Forget about that!! Hiyo kitu nimeiona Sharjah ila mnaiogopa bila kujua inafananaje. Mbona zoo zipo Europe na America yote lakini still wazungu wanakuja mpaka kwetu kuwaona wanyama!!Dubai wanatengeneza Safari park lengo lao wakamate watalii wote ....ukienda Dubai iwe one stop centre ya aina zote za utalii.....wakifanikisha hili mtalii gani atakuja kumwona Simba Tanzania wakati akienda Dubai kuna safari park!
Griti sinka kama unaitwa Baba pia,wanao wamekosa Baba 🙁Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?
Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.
Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Bhasi na pembe za ndovuuu iwe ruhusaa kuuza..tembo wauliwee maana watakufaa tu.
Ungekuwa na hoja ungeandika ila matusi inaonyesha wewe ni tabular rasaGriti sinka kama unaitwa Baba pia,wanao wamekosa Baba 🙁
ila kumuuza tembo ni sawaa??? ndovu zake si sawaaaHiyo ni issue tofauti ya kuua tembo ili upate pembe za kuuza. Uzuri haya mambo yote yanaratibiwa na WWF na CITES ambavyo ni vyombo vya dunia vinavyo hifadhi endangered species.
Sisi wenyewe pale Banda Ngozi kwenye maghala ya Mali Asili tuna pembe za ndovu tulizozikamata kwa majangiri zaidi ya Tani 20 lakini tumekatazwa kuuza instead tunaambiwa tuzichome ili ku discourage biashara ya pembe za ndovu.
Hayo siyo matusi, watoro wamekosa Baba kabisaUngekuwa na hoja ungeandika ila matusi inaonyesha wewe ni tabular rasa
Huyu msemaji nae sijui vipi,, kwanza tunatakiwa kuambiwa, sheria inasemaje kuhusu kusafirisha wanyama pori,, sasa akikanusha ije ionekane wanyama wanasafiri itakuaje?,Nimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.
Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.
Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.
Ni sawa lkn si sawa kuwauza kwani tutakuja kukosa wageni wakuja kuziona hapa na vijan wetu watahadhirika vibsya Sana kwa umasikini uliyotukukaMwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?
Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.
Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Msigwa ataaumiwa kwa kukaza shingo kwa kukomaa kuwa hakuna ndege imetua kule Park kwa kuwa ndege ile ni kubwa na kwamba haiwezi kutua kwenye ile park...baada ya kuoneshwa picha akadai ile picha ni ya 10 years, swali likaja awali alisema ndege ya ukubwa ule haiwezi kutua pale park hiyo 10 year same aircraft iliwezaje kutua...hana majibu!Nimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.
Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.
Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.
Muache adhihirishe ujinga wakeWakati mwingine ficha ujinga wako kwa kukaa kimya
Muwafukuze Wamasai kwenye ardhi yao ili mjisombee wanyama na kuwapeleka Uarabuni,una akili kweli wewe?Nimesoma kuanzia page ya 1 mpaka ya 3 naona matusi tu na nadharia za kutunga. Kuna shida gani kuweka huo ushahidi wa wanyama kupakiwa kwenye ndege tena hapa Tanzania?
Kweli ujinga na chuki ni vipaji vya mtu mweusi
Hivi hilo jambo liliishaje ?Ushahidi apewe ili aufanyie nini, kwani yule mtu aliyekamatwa akiwa amejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini hadi waziri mkuu akaunda tume, ni hatua gani wamemchukulia?
Tatizo ni kuwafukuza Wamasai kwenye ardhi yao ili mwarabu afaidi.Wote wananiita MJINGA. Nami nawaambia MJINGA hufundishika, basi nifundisheni nione madhara ya kuuza wanyama, hawarudi!!
Hata kwenye elimu ya Form I kwenye Biology tunajifunza vitu vinaitwa ecosystem, cannibalism etc. Ambavyo vinahusu ku-maintain reasonable population ya wanyama msituni. Sasa ubaya wa kuuza wanyama uko wapi?
Pili hawa Waarabu wamekodisha hunting blocks huko Loliondo toka miaka ya 1990s. Je hawana haki ya kuwinda ethically? Mbona wanalipa Kodi na CSR kwa Halmashauri ya Ngorongoro kadri ya mkataba!!
Tatizo la Wanaharakati wa Tanzania kila wakati ni kuwa na agenda kinyume na Serikali
Ukweli ndiyo huo.Msigwa; watazania sio mambumbu asilani! Tunajua huwezi kusema ilibeba wanyama kwani ni hatari kwako!
yana mwisho kwa wahusika!
Kiufupi lile eneo limenunuliwa au kukodiwa na muarabu kwahiyo anafanya uwindaji na shughuli nyngne za kiutaliii. Jamaa kamwaga ma trilion ya pesa kwa miaka kadhaa, Sio chini ya miaka 20. Na lile eneo kuna uwanja wa ndege kwahiyo watu wao wakija wanatua hapo wanafanya utalii nyama choma kwa sana a lot of things ambazo zinahusian na utalii. Nimeongea hivyo kwasababu nimefika ilo eneo nikitokea NgorongoroNimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.
Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.
Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.
Acha uongoo wanapelekwa na zoteWewe umewahi kuona wanyama wakipanda ndege? Weka picha hapa ila isiwe ya photo shop
Majaliwa alisemaga rais ni mzima na anachapa kazi kumbe jamaa alishakata roho kitambo, sasa na wewe unataka ushahidi kwenye jambo la wazi ili uendelee kupumbaza waliopumbazika, muda ukifika utaanza kusema hakuna mwanadamu asiyekosea tusameheane tuwe kitu kimoja tuijenge nchi yetu.Alie onana ndege ikipakia twaiga alete ushahidi,sio kuongea kama malaya alie nyimwa gongo
Mimi siyo huyo unayemtaja, angalia madini yangu ninayomwaga.We riziwani umeacha kuuza madawa ya kulevya?
Leta picha ya ndovu akipandishwa kwenye ndege. Tusiandikie mateila kumuuza tembo ni sawaa??? ndovu zake si sawaaa