Hahahauahaaaa!Tuachane na ubishi turudi kwenye uhalisia na turudi 2005 ,ushawishi ule wa JK ulitengenezwa na Lowassa ? Najua hii ni stori ya kijiweni ambayo mpaka kesho inasemwa hivyo
Yaani ikifika hapo mi ndo nawapuuuza kabisa hawa haters wa jk, kiukweli kuna ratizo mahali katika bongo za watz......?.'elimu, elimu, elimu' kama alivyowahi kusema mwendazake!