Msiba wa Lowassa ni gunia la misumari kwa Kikwete

Msiba wa Lowassa ni gunia la misumari kwa Kikwete

ndio maana hata familia pale haijamshukuru wala kumtaja, pamoja na kwamba alishawahi kuwa waziri mkuu kwenye utawala wake na wametoka naye mbali tangu ujanani. you know hwy?
 
ila yeye alimpigania akaupata uraia kwasababu ni rafiki yake, na alitumia hadi pesa yake ya mfukoni wakati huo msoga hakuwa na mihela waliyo nayo sasaivi. sema mwanadamu akipata huwa anasahau alikotoka.
Urais hauko hivyo. Hata lowasa alikosea Sasa huwezi kufanya makosa juu ya makosa. Urais siyo hisani
 
Lowasa alifanya kazi nzuri , kanda ya ziwa wanamkumbuka kwa kutatua tatizo la maji,uanzishwaji shule za kata , alisimamia ujenzi wa taasisi ya moyo muhimbili, mloganzila, udom nk
Nadiriki kusema Tz tungeongozwa na Masai sokoine au lowasa tungekuwa mbali sana kimaendeleo .
Hawa ni watu wa maamuzi magumu .
Sema ccm na serikali ilifanya hayo siyo lowasa. Lowasa alikuwa msimamizi tu
 
sikia rafiki yawezekana wewe hujui,jk kwenye issue ya lowassa alifanya sawasawa na wala hana baya lolote alilofanya,sasa kuhusu haiba yake,wajihi wake,jk anaumwa kansa ya tezi dume hivi unategemea awe na nguvu vipi?,umri pia umekwenda hawezi kuwa mkakamavu,hebu tumwache jk please


Yani wewe ulimpima ukajua ana tezi dume au alikushirikisha?
 
Hakuna wakati ambapo Kikwete amesemwa vibaya na kusutwa kama wakati huu wa msiba wa Lowasa. Mzee huyu amesutwa na kuzodolewa ktk namna ambayo siyo rahisi kwa nafsi yake kukosa maumivu.

Ni kwa vile tu moyo wa mtu ni kichaka huwezi kujua unaongea nn. Lkn hata kwa kumuangalia tu anaonekana usoni kwake kapoteza nuru, furaha na bashasha. Badala yake amejaa wasiwasi, wahaka na hofu.

Nimemuangalia leo alipoinuliwa ili kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Lowasa alitembea kwa uoga na almanusura apepesuke mbele ya jeneza.

Familia ya Lowasa imewashukuru watu wengi sana lkn Kikwete hakutajwa hata kwa bahati mbaya. Yaani urafiki wake na Lowasa wakati wa ujana na uwepo wake msibani vyote vimepuuzwa. Huu ni msumari wa moto uliopigiliwa utosini kwa Kikwete.

Mwito.
Tujifunze kuishi vema na watu ili tuwe na mwisho mwema.
Heshima aliyopata ni kwasababu ya Kikwete. Lowassa alikuwa mwizi asiyeshiba ulitaka aachwe? Yeye si wa kwanza kujiuzulu hata Warioba alipigwa chini. Rais ndiye mkuu wa nchi
 
Lowasa ndio alifanya kikwete kuwa raisi usisahau hilo

Kivipi?!!! [emoji38][emoji38][emoji38] hivi wewe ulikuwepo wakati mkapa anagombea u Rais unajua alichuana na nani?!!! Na alikua wa ngapi baada ya mkapa?!!
Itakua ulizaliwa juziii..
LOWASSA ZAIDI YA URAFIKI WAO NA KIKWETE HAKUMSAIDIA KUA RAIS, kikwete nyota yake ilishang’aaa hakukua wa kumstopisha..
Lowassa na wengine wote walikua ni wapambe wa kikwete upo!!!
 
ndio maana hata familia pale haijamshukuru wala kumtaja, pamoja na kwamba alishawahi kuwa waziri mkuu kwenye utawala wake na wametoka naye mbali tangu ujanani. you know hwy?
Kama ulisikia hotuba ya Chegeni kule kanisani Azania na shangwe alizopigiwa na watu wote pamoja na wanafamilia, na leo ameitwa mwanafamilia. Lakini pia Bashe aliyemtemea nyongo Jk baada ya kumkaribisha tena Lowassa ndani ya CCM anavyopendwa na familia. Utaelewa familia inavyomchukulia swahiba wa zamani wa marehemu.
 
Hakuna wakati ambapo Kikwete amesemwa vibaya na kusutwa kama wakati huu wa msiba wa Lowasa. Mzee huyu amesutwa na kuzodolewa ktk namna ambayo siyo rahisi kwa nafsi yake kukosa maumivu.

Ni kwa vile tu moyo wa mtu ni kichaka huwezi kujua unaongea nn. Lkn hata kwa kumuangalia tu anaonekana usoni kwake kapoteza nuru, furaha na bashasha. Badala yake amejaa wasiwasi, wahaka na hofu.

Nimemuangalia leo alipoinuliwa ili kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Lowasa alitembea kwa uoga na almanusura apepesuke mbele ya jeneza.

Familia ya Lowasa imewashukuru watu wengi sana lkn Kikwete hakutajwa hata kwa bahati mbaya. Yaani urafiki wake na Lowasa wakati wa ujana na uwepo wake msibani vyote vimepuuzwa. Huu ni msumari wa moto uliopigiliwa utosini kwa Kikwete.

