Msiba wa Lowassa ni gunia la misumari kwa Kikwete

Msiba wa Lowassa ni gunia la misumari kwa Kikwete

Leo nimemuona Kikwete pale kwenye msiba Monduli. Hali yake haikuwa ya kawaida kabisa na mwishowe aliondoka na sijui hata alipoenda.

Sasa sijui ilikuwa na tatizo la kiafya au ni kitu gani? Alikuwa hawezi kukaa kuwa utulivu kwenye kiti chake. Na sura yake ikionyesha kama vile alikuwa na maumivu flani.

Mwili wake ulikuwa una swing back and forth akiwa amekaa kwenye kitu. Na ni jambo ambalo naona kama alikuwa akishindwa kuji control. Baada ya muda kile kiti chake kilikuwa wazi kabla hata Rais hajaondoka. Kwasababu kiitifaki, hakuna anayeruhusiwa kuondoka kabla ya rais.
Huyo Mzee anaandamwa na laana kibao, hawezi kuwa na amani ya moyo.
 
Hakuna wakati ambapo Kikwete amesemwa vibaya na kusutwa kama wakati huu wa msiba wa Lowasa. Mzee huyu amesutwa na kuzodolewa ktk namna ambayo siyo rahisi kwa nafsi yake kukosa maumivu.

Ni kwa vile tu moyo wa mtu ni kichaka huwezi kujua unaongea nn. Lkn hata kwa kumuangalia tu anaonekana usoni kwake kapoteza nuru, furaha na bashasha. Badala yake amejaa wasiwasi, wahaka na hofu.

Nimemuangalia leo alipoinuliwa ili kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Lowasa alitembea kwa uoga na almanusura apepesuke mbele ya jeneza.

Familia ya Lowasa imewashukuru watu wengi sana lkn Kikwete hakutajwa hata kwa bahati mbaya. Yaani urafiki wake na Lowasa wakati wa ujana na uwepo wake msibani vyote vimepuuzwa. Huu ni msumari wa moto uliopigiliwa utosini kwa Kikwete.

Mwito.
Tujifunze kuishi vema na watu ili tuwe na mwisho mwema.

Kweli, familia ya Mzee Lowassa haijamtaja kabisa kabisa Mzee Kikwete, watu wengi mno wamepewa shukrani za kipekee, ila Mzee JK hata kutajwa hakuna, dah

Kikubwa cha kushukuru Mzee JK nae anajua sana uvumilivu na kulinda ulimi wake..!!
 
Leo nimemuona Kikwete pale kwenye msiba Monduli. Hali yake haikuwa ya kawaida kabisa na mwishowe aliondoka na sijui hata alipoenda.

Sasa sijui ilikuwa na tatizo la kiafya au ni kitu gani? Alikuwa hawezi kukaa kuwa utulivu kwenye kiti chake. Na sura yake ikionyesha kama vile alikuwa na maumivu flani.

Mwili wake ulikuwa una swing back and forth akiwa amekaa kwenye kitu. Na ni jambo ambalo naona kama alikuwa akishindwa kuji control. Baada ya muda kile kiti chake kilikuwa wazi kabla hata Rais hajaondoka. Kwasababu kiitifaki, hakuna anayeruhusiwa kuondoka kabla ya rais.
Mkuu, hivi umewahi kumsaliti rafiki yako, rafiki aliyejitoa maisha yake kukusaidia kwa kila namna kutimiza ndoto yako? Ni mambo ya kawaida sana kibinaadamu kusalitiana ila maumivu yake ni pale rafiki yako anapotangulia kufa na hamkuwa vizuri sana au hamkuwahi kuombana msamaha.

Kibinadamu, hata kwa kujikaza vipi, Jk hawezi kuwa na amani tena. Na inaonekana kama wale marafiki zake wote wamemtema, ulimsikia Rostam akimzungumzia Lowassa na sababu ya kuondoka kwake CCM?
 
Hakuna wakati ambapo Kikwete amesemwa vibaya na kusutwa kama wakati huu wa msiba wa Lowasa. Mzee huyu amesutwa na kuzodolewa ktk namna ambayo siyo rahisi kwa nafsi yake kukosa maumivu.

Ni kwa vile tu moyo wa mtu ni kichaka huwezi kujua unaongea nn. Lkn hata kwa kumuangalia tu anaonekana usoni kwake kapoteza nuru, furaha na bashasha. Badala yake amejaa wasiwasi, wahaka na hofu.

Nimemuangalia leo alipoinuliwa ili kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Lowasa alitembea kwa uoga na almanusura apepesuke mbele ya jeneza.

Familia ya Lowasa imewashukuru watu wengi sana lkn Kikwete hakutajwa hata kwa bahati mbaya. Yaani urafiki wake na Lowasa wakati wa ujana na uwepo wake msibani vyote vimepuuzwa. Huu ni msumari wa moto uliopigiliwa utosini kwa Kikwete.

Mwito.
Tujifunze kuishi vema na watu ili tuwe na mwisho mwema.
Kafanya nini kwani Kikwete?
 
