Msichana wa Kitanzania akipata mchumba na kufunga ndoa anajiona amepata degree (Hons)!

Msichana wa Kitanzania akipata mchumba na kufunga ndoa anajiona amepata degree (Hons)!

Mawazo haya yananitia uchungu sana!!!! Nina binti yangu (now 31 yrs) naona hili jambo linamfanya asianze PhD programme ati kila siku kwenda kusali. Inaniboa saaana ingawa sina la kufanya. Naamini kuolewa kupo na ukiolewa ukiwa na status ndiyo inakuwa bora zaidi au nakosea kama mzazi

Uko sawa, ila as far as kuolewa imekua probability, ndiposa kujenga career yake inakua la maana zaidi ikitokea coincidence ndoa imepatikana ni vizuri ila aendelee kuweka sawa mambo yake ya kielimu na future etc.
 
Uko sawa, ila as far as kuolewa imekua probability, ndiposa kujenga career yake inakua la maana zaidi ikitokea coincidence ndoa imepatikana ni vizuri ila aendelee kuweka sawa mambo yake ya kielimu na future etc.
Mtoto anataka kuhegedwa mambo ya vitabu hayanaga mwisho
 
Kwani kuna baba mwenye mtoto wa kike ambaye hataki mtoto wake anunuliwe chips na akagegedwe? Huyo atakuwa baba wa ajabu sana. Hao ndio wanaishia kuwagegeda watoto zao.
Kumbe ni wewe, nilitaka nikujibu ila nilipoona ni wewe nayamaza tu! Unajua aftermath ya gegedo wewe? Ni mzazi yupi anapenda kutunza mgonjwa wa Ukimwi ulotokana na chips; kulea mtoto ambaye hakutoka katika sperm ya ukoo wake au kuwa na binti anaitwa singo maza! Wakati mwingine tafuta K ila usijitoe ufahamu!
 
Hahaha itakuwa. Yaani niwe na mtoto wa kike alafu sioni vijana vinamnyemelea wala kumvua chupi nitasononeka sana
Uko sawa, ila as far as kuolewa imekua probability, ndiposa kujenga career yake inakua la maana zaidi ikitokea coincidence ndoa imepatikana ni vizuri ila aendelee kuweka sawa mambo yake ya kielimu na future etc.
Angalau kuna wanaojielewa! Kuna vitu vilivyo chini ya uwezo wako na ambavyo havipo. Elimu ipo kwa kiasi chake chini ya uwezo wangu. Kumlipia kusoma ipo chini ya uwezo wangu kama baba; lakini utashi wa kusoma haupo chini yangu upo chini yake. Kupata mtu wa kumuoa; hili halipo chini yake au chini yq mzazi bali muoaji. Ndiyo maana kijana wangu wa kiume natamba naye kuwa ukitaka kuoa abcdef, kwa binti kwa hali ilivyo huwezi hata akikuletea akina na mzabzab utamkubali shingo upande
 
Hodi humu jamvini wana MMU,

Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Najua mnahangaika na utafutaji wa maji na mkate kwa familia wakati huu.

Kwa sababu ya suala la kuolewa kuwa gumu siku hizi binti akiolewa anajiona kama amepata degree (Hons) ya first class. Siyo siri ukimpa uchaguzi binti yako kama umlipie fedha asome degree yoyote au aolewe, bila kuchelewa wala kupepesa macho atachagua kuoelewa. Hasa ikiwa huyo mwanaume anayemchumbia ni mtoto wa kishua, utakuta amejiozesha mwenyewe bila mahari!
View attachment 2412373
Juzi nilikuwa natatua kesi ya binti wa kidato cha III mwenye umri wa miaka 17 aliyeamka usiku wa saa 5 na kumfuata mwanaume mwenye umri wa miaka 23 mtaa wa pili. Huyu binti anaishi na mama wa kambo anayefanya kazi baa. Kwa kawaida, mama hurudi kutoka kazini kuanzia saa 7 usiku. Sasa siku hiyo mama alirudi mapema kabla ya saa 7 akakuta binti ametoka. Arobaini za binti zikawa zimefika.

Huyu binti hulala chumba cha uani, hivyo nafikiri ulikuwa ndiyo mchezo wake wa kila siku. Dada yake aliacha shule akiwa Kidato cha II akaolewa na lofa mmoja asiyekuwa na mbele wala nyuma. Sasa hivi anajishughulisha na uuzaji wa mboga nyumba kwa nyumba. Mdogo wake naye anatamani kuacha shule akaolewe. Hajajifunza chochote kutokana na makosa ya dada yake. Wanawake wa kizazi hiki ni kama nyani, hawajatulia hata kidogo. Hivi nyie mabinti wa kisasa mna nini lakini?

Ndoa imekuwa kama kilele cha mafanikio ya msichana. Huu ukuta unahitaji kubomolewa, hili ni gereza la kuyafunga maono ya msichana. Kuolewa ni maono ya chini kabisa, msichana unaweza kuwa na ndoto kubwa zaidi ya hii; ota ndoto kubwa zaidi.
Ni demonic possession ikewakamata hao.
Inawatafuna kizazi chao. Wajinasue kutoka matambiko ya wazazi wao
 
Mawazo haya yananitia uchungu sana!!!! Nina binti yangu (now 31 yrs) naona hili jambo linamfanya asianze PhD programme ati kila siku kwenda kusali. Inaniboa saaana ingawa sina la kufanya. Naamini kuolewa kupo na ukiolewa ukiwa na status ndiyo inakuwa bora zaidi au nakosea kama mzazi
Unakosea.
 
