Msiba wa Lowassa ni gunia la misumari kwa Kikwete

Msiba wa Lowassa ni gunia la misumari kwa Kikwete

Kwa hiyo mlotaka ampe urais kisa ni rafiki yake? Thank u kikwete uliangalia maslahi mapana ya nchi kuliko kujali uswahiba nchi itumbukie shimoni japo jpm ndo alikuwa rais mbovu sana kuwahi kutokea Dunia hii
Anayetoa Urais siyo Kikwette bali ni kra za wananchi. Yeye kama Mwenyekiti wa CC ya CCM alihusika kupitisha majina 5 na kumkata Lowassa. Aliwaweka Bemard Membe, January Makamba, Magufuli, Migiro na Amina Salum.

Kama una akili utagundua kuwa January Makamba au Amina Salum hawakuwa na CV ya kumpita Lowassa
 
Anayetoa Urais siyo Kikwette bali ni kra za wananchi. Yeye kama Mwenyekiti wa CC ya CCM alihusika kupitisha majina 5 na kumkata Lowassa. Aliwaweka Bemard Membe, January Makamba, Magufuli, Migiro na Amina Salum.

Kama una akili utagundua kuwa January Makamba au Amina Salum hawakuwa na CV ya kumpita Lowassa
Una mana Gani? Kwamba akina makamba hawana elimu ya kutisha kumpita lowasa? Kwanza lowasa kasoma fine arts.
 
Makosa mawili hayafanyi sahihi moja.

Ukimfanyia dhulma aliyewahi kuwafanya dhulma wengine tena inawezekana mlikuwa wote Kuna shida gani?

Tunawaita Boyz 2 Men walikuwa pamoja kwenye harakati zao, dhulma ngapi wamewafanyia watanzania kwenye harakati zao? au hapa yupo JK peke yake, EL na RA hawapo.
 
Hata akiumwa kuishi miaka 70+ na ukiwa raisi mstaafu ni zawadi.
Kwanza mwenyewe wakati ule alisema ndiyo ilikuwa inaanza na saratani ikiwa hatua za awali inatibika na kupona kabisa na hivyo ndivyo alivyofanya alifanyiwa upasuaji na ikaondolewa kabisa tokea wakati ule hajawahi kusema tena kama tatizo limerudi sasa yeye kapata wapi habari za ugonjwa! Kwamba yeye ni mkewe au daktari wake?
 
Anayetoa Urais siyo Kikwette bali ni kra za wananchi. Yeye kama Mwenyekiti wa CC ya CCM alihusika kupitisha majina 5 na kumkata Lowassa. Aliwaweka Bemard Membe, January Makamba, Magufuli, Migiro na Amina Salum.

Kama una akili utagundua kuwa January Makamba au Amina Salum hawakuwa na CV ya kumpita Lowassa

EL hakuwa na CV kubwa kumpita BCM, Experience na exposure yake ni kwenye utumishi wa umma ambavyo bado haviwezi kujustify una akili kuliko kijana mdogo mwenye umri sawa na mwanao.
 
Kosa la JK ni kumzidi akili swaiba wake, ndio hichi tunachoita unafiki, tukifunuliwa vita ya gizani baina yao na ilipoanzia wote tutabaki midomo wazi.

Tumuache marehemu apumzike, tubaki tukimuombea na sio kumchonganisha na watu, watu wakianza kufunua midomo na kuzungumza mtawaona wabaya pia.

JK ni mtu wa Pwani na muislamu pia, dini na tamaduni zao haziruhusu kumzungumzia marehemu zaidi ya kumuombea tu.
 
Ungejuwa Nani wamemuweka Kijwete kuwa Raise usingeandika huh uhari wako.

That was agreement, Lowasa ndiye alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya wanamtandao, anaanza Kikwete anakuja kumalizia Lowasa.

Mswahili wa Msoga amevunja mkataba, ataweweseka mpaka anaingia kaburini.
Ujinga ni sawa na gunia la msumari kichwani ,ukilibeba muda wowote unapata matatizo naona na wewe umeanza kupata matatizo.

Kwanza ,futa hiyo Dkt. kwenye jina lako maana unadhalilisha elimu. Baada ya kufuta huo udokta ndio tuanze kujadili kwa kina.

Hakuna mahali popote na wakati huo wowote katika historia ya Taifa inapoonesha Kuna Rais aliyechaguliwa kulikuwa na makubaliano maalumu ya kuachiana nchi yakafanikiwa au Rais aliyepo madarakani alifanikiwa kumuweka mtu wake madarakani.

Tukianza na utawala wa Mwalimu Nyerere, Mwalimu alimpenda sana Mzeee Salim lakini hakufanikiwa kumuachia nchi na hilo likaendelea mpaka Kwa mzee Kikwete Kwa hiyo hakuna mwenye huo uwezo hata kama anatamani iwe hivyo.

Sasa wewe unapokuja na hekaya za kuachiana nchi kama kuachiana nchi ni kama kuachiana chakula mezani tunashindwa kujua uwezo wako wa kutafakari
 
Kwanza mwenyewe wakati ule alisema ndiyo ilikuwa inaanza na saratani ikiwa hatua za awali inatibika na kupona kabisa na hivyo ndivyo alivyofanya alifanyiwa upasuaji na ikaondolewa kabisa tokea wakati ule hajawahi kusema tena kama tatizo limerudi sasa yeye kapata wapi habari za ugonjwa! Kwamba yeye ni mkewe au daktari wake?
Itakuwa tu ni tamaa ya kuona mabaya yanamkuta JK ila katika uhalisia hakuna la ugonjwa atakalokutana nalo JK lishtue sana watu sababu uzee umeshamfikia.
 
Tushike lipi si wanasema bila Mkapa jpm asingekua Raisi sasa jk analaumiwa kwa lipi
Kama alivyosema mdau mmoja hapo juu, hiki kiumbe kiitwacho 'binadamu' kiache kama kilivyo....utachanganyikiwa.

Kila mtu mbeleko yake ya kukimbilia kupata umaarufu katika msiba huu ni kikwete!! Minafiki halisi iliyomalizia hela zake lowassa imetulia kimyaaa sababu imepata mtu anayebebeshwa madhambi yao...naye si mwingine bali ni kikwete.
Ikitokea ikiona inataka kushtukiwa kimya chao basi inajitokeza kupiga msumari kwa mnyonge wao walioamua kumbebesha kila kitu chao kibaya......nae ni jk.

Aisee jk ana moyo na busara na subra huyu mtu aisee!! Dah. M/Mungu amlinde zaidi.
 
Back
Top Bottom