Mkuu, hivi umewahi kumsaliti rafiki yako, rafiki aliyejitoa maisha yake kukusaidia kwa kila namna kutimiza ndoto yako? Ni mambo ya kawaida sana kibinaadamu kusalitiana ila maumivu yake ni pale rafiki yako anapotangulia kufa na hamkuwa vizuri sana au hamkuwahi kuombana msamaha.

Kibinadamu, hata kwa kujikaza vipi, Jk hawezi kuwa na amani tena. Na inaonekana kama wale marafiki zake wote wamemtema, ulimsikia Rostam akimzungumzia Lowassa na sababu ya kuondoka kwake CCM?
Aisee,ila siasa bhana
 
sikia rafiki yawezekana wewe hujui,jk kwenye issue ya lowassa alifanya sawasawa na wala hana baya lolote alilofanya,sasa kuhusu haiba yake,wajihi wake,jk anaumwa kansa ya tezi dume hivi unategemea awe na nguvu vipi?,umri pia umekwenda hawezi kuwa mkakamavu,hebu tumwache jk please
Ndugu unatetea hata ambavyo havitetewi. Unakimbilia tezi dume.Ahaa!! Mpaka msoga mseme, bado!!
 
Kikwete ni rafiki wa Hayati Lowassa au familia ya Lowassa? Asiyejua maana haambiwi maana..

Kama Kikwete na Lowassa ndio walikuwa marafiki ,familia hata imtaje au isimtaje haifuti urafiki wao na pia familia ndio inatakiwa itambue ni Kikwete ndio amefanya mzee akazikwa kwa heshima hivyo Kwa sababu ya kuteuliwa Uwaziri mkuu.

Kama utaendelea kushabikia vitu vidogo vidogo na kuacha kujadili mambo makubwa tutakuwa hatuna namna zaidi ya kukupuuza
Ungejuwa Nani wamemuweka Kijwete kuwa Raise usingeandika huh uhari wako.

That was agreement, Lowasa ndiye alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya wanamtandao, anaanza Kikwete anakuja kumalizia Lowasa.

Mswahili wa Msoga amevunja mkataba, ataweweseka mpaka anaingia kaburini.
 
Maamuzi ya ukubwa wa msiba ule yako chini ya rais. Huo msiba umefanya kisiasa. Ndio maana shughuli nzima imefanyika kiserikali serikali. Wakati wote serikali na chama hakuna mahali wananchi walipewa nafasi ya maana.
Mnakumbuka Mengi alipokufa. Wananchi walikimbia njia nzima wakiusindikiza mwili.
Hizo hotuba zinaangaliwa mara mbili mbili kabla ya kutolewa. Mbowe hakukosea kulalamika. Ina maana hata familia yale haijui kuhusu kugombea kwake kupitia chadema?
La kujua upende usipende. Hakuna rais dunia anapenda kuzidiwa (outshinned), hata system ya kiserikali haikubali.
Mengine tuyaache yapite
 
Hakuna wakati ambapo Kikwete amesemwa vibaya na kusutwa kama wakati huu wa msiba wa Lowasa. Mzee huyu amesutwa na kuzodolewa ktk namna ambayo siyo rahisi kwa nafsi yake kukosa maumivu.

Ni kwa vile tu moyo wa mtu ni kichaka huwezi kujua unaongea nn. Lkn hata kwa kumuangalia tu anaonekana usoni kwake kapoteza nuru, furaha na bashasha. Badala yake amejaa wasiwasi, wahaka na hofu.

Nimemuangalia leo alipoinuliwa ili kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Lowasa alitembea kwa uoga na almanusura apepesuke mbele ya jeneza.

Familia ya Lowasa imewashukuru watu wengi sana lkn Kikwete hakutajwa hata kwa bahati mbaya. Yaani urafiki wake na Lowasa wakati wa ujana na uwepo wake msibani vyote vimepuuzwa. Huu ni msumari wa moto uliopigiliwa utosini kwa Kikwete.

Mwito.
Tujifunze kuishi vema na watu ili tuwe na mwisho mwema.
R.I.P Lowassa
Ila hakutakiwa kuwa Rais...God knows better
 
Leo nimemuona Kikwete pale kwenye msiba Monduli. Hali yake haikuwa ya kawaida kabisa na mwishowe aliondoka na sijui hata alipoenda.

Sasa sijui ilikuwa na tatizo la kiafya au ni kitu gani? Alikuwa hawezi kukaa kuwa utulivu kwenye kiti chake. Na sura yake ikionyesha kama vile alikuwa na maumivu flani.

Mwili wake ulikuwa una swing back and forth akiwa amekaa kwenye kitu. Na ni jambo ambalo naona kama alikuwa akishindwa kuji control. Baada ya muda kile kiti chake kilikuwa wazi kabla hata Rais hajaondoka. Kwasababu kiitifaki, hakuna anayeruhusiwa kuondoka kabla ya rais.
Inasemekana ni issue ya tezi dume
 
Back
Top Bottom