Ila selfie inahusika🤣🤣🤣🤣Siyo lazima kuwa binti asiyeolewa ni malaya. I can assure you, kuna mabinti hawajaolewa ila bado wanajitunza sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila selfie inahusika🤣🤣🤣🤣Siyo lazima kuwa binti asiyeolewa ni malaya. I can assure you, kuna mabinti hawajaolewa ila bado wanajitunza sana.
Wanakidangaya hao bwana wewe. Ndoa kifungk cha ajabu sana. Yaani uishi kwa kumtumikia mwanaume sii ufala huo.Wee,sema kweli?
Huo ushauri ni vyema ungempa mwanao wa kikeWanakidangaya hao bwana wewe. Ndoa kifungk cha ajabu sana. Yaani uishi kwa kumtumikia mwanaume sii ufala huo.
Mie napinga wanawake kuolewa. Wanawake wawe huru kama sie wanaume kudunda na wanaume wengi bila kuitwa malaya
SafiWanakidangaya hao bwana wewe. Ndoa kifungk cha ajabu sana. Yaani uishi kwa kumtumikia mwanaume sii ufala huo.
Mie napinga wanawake kuolewa. Wanawake wawe huru kama sie wanaume kudunda na wanaume wengi bila kuitwa malaya
Haukosei mzazi mtafutie Mchumba umuozeshe tu hakuna namna 31yrs bado yupo yupo mwisho watamzalisha na ataishia kuishi nyumbani tu bila ndoa,au nakosea kama mzazi
Hao wa PhD wengi ni wazee tumba lishaanza kujikunja na akizaa hapo tumbo linakuwa kubwa hana mvuto Tena jumlisha mistari mistari tumboni..hata aliolewa life Spam yake ni ndogo sana katika kuvutia ndoa almost alifika 35 makunyanzi yataanza usoni.Mawazo haya yananitia uchungu sana!!!! Nina binti yangu (now 31 yrs) naona hili jambo linamfanya asianze PhD programme ati kila siku kwenda kusali. Inaniboa saaana ingawa sina la kufanya. Naamini kuolewa kupo na ukiolewa ukiwa na status ndiyo inakuwa bora zaidi au nakosea kama mzazi
Mwanaume ni pesa man, hizo porojo za ndoa wanufaika ni wanawake zaidi na hao ndio wenye uhitaji wa ndoa zaidi kuliko wanaume.- Sielewi kwa nini wanawake wanaongelewa sana, kulingana uwiano wa Ke na Me kwenye matokeo ya sensa, kama wanawake hawaolewi inamaanisha kuna wanaume hawajaoa. Thamani ya ndoa ipo kwa wote ME na KE. Mwanaume pia kama hana mke huonekana hana thamani bila kujali elimu, pesa wala umri.
Mkuu watawa wengi huanza kusoma hizo shule zao toka wakiwa wadogo.) Hata hao wanaoenda utawa, wanakuwa wamelinganisha ndoa zenye matatizo na utawa, wakaona utawa ni bora.
That's the lie we always tell ourselves. Mwanaume hawezi oa mwanamke yeyote just like Mwanamke hawezi olewa na mwanaume yeyote, huo ndio ukweli.Mwanaume ni pesa man, hizo porojo za ndoa wanufaika ni wanawake zaidi na hao ndio wenye uhitaji wa ndoa zaidi kuliko wanaume.
Thamani ya mwanamke asiolewa ni tofauti na mwanaume ambae hajaoa kwa mitazamo ya jamii zetu.
Na mbaya zaidi kuna umri mwanamke akifika kuolewa huwa ni kwa mbinde tofauti na mwanaume anaeamua amuoe nani!!.
Wanawake wasome na kufikia malengo yao lakini wasisahau wanatakiwa kuolewa. Bila hivyo wataishi kwa masononeko sana, majuto na kuparamia vibenten vinavyowalaghai kila siku hawa mashangazi.
Atakayemzalisha huyo huyo , Siwezi kulea mjukuu ambaye si wa ukoo wanguHaukosei mzazi mtafutie Mchumba umuozeshe tu hakuna namna 31yrs bado yupo yupo mwisho watamzalisha na ataishia kuishi nyumbani tu bila ndoa,
Umeongea point kubwa sana hapa.Unaangalia upande mmoja tu wa shilingi, isitoshe Wanawake hawaolewi na mtu yoyote tu bali yule anaye qualify pia, kuna Wanaume wengi tu hawapati Mwanamke wa kuoa au mwanamke wa chaguo lao kwa maana wanawake wanaowataka wanawakataa pia, ni nature.
Hivyo hata kwa Wanaume kupata Mwanamke wa chaguo lao na akakukubali pia ni ishu!
Najua nini kimemfikisha hapo! Kubana mapaja! Na condition kuwa nitakupa K ndani ya ndoa. Kwa hilo namsapoti hata afike 60! Kwa minajiri hiyo hawezi kuniletea mjukuu bila baba yake. Single maza ni big NoHao wa PhD wengi ni wazee tumba lishaanza kujikunja na akizaa hapo tumbo linakuwa kubwa hana mvuto Tena jumlisha mistari mistari tumboni..hata aliolewa life Spam yake ni ndogo sana katika kuvutia ndoa almost alifika 35 makunyanzi yataanza usoni.
Jamaa hapo ataanza kuruka na videmu vidogo demu bhana kachelewa sana 27 nje ya hapo asizae ovyo na ajipende ila kama kazlisha alifika 30 hana mvuto.
Mwambie binti yako kama alikuwa na mashauzi wanaume wa sasa hawana time na wanawake ,mikausho mikali ,akijichanganya tu analambwa then ndo ataisikia kweny Bomba.
Am pretty sure kwamba at least twice alishawai kukutana na watu wanataka kumuoa ila usanii na uzungu mwingi kujifanya educated while nope ..kwamba zaidi anajua kingereza ,akae atulie wanaume wapo ila hawako kama Hao anaokutana nao huko vyuoni