Msichana wa Kitanzania akipata mchumba na kufunga ndoa anajiona amepata degree (Hons)!

Msichana wa Kitanzania akipata mchumba na kufunga ndoa anajiona amepata degree (Hons)!

Najua nini kimemfikisha hapo! Kubana mapaja! Na condition kuwa nitakupa K ndani ya ndoa. Kwa hilo namsapoti hata afike 60! Kwa minajiri hiyo hawezi kuniletea mjukuu bila baba yake. Single maza ni big No
Kama kabana kweli haina tatizo ,ni heshima pia angalau jamaa aje kwako kujitambulisha kwanza ...Hongera kwake ila lazima wapo waliotokea ishu ni kutambua yupi wa kweli na yupi wa ovyo.
 
Sisi ndo tunaowapeleka watoto wa kike kuwa na hiyo mentality.

There is more to life than just marriage. Am a strong advocate of marriage having been married myself lakini I never throw stones at single moms or people who have opted not to get married.

Napenda msichana awe focused, alinde usichana wake, na heshima yake. Asome au afanye biashara ajijenge kiakili na kifedha halafu aingie kwenye ndoa akiwa stable upstairs and pocketwise.

Money is always a woman's insurance.

Wadada jijengeni. Travel the world..... Soar as high as you can. Marriage shouldn't be the end of your dreams.
Wewe ndio unawapoteza kabisa.
 
Mwanaume ni pesa man, hizo porojo za ndoa wanufaika ni wanawake zaidi na hao ndio wenye uhitaji wa ndoa zaidi kuliko wanaume.

Thamani ya mwanamke asiolewa ni tofauti na mwanaume ambae hajaoa kwa mitazamo ya jamii zetu.
Na mbaya zaidi kuna umri mwanamke akifika kuolewa huwa ni kwa mbinde tofauti na mwanaume anaeamua amuoe nani!!.

Wanawake wasome na kufikia malengo yao lakini wasisahau wanatakiwa kuolewa. Bila hivyo wataishi kwa masononeko sana, majuto na kuparamia vibenten vinavyowalaghai kila siku hawa mashangazi.

Mwanaume ni pesa man, hizo porojo za ndoa wanufaika ni wanawake zaidi na hao ndio wenye uhitaji wa ndoa zaidi kuliko wanaume.

Thamani ya mwanamke asiolewa ni tofauti na mwanaume ambae hajaoa kwa mitazamo ya jamii zetu.
Na mbaya zaidi kuna umri mwanamke akifika kuolewa huwa ni kwa mbinde tofauti na mwanaume anaeamua amuoe nani!!.

Wanawake wasome na kufikia malengo yao lakini wasisahau wanatakiwa kuolewa. Bila hivyo wataishi kwa masononeko sana, majuto na kuparamia vibenten vinavyowalaghai kila siku hawa mashangazi.
Umri gani akifika mwanamke kama bado hajaolewa inakuwa mbinde kuolewa? Na mwanaume anakuwa amechelewa kuoa akifika umri gani mkuu?
 
Hivi baba anaweza kufanya upuuzi huo?
Baba hawezi kwa karne hii ila kwa zamani kipindi hicho binti alikua anawekwa chini na kuulizwa ana tatizo gan ili asaidiwe,

Sasa hivi kwa kua tumetawaliwa na uzungu mwingi na utandawazi kwa hio mtoto anapewa uhuru wa kuamua na kuchagua nini anataka na nini hataki bila kupangiwa, Je! Akiamua kuchagua kua single mother utamzuia?

Km utamzuia basi mweke chini zungumza nae kwa upendo, 'mwanangu umri unaenda mlete mwenzako tumtambue ikiwezekana akuoe', km hilo jukumu huliwezi zungumza na mama amwelekeze kisha umsikie yeye anasemaje, au anataka mumtafutie wa kumuoa bila kumuuliza mtajua?

Fumba fumbua miaka 40 hii hapa hajaolewa mtakua na picha gan mkuu?
 
Umri gani akifika mwanamke kama bado hajaolewa inakuwa mbinde kuolewa? Na mwanaume anakuwa amechelewa kuoa akifika umri gani mkuu?
Mwanamke akifika 35+, wengine 30 tu anakua ashaanza kuonekana mtu mzima sana. Hivyo hata rate ya wanaume wanaomfata kumtongoza huwa ni ndogo coz wengi hujiaminisha ni mke wa mtu tayari.

Achana na hilo pia hao wanawake wenye umri mkubwa kupata mtoto huwa ni changamoto tofauti na hawa madogo ukigusa tu imo.

Hata wao wenyewe huwa na inferiority complex, wanahisi wamechoka, utaanza kupenda dogo dogo(kitu ambacho mara nyingi ni kweli).

Kwa mwanaume "labda" 40+ huko.
 
