Msibani: Mama mzazi wa marehemu Said azuiwa mlangoni na familia ya Swalha kuingia nyumbani kwa mwanae kuweka msiba

Msibani: Mama mzazi wa marehemu Said azuiwa mlangoni na familia ya Swalha kuingia nyumbani kwa mwanae kuweka msiba

Sina uhakika na hii habari lakini wamama wamama wamama narudia tena wamama au wakwe wakwe wakwe, wanawaponza sana mabinti zao. Binti kichwa kitupu. Anamsikiliza mama yake anaamua kuharibu ndoa yake maksudi. Order zinatoka ukweni ww baba unakuwa ndio kama imeolewa. Haaaaa! Nilitaka kuua mke kwa sababu ya huu upumbavu. Nashukuru Mungu niliepuka hili. Ila wamama jamani wamama wamama wamama.......

Ndo maana ma-mama mengi siku hizi yanaishia kutombw*a na ma-son in law
Mimi kuna kipindi nilitamani kumtongoza kidogo tu, wanakera sana, wanakuja kukuharibia utaratibu wako wa Maisha yaani.
 
Sina uhakika na hii habari lakini wamama wamama wamama narudia tena wamama au wakwe wakwe wakwe, wanawaponza sana mabinti zao. Binti kichwa kitupu. Anamsikiliza mama yake anaamua kuharibu ndoa yake maksudi. Order zinatoka ukweni ww baba unakuwa ndio kama imeolewa. Haaaaa! Nilitaka kuua mke kwa sababu ya huu upumbavu. Nashukuru Mungu niliepuka hili. Ila wamama jamani wamama wamama wamama.......

Ndo maana ma-mama mengi siku hizi yanaishia kutombw*a na ma-son in law

Vyovyote vile umleavyo mtoto unachangia kuijenga au kuibomoa ndoa yake.
 
Sekeseke linaendelea, mama mzazi wa Said amezuiwa mlangoni alipofika msibani baada ya mwanae kujiua. Said alituhumiwa kumuua mkewe Swalha kisha naye kujiua.

Najiuliza, hii familia mtoto wao aliyeolewa hayupo na marehemu hawakuwa na mtoto wa pamoja. Familia ya ukeni inapata wapi mandate ya kuiweka nje familia ya mume kufika kwenye msiba wa mtoto wao nyumbani kwake?

Usikute ndoa ilikuwa inaendeshwa kwa rimoti, na rimoti ilishikwa na mama mkwe.

Pia, soma=> Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

View attachment 2246821
Tatizo la kuoa malaya tena anayetokea uswahilini kwenye familia maskini halafu kutokea kanda ya kati noma sana, ukiangalia trend familia nzima ilikuwa imehamia kwa shemeji, kuna wadogo zake marehemu wa kike wawili walikuwa wanaishi hapo, mdogo wake wa akiume alikuwa na marehmu kisiwani Ghana akiwa msimamizi wa miradi.

Siyo bure jamaa kuna walimfanyia kwa lengo la kutaka kumiliki mali na matokeo yake kikawageuka ndo jamaa kaamua kuharibu mfumo mzima wa makombora. Ukimsilikiza mama wa marehemu kuna siku usiku wa makuta kitu kama sanda getini, usiku huo huo baba mkwe akawa amepata waganga na kuwaleta kuja kuosha mji.

Wengi wanajaribu kumlaumu huyu mtu lakini kuna mambo mengi amepitia, kifupi hii familia ilijiandaa kumfilisi na si lolote si ajabu wanajaribu kungángánia nyumba na gari. Vishemeji vilishazoea kuzurura na gari mjini sasa vinarudi kupanda bodaboda roho zinauma.
 
Sekeseke linaendelea, mama mzazi wa Said amezuiwa mlangoni alipofika msibani baada ya mwanae kujiua. Said alituhumiwa kumuua mkewe Swalha kisha naye kujiua.

Najiuliza, hii familia mtoto wao aliyeolewa hayupo na marehemu hawakuwa na mtoto wa pamoja. Familia ya ukeni inapata wapi mandate ya kuiweka nje familia ya mume kufika kwenye msiba wa mtoto wao nyumbani kwake?

Usikute ndoa ilikuwa inaendeshwa kwa rimoti, na rimoti ilishikwa na mama mkwe.

Pia, soma=> Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

View attachment 2246821
Tabia za hawa wazazi ndizo zilizopelekea mtoto wao kuuawa. Sasa kama wanataka kung'ang'ania Mali ambacho ndicho kitu kinachojidhihirisha hapa, wataambulia risasi nyingi kutoka Kwa baba wa Said.

Polisi ingilieni Kati hapo mauaji mengine yananukia!!
 
Sekeseke linaendelea, mama mzazi wa Said amezuiwa mlangoni alipofika msibani baada ya mwanae kujiua. Said alituhumiwa kumuua mkewe Swalha kisha naye kujiua.

Najiuliza, hii familia mtoto wao aliyeolewa hayupo na marehemu hawakuwa na mtoto wa pamoja. Familia ya ukeni inapata wapi mandate ya kuiweka nje familia ya mume kufika kwenye msiba wa mtoto wao nyumbani kwake?

Usikute ndoa ilikuwa inaendeshwa kwa rimoti, na rimoti ilishikwa na mama mkwe.

Pia, soma=> Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

View attachment 2246821
Hapo inaonekana kuna mpango ulishaanza kupangwa na familia ya mke demu aachike shida hivyo vijumba na vigari ndio vimewapa tamaa.
 
Sina uhakika na hii habari lakini wamama wamama wamama narudia tena wamama au wakwe wakwe wakwe, wanawaponza sana mabinti zao. Binti kichwa kitupu. Anamsikiliza mama yake anaamua kuharibu ndoa yake maksudi. Order zinatoka ukweni ww baba unakuwa ndio kama imeolewa. Haaaaa! Nilitaka kuua mke kwa sababu ya huu upumbavu. Nashukuru Mungu niliepuka hili. Ila wamama jamani wamama wamama wamama.......

Ndo maana ma-mama mengi siku hizi yanaishia kutombw*a na ma-son in law
Lakini pia kuna ma mama mengine yanaingilia ndoa za vijana wa kiume kwa kumpelekesha makamwana! Mi mama ya hivi hovyo kabisa!
 
Kuepusha kero na shida busara ingetumika aamue tu kuacha hasira zinaweza kutumika wakajikuta wanachimba kaburi lingine...

Busara inahitajika sana husasun wakati kama huu
 
Mama Side ni mama wa vijana wote wanaoteswa na mapenzi.
 
Back
Top Bottom