Mwito.
Tujifunze kuishi vema na watu ili tuwe na mwisho mwema.
Mnafiki Jazz Band
 
Kikwete ni rafiki wa Hayati Lowassa au familia ya Lowassa? Asiyejua maana haambiwi maana..

Kama Kikwete na Lowassa ndio walikuwa marafiki ,familia hata imtaje au isimtaje haifuti urafiki wao na pia familia ndio inatakiwa itambue ni Kikwete ndio amefanya mzee akazikwa kwa heshima hivyo Kwa sababu ya kuteuliwa Uwaziri mkuu.

Kama utaendelea kushabikia vitu vidogo vidogo na kuacha kujadili mambo makubwa tutakuwa hatuna namna zaidi ya kukupuuza
Unatumika vibaya wewe, kama jk alimfanya Lowassa waziri mkuu halafu familia ishukru watu wengine ambao hawakumpa hicho cheo, kwako wewe unaona kawaida.?

Jifunzeni kuishi na watu vizuri, madaraka yana mwisho. Ni fedhea na ni aibu kubwa. Kwa Magufuli ilikuwa hivyohivyo akaishia kujitetea, leo hivyohivyo. Aibuu
 
Kikwete ni rafiki wa Hayati Lowassa au familia ya Lowassa? Asiyejua maana haambiwi maana..

Kama Kikwete na Lowassa ndio walikuwa marafiki ,familia hata imtaje au isimtaje haifuti urafiki wao na pia familia ndio inatakiwa itambue ni Kikwete ndio amefanya mzee akazikwa kwa heshima hivyo Kwa sababu ya kuteuliwa Uwaziri mkuu.

Kama utaendelea kushabikia vitu vidogo vidogo na kuacha kujadili mambo makubwa tutakuwa hatuna namna zaidi ya kukupuuza
kuna watu mnawaza
 
Hakuna wakati ambapo Kikwete amesemwa vibaya na kusutwa kama wakati huu wa msiba wa Lowasa. Mzee huyu amesutwa na kuzodolewa ktk namna ambayo siyo rahisi kwa nafsi yake kukosa maumivu.

Ni kwa vile tu moyo wa mtu ni kichaka huwezi kujua unaongea nn. Lkn hata kwa kumuangalia tu anaonekana usoni kwake kapoteza nuru, furaha na bashasha. Badala yake amejaa wasiwasi, wahaka na hofu.

Nimemuangalia leo alipoinuliwa ili kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Lowasa alitembea kwa uoga na almanusura apepesuke mbele ya jeneza.

Familia ya Lowasa imewashukuru watu wengi sana lkn Kikwete hakutajwa hata kwa bahati mbaya. Yaani urafiki wake na Lowasa wakati wa ujana na uwepo wake msibani vyote vimepuuzwa. Huu ni msumari wa moto uliopigiliwa utosini kwa Kikwete.

Mwito.
Tujifunze kuishi vema na watu ili tuwe na mwisho mwema.
Uzuri au ubaya wa Kikwete huwa anasema "Huu ni upepo tu, utapita".

Kashamaliza.

Si kila mtu ana uwezo wa kuumizwa sana na maneno ya watu.
 
Hakuna wakati ambapo Kikwete amesemwa vibaya na kusutwa kama wakati huu wa msiba wa Lowasa. Mzee huyu amesutwa na kuzodolewa ktk namna ambayo siyo rahisi kwa nafsi yake kukosa maumivu.

Ni kwa vile tu moyo wa mtu ni kichaka huwezi kujua unaongea nn. Lkn hata kwa kumuangalia tu anaonekana usoni kwake kapoteza nuru, furaha na bashasha. Badala yake amejaa wasiwasi, wahaka na hofu.

Nimemuangalia leo alipoinuliwa ili kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Lowasa alitembea kwa uoga na almanusura apepesuke mbele ya jeneza.

Familia ya Lowasa imewashukuru watu wengi sana lkn Kikwete hakutajwa hata kwa bahati mbaya. Yaani urafiki wake na Lowasa wakati wa ujana na uwepo wake msibani vyote vimepuuzwa. Huu ni msumari wa moto uliopigiliwa utosini kwa Kikwete.

Mwito.
Tujifunze kuishi vema na watu ili tuwe na mwisho mwema.
Huyu JK atakuja kulipa tu dhuluma alizofanya kwa watu wengi including Lowassa.
 
Kama ulisikia hotuba ya Chegeni kule kanisani Azania na shangwe alizopigiwa na watu wote pamoja na wanafamilia, na leo ameitwa mwanafamilia. Lakini pia Bashe aliyemtemea nyongo Jk baada ya kumkaribisha tena Lowassa ndani ya CCM anavyopendwa na familia. Utaelewa familia inavyomchukulia swahiba wa zamani wa marehemu.

Sasa Bashe na Huyo Chegeni na JK, mbona ni mbingu na ardhi, Huyo Bashe JK ndio alimleta kwenye kalamu God father wake anayemfanya aishi mjini.

Marehemu angekuwa na nguvu hiyo sidhani kama alipaswa kumtegemea JK ili awe Rais, angeweza pia kumzunguka na kujiweka kitini.
BWM aliweza kuzungukwa JK akawa Rais na sio SAS, basi EL naye angetumia nguvu hiyohiyo kujifanya Rais baadala ya JK.

Sasa kama alikuwa superpower na hela + rafiki yake RA walishindwaje kumzidi kete JK pale Dodoma na watu wao akina Sofia, Madabida, Nchimbi, Msindayi nk?
 
Back
Top Bottom