Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Chademaa bado ni kitu kimoja; kama ambavyo covid-19 walipata baraka za Mwenyekiti kwenye hayo waliyofanya, ndivyo hivyo Lissu leo anayoyafanya yana baraka za Mwenyekiti.

Katika hali ya kawaida Chadema ilianza poteza mvuto kwa jamii baada ya maridhiano, mashabiki waa Chadema ni watu wanaopenda kuwa against CCM hata katika jambo lisilohitaji kupingwa, shabiki wa Chadema ni wale watu wa pinga pinga kila jambo.

Kwa maono yangu, zoezi la kurudisha imani ya mashabiki na wanachama lipo mikononi kwa Lissu. Yote anayofanya yana baraka zote na hata hizo ziara na mikutao ziko funded and facilitated na Chadema wenyewe.

Shortly ni kwamba Lissu na Chadema wanajua wafanyalo.
Kweli hapo kwa mashabiki wa Chadema hasa hawa wa huku JF, wengi akili zao zimeishia kuipinga CCM kwa kila jambo.

Wanajiona wao na chama chao ni malaika wasiokosea, kwao wenye makosa siku zote ni CCM, hivyo hata akitokea yeyote miongoni mwao akakosea, wanaona afadhali kukaa kimya kuliko kumkosoa, wana siasa fulani za kiuoga, kuviziana, zisizo na maana yoyote.

Hawa kama hawawezi kukosoana wenyewe ndani kwa ndani, wataweza vipi kuwakosoa wale walio nje ya nyumba yao? jaribio lolote la kufanya hivyo kwangu ni sawa na unafiki.
 
Lisu anapata kibri Kutoka Kwa wananchi tuliotoa maoni mbele ya Tume ya judge WARIOBA.

Haiwezekani viongozi wakae na kugawana madaraka kama KASHATA za kijiwe Cha kahawa.
Hivi hata swali lenyewe unalifahamu kweli?!
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, zikijadili jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa letu. Makala hizi huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utalitoa wewe mwenyewe msomaji.

Makala ya leo ni kuhusu maendeleo ya siasa zetu kuelekea uchaguzi wa 2025.

Siku zote Tanzania tumekuwa na siasa za kuhasimiana kati ya Chama tawala CCM na vyama vya upinzani, Kiingereza tukiita ni politics of confrontations, siasa zikiendeshwa kwa uadui na kila aina ya figisu, na kwenye baadhi ya maeneo korofi, ushindi kupatikana kwa bao la mkono!.

Baada ya kutokea kilichotokea, ile Machi 17, Samia Suluhu Hassan, kaingia na kitu cha kwanza alichokifanya kwenye siasa zetu, ni kuliishi tuu jina lake la Suluhu kwa kuleta suluhu ya kisiasa kuachana na siasa za kuhasimiana na kuitroduce, politics of reconciliation and politics of tolerance kwa Samia kukubali kufanya mazungumzo ya maridhiano kati ya CCM chama tawala na Chadema, chama kikuu cha upinzani Tanzania, huku akiunda tume Prof Mukandala na kuwaweka vyama vyote kujadili mustakabali mwema wa nchi yetu.

Kwanza Mama alikaa na vyama vyote kupitia TCD pale Dodoma, katika mkutano huo, kuna chama kilisusa kisa kiongozi wake yuko korokoroni!. Sisi wa ushauri wa bure, tukashauri ... Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

Kwenye mkutano huo wa TCD, waungwana wakamuombea mtu msamaha, Rais Mama Samia alivyo mtu wa hiyana, akajibu pale pale "kusameheana kupo", sisi wa kuandika, tukaandika ... Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Na kweli haikupita punde mtu akaachiwa, na sisi wa kuandika tukapongeza... Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Mara ghafla nchi ikatulia, Chadema iliyokuwa hoi bin taaban kifedha mara ikapata pumzi, ikaanza kupumua, mara sasa ikawa na uwezo hata wa kuendesha vikao, viongozi wake mara ghafla wakawa na uwezo za kufanya ziara hadi za nje ya nchi, yote haya ni matunda ya maridhiano.

