Msigwa: Hakuna ndege inayobeba wanyama, mwenye ushahidi alete

Msigwa: Hakuna ndege inayobeba wanyama, mwenye ushahidi alete

Nimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.

Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.

Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.
Anataka tuweke ushahidi halafu tupigwe risasi?
 
Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?

Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.

Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Kiongozi unakifahamu kitu kinachoitwa ecosystem? Wanyama wakifia mbugani wanawafanya viumbe wengine waendelee kuishi,

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Nimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.

Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.

Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.
Kumbe ni Gerson Msigwa nilifikiri ni Peter Msigwa nilitaka kushangaa kumbe ni yule mdogo wake wa kijani kabisa yule sasa we mtu yuko kweny cheni ya ulaji wa kupewa ulitaka asemeje!?
 
Bora wewe umeongea ukweli..
Chuki ya kidini Kwa Samia iko kubwa Sana....na ukiwaambia hiko kinacho wasumbua ni chuki ya dini watakushambulia kama wamemwagiwa pilipili
Wanzanzibar wenyewe hawa mpendi na waislam wenzake
 
Bora wewe umeongea ukweli..
Chuki ya kidini Kwa Samia iko kubwa Sana....na ukiwaambia hiko kinacho wasumbua ni chuki ya dini watakushambulia kama wamemwagiwa pilipili
Wazanzibari wenzie hawa mpendi na hawa ata habari naye leo alikuwa kwao uko kazi kusomba wananchi na malori kuwapeleka kwenye mkutano wake
 
Nimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.

Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.

Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.
Ninyi serikali ndiyo mnao ushahidi na mnaelewa wazi kabisa kuwa mnaruhusu wanyama kuchukuliwa.
 
Wazanzibari wenzie hawa mpendi na hawa ata habari naye leo alikuwa kwao uko kazi kusomba wananchi na malori kuwapeleka kwenye mkutano wake
Unatumia kipimo gani kusema Wazanzibari wenzie hawampendi? Wengine kuleni makande tu, siyo lazima mchangie JF
 
Ameshangaa Msigwa kukanusha wakati anajua A to Z ya kinacho endelea Loliondo kule na pia kanitonya kuna Magari Mwarabu kanununulia Serikali na muda wowote watakabidhi kwa Serikali kwa ajili ya uhifadhi.
 
Kaniambia kwa uchache ndege ile ilipaa na wanyama si chini ya 250, na kuna walio salia ambao wanaweza fuatwa muda wowote
 
Back
Top Bottom