Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
off course kikwete alikuwa anasimamia mwiko wa baba wa taifa, tatizo aliyeingia nae alikuwa ndani ya mwiko!
N. B, katika kutimiza miiko huwa hatuangalii sura,tuna kata na kufunua.
-Tutazunguka mbuyu lakini hii ndiyo sababu kuu,
Mwl, Jkn, alishamnongoneza,tuongozwe na vikabila vidogovidogo, yameshapita tugange yajayo!
N. B, katika kutimiza miiko huwa hatuangalii sura,tuna kata na kufunua.
-Tutazunguka mbuyu lakini hii ndiyo sababu kuu,
Mwl, Jkn, alishamnongoneza,tuongozwe na vikabila vidogovidogo, yameshapita tugange yajayo!