Wakati Rais Mama Samia akiyafanya haya, haimaanishi CCM wote walikuwa wanayafurahia, no, kuna wahafidhina wenye nguvu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM, walimpinga Samia, hivyo Samia alishughulika nao wengine wale wenye kelele sana, ilimbidi kuwaondosha kuwaweka mbali kwa kuwapa majukumu mengine ya kiutendaji ili kuwafunga midomo!.

Wahafidhina hawa pia walikuwepo Chadema, na mhafidhina Mkuu ni Tundu Lissu!. Mama akafuata hadi Ubelgiji akamtuliza, ila hakuacha kuropoka!.

Mimi Tundu Lissu nimesoma nae sekondari Ilboru, hivyo namfahamu sana, kwanza ni kichwa sana, very bright and brilliant, tatizo lake ni kuropoka!, Lissu ni mropokaji!.
Hivyo nimeisha andika mengi humu kumhusu Tundu Lissu miongoni mwake ni haya

Uropokaji kwa wanaharakati ni sifa muhimu sana haswa katika utetezi wa haki za binadamu. Hivyo katika harakati za mwanzo za vyama vingi, Chadema kilikuwa ni chama cha kiharakati hivyo wanaharakati kama kina Tundu Lissu, Dr. Wilbrod Slaa, Zitto Kabwe na wengine wengi kuwa ni asset muhimu sana kwa mapambano ya kudai haki.

Ni kufuatia uanaharakati wa Tundu Lissu, mimi ni miongoni mwa tulimshauri Tundu Lissu, ndie amkabili Magufuli uchaguzi wa 2020 Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! hicho nilichokisema hapo kuwa Tundu Lissu ni zaidi ya Magufuli, ndicho kitakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari.

Very unfortunately Lissu kikamtokea cha kumtokea, na kukimbilia nje ya nchi kutimizwa. Akiwa matibabuni, aliendelea kuropoka!, na kwa mambo aliyokuwa akiongea kuhusu Tanzania, mimi nilifika mahali, nikadhania Tundu Lissu hatarejea tena nchini Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Kumbe Tundu Lissu ni very bold, akaomba kuhakikishiwa usalama wake ili arejee nyumbani, japo aliowaomba wamhakikishie usalama, walimkalia kimya, hawakumjujibu, ni akina sisi, ndio tulimmshauri arejee tuu hivyo hivyo na kweli akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Moja ya sifa kubwa za pekee za Tundu Lissu, ni mkweli daima na kwenye ukweli, Lissu hana simile wala hakopeshi, hata ukweli huu kuhusu kilichotokea ndani ya Chadema, ni Lissu ndie aliyetoa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini akifanya mikutano yake ya hadhara kwa uhuru, haku akiwa na ulinzi na usalama wa kutosha bila bugudha yoyote, tatizo lake ni lile lile moja, kuropoka!.
Hebu msikilize hapa
Swali ni kwa hiki anachoongea hapa, Tundu Lissu, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema ni ujinga?, hizi lugha Tundu Lissu anazotumia, jee ni lugha za kiungwana?, ni lugha za kistaarabu?.
Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu ni asset kwa Chadema, or kwa sasa, Tundu Lissu is liability?.

Wasalaam

Paskal


Lissu na Magufuli wanapenda kufanya siasa za Uzalendo.

Tofauti yao Lissu yupo kwenye mfuko wa Mbowe na mabeberu, hawezi kuleta positive impact yoyote kwa Watanzania.

Mbowe anazidi kuiua CHADEMA ambayo aliijenga kwa karibu miongo miwili. He has become a polarising figure kwa kukaa muda mrefu uongozini.

