Chumia tumbo kwanza!Mchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni
Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi
Source: Mwanahalisi Digital
My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga [emoji209]
Pamoja na yote ya uroho wa madaraka,kugawa rushwa kwenye uchaguzi kanda ya Nyasa na kuwa na mawasiliano ya muda mrefu na CCM kwa Msigwa,bado nina hofu na ushawishi wa mkewe.Nafuatilia nguvu ya mkewe na familia yake katika hili.Njaa haina adabu.
Upinzani wa Tanzania ni mgumu. Tena sana. Nafsi inataka. Tumbo halitaki.
Kuna wakati huwa mnaendeshwa na mihemko kuliko kutumia akili. Yani kusema Msigwa ni spent item tayari nimekuwa CHADEMA. Wengine hatuna vyama ila ni watu huru. Msigwa alianza kushindwa hata ndani ya chama chake mwenyewe.Jiulize
Dk Slaa , Zitto, Kitila, Mwigamba , nk
Ni spent item sio?
Msichotaka kusikia ni mbowe kukosolewa na jamaa alivyowafanya mazuuzu mnawamini bila yeye chama kitakufa
Je Leo Mbowe katwaliwa na Mungu je ndio mnasema chama kitakufa?
Mbowe na akina Nkuruzinza Wana Tofauti gan Sasa? Mtu asietaka kupingwa Wala kushindana na wengine?
Wekeni mizani wazi asubuh tu Mbowe anashindwa mapaka na Mtu wa kawaida kama Heche
Nyalandu aliondoka huko Baada ya kujua nyie ni matapeli na hata mkienda kokote Huko Marekani alishawaambia hamna dira Wala sio chama Cha kisiasa zaidi ni chama Cha harakati na mali ya mtu binafsi
Mwenyekiti wa Kanda Ya Kati alisepa
Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani alisepa
Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini alisepa
Mwenyekiti wa Kanda ya Nyanda za juu kasepa
Jiulize maswali mnapoteza brigedi 4 za chama tena hao walichaguliwa na wafuasi wenu Leo mnasema hawana impact yeyote maanake awakuchaguliwa Bali waliteuliwa na mbowe kwa maslahi yake na Mali yake ?
Jiulizeni sana
Mmepoteza Makatibu wakuu wawili , makamu Mwenyekiti Bara , mmepoteza mshaurii , Wenyeviti wa Jumuiya zenu ikiwepo Bavicha
Kama kweli hao ni bidhaa au walikua pandikizi la CCM basi hata mliobakia huko Mtakua pandikizi la Siri la CCM
Ova.
Mchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni
Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi
Source: Mwanahalisi Digital
My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga 🐼
Hivi,unaona kuna ukweli kwamba SSH na Mbowe waliacha ya maana yooote wakaanza kujadili Bilcanas?Msigwa amejua kubonyeza kitufe cha vichekesho kwa umahiri sana.🤣🤣🤣🤣🙏Kwahiyo samia naye akaacha maagizo ya chama chake akaamua kushughulikia mambo ya Club bilicana?
True, Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu!Msigwa akiendelea kuitungua CDM, basi 'Karma' itamuhukumu......kwa mujibu wa wakili msomi Pascal Mayalla
Club Billicanas ilivunjwa lini? 😂😂Kwahiyo samia naye akaacha maagizo ya chama chake akaamua kushughulikia mambo ya Club bilicana?
Apimwe akili huyu. Kuna shida kichwani kwa MsigwaMchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni
Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi
Source: Mwanahalisi Digital
My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga 🐼
Umbeya huu ndio utaowaangusha. Si unajua waTZ wanavyopenda umbeya! Kushinda mitandaoni na kutafuta umbeya.AMEKWISHA KWISHNEY MSIGWA AMEBAKI NA UMBEYA
Ni afadhali Msigwa angejikita kumsifia Mama na kazi anazozifanya kuliko kuiponda Chadema. Chama tawala kinapaswa kueleza mafanikio yake, changamoto walizotatua. Chama tawala hakipaswi kurusha lawama, na kulalamika. Lakini kwa mwendo huu anaokwenda nao Msigwa unaweza kudhani Chadema ni chama tawala, na Ccm ni chama cha upinzani.
Ccm ina watu wengi sana wenye uwezo wa kuiponda Chadema. Mchungaji Msigwa anapoiponda Chadema anajidhalilisha, na kuonekana kama mtu aliyefundishwa nini cha kusema.Ana Uhuru kama aliokua nao sativa na wengine wanaotukana uongozi wa Tanzania .yaani nyie chadema mnataka kuiponda ccm tuh nyie kuambiwa ukweli hamtaki
Napita nitarudi.Mchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni
Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi
Source: Mwanahalisi Digital
My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga 🐼
Ogopa zaidi njaa ya akili ikichanganyika na njaa ya tumbo.Njaa mbaya sana.
Amebakia kuwa omba omba pale korido za kijani.Kwisha habari yake,
Njaa mbaya sanaMchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni
Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi
Source: Mwanahalisi Digital
My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga 🐼