Angalau kuna wanaojielewa! Kuna vitu vilivyo chini ya uwezo wako na ambavyo havipo. Elimu ipo kwa kiasi chake chini ya uwezo wangu. Kumlipia kusoma ipo chini ya uwezo wangu kama baba; lakini utashi wa kusoma haupo chini yangu upo chini yake. Kupata mtu wa kumuoa; hili halipo chini yake au chini yq mzazi bali muoaji. Ndiyo maana kijana wangu wa kiume natamba naye kuwa ukitaka kuoa abcdef, kwa binti kwa hali ilivyo huwezi hata akikuletea akina na mzabzab utamkubali shingo upande
Kwani akinileta mie mzabzab shida iko wapi cha msingi sii kapata mume wakumgegeda kuliko kukaa na stress
 
Ndoa ni stara kwa mwanamke.

Ndio maana wanashauriwa kua wapole, waziojikweza, wasimpandishie sauti mume, wasiwe na kiburi nk coz faida kwao ni nyingi mno.
Kweli kabisa wao ndio wanafaidika sana...wanalishwa valishwa zalishwa pokea zawadi na kugegedwa. Lakini sasa walivyo kichwa ngumu 🤣🤣🤣🤣
 
Kuolewa ni sheria lkn nowdays tunapenda harusi bhna sijui sendoff shower nn sijui kitchen party wedding dinner😂😂😂😂baada ya mwaka tu ndoa km ilifungwa miak 50 iliyopita 😂
Babu na bibi yangu waliona muda sana, wakaja kubariki ndoa na kasherehe walikokamudu wao bila michango baada ya kuishi miaka 37 ya ndoa.

Wadada ndo wanapenda harusi saana
 
Kumbe ni wewe, nilitaka nikujibu ila nilipoona ni wewe nayamaza tu! Unajua aftermath ya gegedo wewe? Ni mzazi yupi anapenda kutunza mgonjwa wa Ukimwi ulotokana na chips; kulea mtoto ambaye hakutoka katika sperm ya ukoo wake au kuwa na binti anaitwa singo maza! Wakati mwingine tafuta K ila usijitoe ufahamu!
Sasa mtoto wako anapigwa miti kwa sababu ya chips huo sii uzembe wako wewe kama mzazi.
 
Babu na bibi yangu waliona muda sana, wakaja kubariki ndoa na kasherehe walikokamudu wao bila michango baada ya kuishi miaka 37 ya ndoa.

Wadada ndo wanapenda harusi saana
Nimemaanisha baada ya Harus kuisha watu hawapendani Tena
 
Hodi humu jamvini wana MMU,

Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Najua mnahangaika na utafutaji wa maji na mkate kwa familia wakati huu.

Kwa sababu ya suala la kuolewa kuwa gumu siku hizi binti akiolewa anajiona kama amepata degree (Hons) ya first class. Siyo siri ukimpa uchaguzi binti yako kama umlipie fedha asome degree yoyote au aolewe, bila kuchelewa wala kupepesa macho atachagua kuoelewa. Hasa ikiwa huyo mwanaume anayemchumbia ni mtoto wa kishua, utakuta amejiozesha mwenyewe bila mahari!
View attachment 2412373
Juzi nilikuwa natatua kesi ya binti wa kidato cha III mwenye umri wa miaka 17 aliyeamka usiku wa saa 5 na kumfuata mwanaume mwenye umri wa miaka 23 mtaa wa pili. Huyu binti anaishi na mama wa kambo anayefanya kazi baa. Kwa kawaida, mama hurudi kutoka kazini kuanzia saa 7 usiku. Sasa siku hiyo mama alirudi mapema kabla ya saa 7 akakuta binti ametoka. Arobaini za binti zikawa zimefika.

Huyu binti hulala chumba cha uani, hivyo nafikiri ulikuwa ndiyo mchezo wake wa kila siku. Dada yake aliacha shule akiwa Kidato cha II akaolewa na lofa mmoja asiyekuwa na mbele wala nyuma. Sasa hivi anajishughulisha na uuzaji wa mboga nyumba kwa nyumba. Mdogo wake naye anatamani kuacha shule akaolewe. Hajajifunza chochote kutokana na makosa ya dada yake. Wanawake wa kizazi hiki ni kama nyani, hawajatulia hata kidogo. Hivi nyie mabinti wa kisasa mna nini lakini?

Ndoa imekuwa kama kilele cha mafanikio ya msichana. Huu ukuta unahitaji kubomolewa, hili ni gereza la kuyafunga maono ya msichana. Kuolewa ni maono ya chini kabisa, msichana unaweza kuwa na ndoto kubwa zaidi ya hii; ota ndoto kubwa zaidi.
Moja ya chanzo cha stadi za maisha ni familia, na ndiyo chanzo chenye nguvu zaidi, Mungu atupe mwisho mwema.
 
Kuhus harusi hautuambii kitu 😂😂sahiz mwambie mdada natka kukuoa hizo hekaheka zake 😂😂utashangaa na rohoyako
Ndo kitu kinafanya ndoa zivunjike coz mnajiandaa zaidi na harusi na sio ndoa.
 
Back
Top Bottom