A good dancer must know the right time to leave the stage. Ni muda awaachie wengine waongoze chama.
Tundu lissu sio mropokaji tu ila mlengo wake kisiasa hauna tija kwa maendeleo ya tanzania. Mtu muomini wa falsafa ya demokrasia ya kiliberali huku afrika atakua kibaraka tu wa maslahi ya nchi za magharibi. Kila kitu eti haki za binadamu haki zenyewe mtu kua shoga au msagaji. Ukileta kuhusu haki za uchumi wanakutolea nje. Halafu uhuru uhuru. Uhuru mtu kuhonga, uhuru majaji na wanasheria kuhongwa. Hakuna haki ni sheria inageuzwageuzwa mradi mwenye hela apewe haki. Hiyo hapana.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, zikijadili jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa letu. Makala hizi huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utalitoa wewe mwenyewe msomaji.

Makala ya leo ni kuhusu maendeleo ya siasa zetu kuelekea uchaguzi wa 2025.

Siku zote Tanzania tumekuwa na siasa za kuhasimiana kati ya Chama tawala CCM na vyama vya upinzani, Kiingereza tukiita ni politics of confrontations, siasa zikiendeshwa kwa uadui na kila aina ya figisu, na kwenye baadhi ya maeneo korofi, ushindi kupatikana kwa bao la mkono!.

Baada ya kutokea kilichotokea, ile Machi 17, Samia Suluhu Hassan, kaingia na kitu cha kwanza alichokifanya kwenye siasa zetu, ni kuliishi tuu jina lake la Suluhu kwa kuleta suluhu ya kisiasa kuachana na siasa za kuhasimiana na kuitroduce, politics of reconciliation and politics of tolerance kwa Samia kukubali kufanya mazungumzo ya maridhiano kati ya CCM chama tawala na Chadema, chama kikuu cha upinzani Tanzania, huku akiunda tume Prof Mukandala na kuwaweka vyama vyote kujadili mustakabali mwema wa nchi yetu.

Kwanza Mama alikaa na vyama vyote kupitia TCD pale Dodoma, katika mkutano huo, kuna chama kilisusa kisa kiongozi wake yuko korokoroni!. Sisi wa ushauri wa bure, tukashauri ... Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

Kwenye mkutano huo wa TCD, waungwana wakamuombea mtu msamaha, Rais Mama Samia alivyo mtu wa hiyana, akajibu pale pale "kusameheana kupo", sisi wa kuandika, tukaandika ... Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Na kweli haikupita punde mtu akaachiwa, na sisi wa kuandika tukapongeza... Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Mara ghafla nchi ikatulia, Chadema iliyokuwa hoi bin taaban kifedha mara ikapata pumzi, ikaanza kupumua, mara sasa ikawa na uwezo hata wa kuendesha vikao, viongozi wake mara ghafla wakawa na uwezo za kufanya ziara hadi za nje ya nchi, yote haya ni matunda ya maridhiano.

Wakati Rais Mama Samia akiyafanya haya, haimaanishi CCM wote walikuwa wanayafurahia, no, kuna wahafidhina wenye nguvu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM, walimpinga Samia, hivyo Samia alishughulika nao wengine wale wenye kelele sana, ilimbidi kuwaondosha kuwaweka mbali kwa kuwapa majukumu mengine ya kiutendaji ili kuwafunga midomo!

Wahafidhina hawa pia walikuwepo Chadema, na mhafidhina Mkuu ni Tundu Lissu! Mama akafuata hadi Ubelgiji akamtuliza, ila hakuacha kuropoka!


Mimi Tundu Lissu nimesoma nae sekondari Ilboru, hivyo namfahamu sana, kwanza ni kichwa sana, very bright and brilliant, tatizo lake ni kuropoka!, Lissu ni mropokaji!.
Hivyo nimeisha andika mengi humu kumhusu Tundu Lissu miongoni mwake ni haya
Uropokaji kwa wanaharakati ni sifa muhimu sana haswa katika utetezi wa haki za binadamu. Hivyo katika harakati za mwanzo za vyama vingi, Chadema kilikuwa ni chama cha kiharakati hivyo wanaharakati kama kina Tundu Lissu, Dr. Wilbrod Slaa, Zitto Kabwe na wengine wengi kuwa ni asset muhimu sana kwa mapambano ya kudai haki.

