Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Mtu ambae anajua maana ya biashara atahakikisha mzigo wa mtu unafika ndio afanye matumizi wengi wanaingia kichwa kichwa kutokana na kukosa ajira tu ila kusems ukweli hawajui chochoteWengi hawako knowledgeable na maswala ya biashara.
Wanatamaa ya maisha ya kujirusha na show off chungu nzima [emoji108][emoji108] kwa kutumia hela za watu .
Hawajui hata jinsi ya kufanya risks profiling
Hapana hujanifahamu mimi kuna agent wana ofisi yao ipo hapa na china. Wao ndio huwapa hela na wao ndio huwalipa hao wachina kwa kutumia WeChat mimi sina hio wechat. Nategemea umenifahamu vyemaUnafanikiwa vipi sajili n we chart payment ukifika china mkuu ukafungua akaunti or manake wanasheria sana Hawa viumbe
Mifumo ipo clear kwa makampuni yote:
1.Unaongea na shipping agent mfano Mapembelo, GNM cargo, silent ocean, Unique, shamwaa, Faith Royal cargo nk utachagua wewe moyo wako unapoangukia then watakupa ADDRESS YAO YA CHINA, hyo address utaicopy kama ilivyo.
2. Utaenda Alibaba, madeinchina, 1688 hao wote ni wauzaji wa jumla, utachagua bidhaa unayotaka utarequest alaf muuzaji atakujibu na utamuuliza maswali yote unayoona kwako ni sahihi kama sizes, color, quality, pia unaweza kumuomba akutumie real picture/video.
3.Utakubalina na supplier bei kama ukiridhia bei aliokutajia na mmenegotiate mpaka mkaafikiana atakuomba ADDRESS YA CHINA ili iwe rahisi na kuokoa gharama ya shipping then hile address ulioCOPY kwa shipping agent ndio utampa alaf yeye atakupa gharama ya shipping kutoka kiwandani/warehouse yao mpaka kwa shipping agent wako, hyo bei itajumuishwa kwenye gharama ya bidhaa yako.
4. Kama ni bei ndogo mfano chini ya $500 unaweza kutumia VISACARD ya voda kama huna card ya Bank inayoruhusu transaction online then utalipia kazi itabak yeye kuship kwenda kwa agent wako, ila kam ni mzigo mkubwa sana huwa wanataka 50-60% ya malipo alaf wao wanaanza kuprocess mfano kama ni order ya kiwandani ukilipa hyo wataanza kukutengenezea kutokana na makubaliano yenu wakimaliza utamalizia alaf wanakusafirishia kama taratibu za bidhaa zingne ndogo ndogo.
Jitahidi sana kuongea na supplier ili ujue muda atakaotumia mpaka mzigo wako unafika kwa shipping agent ili nawewe uendane na timetable za meli.
5. Baada ya taratibu hzo kukamilika na mzigo kufika kwa shipping agent wako kazi itakuwa imebaki kwa agent wako kukusafirishia kuja Tanzania kama ni kwa meli huwa inachukua siku 30-45 mpaka kupokea mzigo wako japo wapo wengne wanachelewesha sana mizigo.
Agent wako atakupa gharama ya mzigo wako ili ujiandae mapema pale mzigo unapofika uweze kulipia na kwenda kwenye ofisi zao kuchukua.
Meli wanapina kwa CBM (Cubic meter) ila ndege mizigo yote inapimwa kwa KG.
Pia inakuwa vizur kuomba Supplier wako wa kichina kukupa makadirio ya CBM u Uzito wa bidhaa yako ili upige hesabi zako kama utapata faida au Maana unaweza ukajikuta umeingia hasara so lazma uwe makini hapo.
Mambo mengine namna ya kumchagua supplier wadau wengne wataongezea maana mambo ni mengi hatuwez kumaliza kwa article moja labda ningekuwa kwenye computer ningeiandaa vizur zaid.
Karibuni kwenye ulimwengu wa digitali ambao unaagiza mzigo china na unapambana bei na wauzaji wa jumla kariakoo.
Unaagiza Nini mkuuHao wafanyabiashara wa ajabu sana mimi na nunua mzigo moja kwa moja kwa mchina halafu natuma hela kwa shipping agents wangu na kumlipa kwa WeChat. Ila tokea kuanza corona mzigo unachelewa sana.
NguoUnaagiza Nini mkuu
Hao shipping Agent wa bongo almost wote wanakamilisha kila kitu mfano wakikwambia CBM moja ni $400 na mzigo wako ni 0.06CBM basi utalipia $24 tu yaan hapo kila kitu.Umeiweka vizuri sana. Kuna kodi zozote mzigo ukifika??
Duuuh, nlitaka kununua kiwanja kupitia hayo makampuni nimeshtuka.Ndo wanaoharibu biashara za watu hao leo online wote uonekana ni DECO. Sijui kwann wabongo hawapo serious na life, uona ni bora apige sh 200 ya leo aache elf 10 ya kesho.
