Kwahio ninachofanya nawasiliana nao kwenye WhatsApp tu. Wanatuma picha za bidhaa nachagua nao wanajumlisha jumla ya malipo. Lakini sasahivi nataka nijaribu kununua mzigo kwa Alibaba pia nataka kwenda India na Uturuki.
Naomba namba zaoWale tunaoagizo mzigo kwa the late Shinzo Abe tuna comment wp?
Samahani,unaweza nitumia namba zao nami nikatumia njia yako kupata mzigo?Mimi nishakwenda china kila duka nilochukuwa mzigo wamenipa na business card zao. Kwahio ninachofanya nawasiliana nao kwenye WhatsApp tu. Wanatuma picha za bidhaa nachagua nao wanajumlisha jumla ya malipo. Lakini sasahivi nataka nijaribu kununua mzigo kwa Alibaba pia nataka kwenda India na Uturuki.
Wame upgrade sasaWazee wa tuma ya kutolea wameliamshaa
Mifumo ipo clear kwa makampuni yote:Naomba ushauri Hawa mfumo wao upoje Alibaba kulipia
Hawezi kujuwa mwenyewe wakati pesa ulimpa weweupo sahihi kuna demu nilimpa tahadhari nikamwambia kama kuagiza subiri ntakusaidia tuagize direct akachachawa na bei ya bidhaa akatuma pesa bila kunambia atajuwa mwenyewe
Hao wafanyabiashara wa ajabu sana mimi na nunua mzigo moja kwa moja kwa mchina halafu natuma hela kwa shipping agents wangu na kumlipa kwa WeChat. Ila tokea kuanza corona mzigo unachelewa sana.