Ni kufuatia uanaharakati wa Tundu Lissu, mimi ni miongoni mwa tulimshauri Tundu Lissu, ndie amkabili Magufuli uchaguzi wa 2020 Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! hicho nilichokisema hapo kuwa Tundu Lissu ni zaidi ya Magufuli, ndicho kitakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari.

Very unfortunately Lissu kikamtokea cha kumtokea, na kukimbilia nje ya nchi kutimizwa. Akiwa matibabuni, aliendelea kuropoka!, na kwa mambo aliyokuwa akiongea kuhusu Tanzania, mimi nilifika mahali, nikadhania Tundu Lissu hatarejea tena nchini Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Kumbe Tundu Lissu ni very bold, akaomba kuhakikishiwa usalama wake ili arejee nyumbani, japo aliowaomba wamhakikishie usalama, walimkalia kimya, hawakumjujibu, ni akina sisi, ndio tulimmshauri arejee tuu hivyo hivyo na kweli akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Moja ya sifa kubwa za pekee za Tundu Lissu, ni mkweli daima na kwenye ukweli, Lissu hana simile wala hakopeshi, hata ukweli huu kuhusu kilichotokea ndani ya Chadema, ni Lissu ndie aliyetoa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini akifanya mikutano yake ya hadhara kwa uhuru, haku akiwa na ulinzi na usalama wa kutosha bila bugudha yoyote, tatizo lake ni lile lile moja, kuropoka!

Hebu msikilize hapa



Swali ni kwa hiki anachoongea hapa, Tundu Lissu, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema ni ujinga?, hizi lugha Tundu Lissu anazotumia, jee ni lugha za kiungwana?, ni lugha za kistaarabu?

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu ni asset kwa Chadema, or kwa sasa, Tundu Lissu is liability?

Wasalaam

Paskali

Mifano aliyoitoa Tundu Lisu ya ACT wazalendo 2015 na NCCR Mageuzi 2020 inadhoofisha kabisa dhamira yako ovu ya kufanya ghilba ili maneno yake yasieleweke, unajaribu kuwazongazonga wana jf Ujumbe wake usifike, neno "ya kijinga" ni neno la kistaarabu kabisa ikiwa wewe ni mwanasheria na unajua maana ya Taaluma yako, ungeweza kuandika vyema zaidi ya hili andiko lako hata kama Lisu ni mpinzani kwako bali na Mzalendo mwenzio na mdogo wako pia Ni Mwana taaluma Mwenzio. Kwa "MASLAHA YA TAIFA"
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, zikijadili jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa letu. Makala hizi huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utalitoa wewe mwenyewe msomaji.

Makala ya leo ni kuhusu maendeleo ya siasa zetu kuelekea uchaguzi wa 2025.

Siku zote Tanzania tumekuwa na siasa za kuhasimiana kati ya Chama tawala CCM na vyama vya upinzani, Kiingereza tukiita ni politics of confrontations, siasa zikiendeshwa kwa uadui na kila aina ya figisu, na kwenye baadhi ya maeneo korofi, ushindi kupatikana kwa bao la mkono!.

Baada ya kutokea kilichotokea, ile Machi 17, Samia Suluhu Hassan, kaingia na kitu cha kwanza alichokifanya kwenye siasa zetu, ni kuliishi tuu jina lake la Suluhu kwa kuleta suluhu ya kisiasa kuachana na siasa za kuhasimiana na kuitroduce, politics of reconciliation and politics of tolerance kwa Samia kukubali kufanya mazungumzo ya maridhiano kati ya CCM chama tawala na Chadema, chama kikuu cha upinzani Tanzania, huku akiunda tume Prof Mukandala na kuwaweka vyama vyote kujadili mustakabali mwema wa nchi yetu.