Kuna mtu katupiga zaidi ya bilioni moja jumla ya watz 200 Dodoma, Dar na Arusha Mimi amenipiga milioni 6 wengine hadi milioni 30 hizi hizi kampuni za kuuza viwanja vya kulipa kwa awamu tena imesajiliwa kabisa inaitwa VKP investment mmiliki jina Yona hana hata 10 ya kutulipa, kesi ipo mahakamani mwaka wa nne huu. Yaani mtu unafika uwezo wa kuzungusha hadi bilioni moja kwenye uuzaji wa viwanja then unashindwa kuendesha kampuni pesa zinaishia kwenye chupi na chupa.
Wapo waliopata viwanja vyao wengine tumepigwa kwa kuonyeshwa viwanja wasivyomiliki yaani wanakuuzia kiwanja au Shamba kumbe mwenye Shamba awajamalizana nae unalipa pesa kampuni badala ya kumlipa mwenye eneo wao wanazipeleka kwenye starehe, chochote afanyacho mswahili kuwa makini Sana unaweza geuzwa wewe ndo fursa.
Vipo nilivyonunua kwenye kampuni na vipo poa havina migogoro kabisa,sio kampuni zote ni wahuni bali wapumbavu wachache.Duuuh, nlitaka kununua kiwanja kupitia hayo makampuni nimeshtuka.
Huyu tapeli hana tofauti na jatuNdo wanaoharibu biashara za watu hao leo online wote uonekana ni DECO. Sijui kwann wabongo hawapo serious na life, uona ni bora apige sh 200 ya leo aache elf 10 ya kesho.
Kuna mtu katupiga zaidi ya bilioni moja jumla ya watz 200 Dodoma, Dar na Arusha Mimi amenipiga milioni 6 wengine hadi milioni 30 hizi hizi kampuni za kuuza viwanja vya kulipa kwa awamu tena imesajiliwa kabisa inaitwa VKP investment mmiliki jina Yona hana hata 10 ya kutulipa, kesi ipo mahakamani mwaka wa nne huu. Yaani mtu unafika uwezo wa kuzungusha hadi bilioni moja kwenye uuzaji wa viwanja then unashindwa kuendesha kampuni pesa zinaishia kwenye chupi na chupa.
Wapo waliopata viwanja vyao wengine tumepigwa kwa kuonyeshwa viwanja wasivyomiliki yaani wanakuuzia kiwanja au Shamba kumbe mwenye Shamba awajamalizana nae unalipa pesa kampuni badala ya kumlipa mwenye eneo wao wanazipeleka kwenye starehe, chochote afanyacho mswahili kuwa makini Sana unaweza geuzwa wewe ndo fursa.
Duh we ni nomaLizweni tu[emoji16][emoji16] unawezaje nunua vitu kwa watu kati kiasi hiko si bora kununua kariakoo.
Mimi sijawahi amini mtu
Naagiza mwenyewe.
Nilianza AliExpress siku nikawa mzoefu siku hizi sitaki hata kuiona.
Nikahamia Alibaba, nimeshaichoka, nikazama kule taobao, nikasituka hawana bei Rafiki, nikaingia soko la fish market lipo china wanauza used walizotumia kama unavyoona kupatana[emoji1787][emoji1787] huko sikukaa sana nikawajaribu 1688, sasa napiga huko, JD na Tmall.
Mambo safi.
Nimefanikiwa kudownload app lakin maelekezo ya jinsi ya kununua bidhaa na nin kinafanyika mpaka isafirishwe na silent ocean nmeshindwa msaada tafadhaliJiunge na Alibaba.com na ukishapata unachokitafuta safirisha kwa Silent Ocean (GSM) Namba zao za simu ni 0746 813 813 watakuelekeza! Kwa njia hii huwezi ibiwa hata kama ni kununua njiti ya kiberiti.
Mkuu wewe unaagizaga mizigo Japan? Mimi kuna mazaga kibao yapo Japan ila napata changamoto kwenye shipping i.e kulepeka sehemu watakayonipakilia kwa LCL...unatumia njia gani?Wale tunaoagiza mzigo kwa the late Shinzo Abe tuna comment wp?
Inaonesha hujajiunga (registration) tumia email yako. Na kuhusu silent ocean wasiliana na mwakilishi wao aliye China anaitwa Janeth kwa WhatsApp +86 130 6092 2422. Mpaka hapo utafanikiwa! Ukikwama nijulishe au nieleze unatafuta nini nikupee linkNimefanikiwa kudownload app lakin maelekezo ya jinsi ya kununua bidhaa na nin kinafanyika mpaka isafirishwe na silent ocean nmeshindwa msaada tafadhali
AhsanteInaonesha hujajiunga (registration) tumia email yako. Na kuhusu silent ocean wasiliana na mwakilishi wao aliye China anaitwa Janeth kwa WhatsApp +86 130 6092 2422. Mpaka hapo utafanikiwa! Ukikwama nijulishe au nieleze unatafuta nini nikupee link
Uko sahihiMtu ambae anajua maana ya biashara atahakikisha mzigo wa mtu unafika ndio afanye matumizi wengi wanaingia kichwa kichwa kutokana na kukosa ajira tu ila kusems ukweli hawajui chochote