Msibani: Mama mzazi wa marehemu Said azuiwa mlangoni na familia ya Swalha kuingia nyumbani kwa mwanae kuweka msiba

Msibani: Mama mzazi wa marehemu Said azuiwa mlangoni na familia ya Swalha kuingia nyumbani kwa mwanae kuweka msiba

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Sekeseke linaendelea, mama mzazi wa Said amezuiwa mlangoni alipofika msibani baada ya mwanae kujiua. Said alituhumiwa kumuua mkewe Swalha kisha naye kujiua.

Mama Said amesema yeye na ndugu zake wamelala nje tangu Jumapili na kila wanavyojaribu kuwaambia upande wa pili wamekatalia ufunguo. Walipanga kuanza msiba wa Said baada ya kumalizika msiba wa Swalha.

Najiuliza, hii familia mtoto wao aliyeolewa hayupo na marehemu hawakuwa na mtoto wa pamoja. Familia ya ukeni inapata wapi mandate ya kuiweka nje familia ya mume kufika kwenye msiba wa mtoto wao nyumbani kwake?

Usikute ndoa ilikuwa inaendeshwa kwa rimoti, na rimoti ilishikwa na mama mkwe.

Anyways wajaluo wamesema wanasubiri wamalize maziko kwanza warudi waelezwe vizuri.

Pia, soma=> Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI




 
Hamna sehemu inaonesha wamemzuia Zaid mama anaonekana amekaa na wafiwa wenzake analia kwa kuombeleza kifo Cha mwanae

Mleta mada n muongo na mchochezi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Sasa mkuu unataka kuonaje, nyumba imefungwa na madirisha yamefungwa na hauko eneo la tukio. Na bado ukaniita muongo na mchochezi kwa kutumia guessing! Basi msikilize hata mama vizuri..

Ntaenda wapi mimi....ntaenda wapi Mimi
Nikisema naondoka
 
Hasira mbaya hapo wazazi hamna haja ya kuzozana maana wahusika wamejitanguliza mbele za haki, wakae chini waomboleze pamoja hata mama Said naye kaumia kumpoteza mwanae sababu ya hasira zilizosababishwa na Swalha, huyo mama wa Binti kakosa busara Tena si ajabu hata huyo mji Swalha alikuta mwanaume kashajenga.
 
Usikute ndoa ilikuwa inaendeshwa kwa rimoti, na rimoti ilishikwa na mama mkwe.

NA NDIO TATIZO KUU KWENYE NDOA ZA SASA
 
Sekeseke linaendelea, mama mzazi wa Said amezuiwa mlangoni alipofika msibani baada ya mwanae kujiua. Said alituhumiwa kumuua mkewe Swalha kisha naye kujiua.

Najiuliza, hii familia mtoto wao aliyeolewa hayupo na marehemu hawakuwa na mtoto wa pamoja. Familia ya ukeni inapata wapi mandate ya kuiweka nje familia ya mume kufika kwenye msiba wa mtoto wao nyumbani kwake?

Usikute ndoa ilikuwa inaendeshwa kwa rimoti, na rimoti ilishikwa na mama mkwe.

Pia, soma=> Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

View attachment 2246821
Sina uhakika na hii habari lakini wamama wamama wamama narudia tena wamama au wakwe wakwe wakwe, wanawaponza sana mabinti zao. Binti kichwa kitupu. Anamsikiliza mama yake anaamua kuharibu ndoa yake maksudi. Order zinatoka ukweni ww baba unakuwa ndio kama imeolewa. Haaaaa! Nilitaka kuua mke kwa sababu ya huu upumbavu. Nashukuru Mungu niliepuka hili. Ila wamama jamani wamama wamama wamama.......

Ndo maana ma-mama mengi siku hizi yanaishia kutembea na ma-son in law
 
Back
Top Bottom