Baba hawezi kwa karne hii ila kwa zamani kipindi hicho binti alikua anawekwa chini na kuulizwa ana tatizo gan ili asaidiwe,

Sasa hivi kwa kua tumetawaliwa na uzungu mwingi na utandawazi kwa hio mtoto anapewa uhuru wa kuamua na kuchagua nini anataka na nini hataki bila kupangiwa, Je! Akiamua kuchagua kua single mother utamzuia?

Km utamzuia basi mweke chini zungumza nae kwa upendo, 'mwanangu umri unaenda mlete mwenzako tumtambue ikiwezekana akuoe', km hilo jukumu huliwezi zungumza na mama amwelekeze kisha umsikie yeye anasemaje, au anataka mumtafutie wa kumuoa bila kumuuliza mtajua?

Fumba fumbua miaka 40 hii hapa hajaolewa mtakua na picha gan mkuu?
Hiyo haikuwa kazi ya baba au mama. Ilikuwa ni kazi ya mashangazi kuskauti mwanaume na kumkalisha binti. Binti yangu akiamua kuwa singeli mazeli, huo ni uamuzi wake ila mtoto hamleti kwangu anampeleka kwa babu yake (aliyedonate spems).
 
That's the lie we always tell ourselves. Mwanaume hawezi oa mwanamke yeyote just like Mwanamke hawezi olewa na mwanaume yeyote, huo ndio ukweli.

Struggle ya kutafuta match ni sawa kwa wote ME na KE, utazurura lakini mwisho wa siku utahitaji mtu mmoja tu ambae ni sahihi ( hapa ndio uchawi ulipo). Wanawake hawaolewi sababu hawajapata mtu sahihi vivyo hivyo kwa wanaume.
Utofauti upo mkubwa tu, labda kama wewe unaishi nchi za mgaharibi ila kwa hapa bongo kuna bonge la tofauti.

Mwanaume anatongoza mkuu, mwanamke anasubiri atongozwe.

Mwanaume upendo wake huanzia 100% wakati wa mwanamke huanzia 0℅.
Ukisema wako sawa si sahihi coz mwanamke anaweza olewa na yule asiempenda sana just coz anaempenda hawezi kumwambia.

Kwanini mwanamke anapasha kiporo na ex aliyeshindwa kuolewa nae, simply coz yeye hana maamuzi ya kuolewa na fulani bali fulani ndie anaamua nioe ama nisioe huyu mtu.

Japo wapo wanawaacha kwenye mataa wapenzi wao lakini hata huko wanakoenda kuolewa bado walioamua ni wale waowaji na sio yeye muolewaji.
 
Hiyo haikuwa kazi ya baba au mama. Ilikuwa ni kazi ya mashangazi kuskauti mwanaume na kumkalisha binti. Binti yangu akiamua kuwa singeli mazeli, huo ni uamuzi wake ila mtoto hamleti kwangu anampeleka kwa babu yake (aliyedonate spems).
Sawa mkuu hapo umeeleweka, sasa fanya mpango uongee na mashangazi wamuulize binti kulikoni umri unasonga mboni kimya hakuna hata mwenzake nyumbani kuna shida gani?
 
Sawa mkuu hapo umeeleweka, sasa fanya mpango uongee na mashangazi wamuulize binti kulikoni umri unasonga mboni kimya hakuna hata mwenzake nyumbani kuna shida gani?
Umeiona hii na namba ya simu! Singeli ni hatari na shupavu
 
Hapa kila mtu ana tafsiri yake ya mafanikio, yes we unaona kuana Hon. Degree ndio mafanikio, kuna ambaye akioa/kuolewa ni mafanikio tosha. So far elimu yetu ni ya kishenzi tu na yakupotezea vijana muda na kuzima ndoto zao, nikisema hivi utasema sijasoma ila ni ukweli mimi pamoja na kufika Mlimani pale na nikaajiriwa ila nimeshaona jinsi nimecheza na muda. 17 good years na bado nikahangaika kupata ajira ambayo hata hivyo nnaona bila kujiongeza nitakufa masikini, maana mafanikio ntakayopata sana ni kula, kuvaa na kujenga kajumba labda na kuwasomesha watoto ktk mtiririko huo wa kikoloni. Mimi binafsi nishaamua sio kipaumbele changu kwa mwanangu kua na degree, zaidi nitampa exposure kupitia watu waliofanikiwa, haswa kumpeleka duniani huko akajionee jinsi utajiri unatengenezwa

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mungu tena, nadhani hapo lazima aende kwa Mwamposa! Nasema kuolewa hakuna haraka hata akifika 75 ataolewa tu ili mradi abane mapaja
😂😂😂 Mkuu acha kunichekesha, akifika 35yrs bila kua na watoto mji wa Mimba unaanza kujifunga vipi huna mpango wa kua na wajukuu?
 
Back
Top Bottom