Ubovu wa lowasa upo wapi ? Mbona ndiyo kiongozi wa ccm aliyefanya kazi nzuri kabla ya jpm ?Kwa hiyo mlotaka ampe urais kisa ni rafiki yake? Thank u kikwete uliangalia maslahi mapana ya nchi kuliko kujali uswahiba nchi itumbukie shimoni japo jpm ndo alikuwa rais mbovu sana kuwahi kutokea Dunia hii