FURUSHI LA CHANJO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 874
- 1,080
Na wewe nakumbuka ulikuwa bingwa wa kumpinga Magufuli!!Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?
Wabongo tuna matatizo makubwa mkuu. Tunaongea na kujadili kile tusicho na ufahamu nacho.Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?
Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.
Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Utafiti umeufanyia wapi au ni hisia zako tu?.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani kuna wakati unajisemea kama humu ndo kuna wasomi wanaojinadi kupiga alama 'A' katika kila somo walilogusa....kutoka o'level hadi advance na kwamba wana exposure ya kutosha tu LAKINI kikubwa walichonacho ni utajiri huu mkubwa wa chuki na uzushi kwa Mama Samia ( unaochochewa na udini, bila shaka), basi kazi ipo nchi hii!
Kuna utafiti umeufanya au unaropoka tu.achana na tabia zakusema mambo kwamihemko na hisia zako ukazijumlisha kwa watu.Bora wewe umeongea ukweli..
Chuki ya kidini Kwa Samia iko kubwa Sana....na ukiwaambia hiko kinacho wasumbua ni chuki ya dini watakushambulia kama wamemwagiwa pilipili
#gersonmsigwa Ile zuu ya Dubai wamepatia wapi wanyama na wakaweka majinA yakwetu .Nimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.
Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.
Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.
Watalii wa wapi wanaletwa na military cargo aircraft?
Nimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.
Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.
Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.
Huo ndio ushamba wa watzaniaCha ajabu badala ya kutoa evidence wataanza kumshambulia Msigwa
Toa ushahidi vinginevio majunguUshahidi apewe ili aufanyie nini, kwani yule mtu aliyekamatwa akiwa amejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini hadi waziri mkuu akaunda tume, ni hatua gani wamemchukulia?
Amemwambia tuo ushahidi kapicha tu tena madogo kanako onysha ndege ikipakia twigaMsigwa; watazania sio mambumbu asilani! Tunajua huwezi kusema ilibeba wanyama kwani ni hatari kwako!
yana mwisho kwa wahusika!
Alie onana ndege ikipakia twiga alete ushahidi, sio kuongea kama malaya alie nyimwa gongoKuna utafiti umeufanya au unaropoka tu.achana na tabia zakusema mambo kwamihemko na hisia zako ukazijumlisha kwa watu.
Huna hoja pita tu kama jina lakoUtakuwa kwenye mkondo wa wanufaika. Manake povu ulilotoa sio la kitoto
Wewe umewahi kuona wanyama wakipanda ndege? Weka picha hapa ila isiwe ya photo shopKama pesa inaingia kwenye mfuko wa serikali Kwa nn wasiweke wazi kama issue just ni kuuza?
Sijaandika hoja? Nenda kahesabu likes kwenye post yangu!! Namzidi hata mwenye main topic halafu wewe Bob sambeke unaleta dharau hapa!!Ujibiwe kwa hoja ikiwa hujaandika hoja
Magufuli nitampinga sana tu, alikuwa anatuharibia nchi. Ni bora alikufa tu la sivyo tungekuwa kama Yemen au Zimbabwe kiuchumi. Nyie misukule mnaomuona eti mzalendo endeleni kimuabudu.Na wewe nakumbuka ulikuwa bingwa wa kumpinga Magufuli!!
Majizi mna sifa moja kuu ya kuchukia wazalendo.
Kwa nchi ambayo mpaka vyombo vya dola vinabariki matendo ya hovyo na wizi wa rasilimali, siyo busara kupeleka ushahidi kwa sababu ushahidi wako ndilo kaburi lako.Nimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.
Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.
Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.
Alie onana ndege ikipakia twaiga alete ushahidi,sio kuongea kama malaya alie nyimwa gongo
Dubai wanatengeneza Safari park lengo lao wakamate watalii wote ....ukienda Dubai iwe one stop centre ya aina zote za utalii.....wakifanikisha hili mtalii gani atakuja kumwona Simba Tanzania wakati akienda Dubai kuna safari park!Hata vichaa wanajuwa kutamka maneno hayo mawili ya stupid nonsense! Waweza kuwa kichaa pia
Naomba ujibu hoja zangu za kuuza wanyama
Bhasi na pembe za ndovuuu iwe ruhusaa kuuza..tembo wauliwee maana watakufaa tu.Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?
Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.
Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini