Mtoto wa binti yako siyo mjukuu halisi maana sperms hazikutoka katika ukoo wako! Usisahau siku hizi kuna IVF hata mama wa 90 yrs anaweza kubeba mimba๐๐๐ Mkuu acha kunichekesha, akifika 35yrs bila kua na watoto mji wa Mimba unaanza kujifunga vipi huna mpango wa kua na wajukuu?