Kwanza Mama alikaa na vyama vyote kupitia TCD pale Dodoma, katika mkutano huo, kuna chama kilisusa kisa kiongozi wake yuko korokoroni!. Sisi wa ushauri wa bure, tukashauri ... Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

Kwenye mkutano huo wa TCD, waungwana wakamuombea mtu msamaha, Rais Mama Samia alivyo mtu wa hiyana, akajibu pale pale "kusameheana kupo", sisi wa kuandika, tukaandika ... Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Na kweli haikupita punde mtu akaachiwa, na sisi wa kuandika tukapongeza... Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Mara ghafla nchi ikatulia, Chadema iliyokuwa hoi bin taaban kifedha mara ikapata pumzi, ikaanza kupumua, mara sasa ikawa na uwezo hata wa kuendesha vikao, viongozi wake mara ghafla wakawa na uwezo za kufanya ziara hadi za nje ya nchi, yote haya ni matunda ya maridhiano.

Wakati Rais Mama Samia akiyafanya haya, haimaanishi CCM wote walikuwa wanayafurahia, no, kuna wahafidhina wenye nguvu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM, walimpinga Samia, hivyo Samia alishughulika nao wengine wale wenye kelele sana, ilimbidi kuwaondosha kuwaweka mbali kwa kuwapa majukumu mengine ya kiutendaji ili kuwafunga midomo!

Wahafidhina hawa pia walikuwepo Chadema, na mhafidhina Mkuu ni Tundu Lissu! Mama akafuata hadi Ubelgiji akamtuliza, ila hakuacha kuropoka!


Mimi Tundu Lissu nimesoma nae sekondari Ilboru, hivyo namfahamu sana, kwanza ni kichwa sana, very bright and brilliant, tatizo lake ni kuropoka!, Lissu ni mropokaji!.
Hivyo nimeisha andika mengi humu kumhusu Tundu Lissu miongoni mwake ni haya
Uropokaji kwa wanaharakati ni sifa muhimu sana haswa katika utetezi wa haki za binadamu. Hivyo katika harakati za mwanzo za vyama vingi, Chadema kilikuwa ni chama cha kiharakati hivyo wanaharakati kama kina Tundu Lissu, Dr. Wilbrod Slaa, Zitto Kabwe na wengine wengi kuwa ni asset muhimu sana kwa mapambano ya kudai haki.

Ni kufuatia uanaharakati wa Tundu Lissu, mimi ni miongoni mwa tulimshauri Tundu Lissu, ndie amkabili Magufuli uchaguzi wa 2020 Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! hicho nilichokisema hapo kuwa Tundu Lissu ni zaidi ya Magufuli, ndicho kitakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari.

Very unfortunately Lissu kikamtokea cha kumtokea, na kukimbilia nje ya nchi kutimizwa. Akiwa matibabuni, aliendelea kuropoka!, na kwa mambo aliyokuwa akiongea kuhusu Tanzania, mimi nilifika mahali, nikadhania Tundu Lissu hatarejea tena nchini Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Kumbe Tundu Lissu ni very bold, akaomba kuhakikishiwa usalama wake ili arejee nyumbani, japo aliowaomba wamhakikishie usalama, walimkalia kimya, hawakumjujibu, ni akina sisi, ndio tulimmshauri arejee tuu hivyo hivyo na kweli akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Moja ya sifa kubwa za pekee za Tundu Lissu, ni mkweli daima na kwenye ukweli, Lissu hana simile wala hakopeshi, hata ukweli huu kuhusu kilichotokea ndani ya Chadema, ni Lissu ndie aliyetoa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini akifanya mikutano yake ya hadhara kwa uhuru, haku akiwa na ulinzi na usalama wa kutosha bila bugudha yoyote, tatizo lake ni lile lile moja, kuropoka!

Hebu msikilize hapa



Swali ni kwa hiki anachoongea hapa, Tundu Lissu, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema ni ujinga?, hizi lugha Tundu Lissu anazotumia, jee ni lugha za kiungwana?, ni lugha za kistaarabu?

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu ni asset kwa Chadema, or kwa sasa, Tundu Lissu is liability?

Wasalaam

Paskali


Lissu hawezi kuwa liability kokote maana anaweza kusimama mwenyewe na bado akawa asset, kuna namna fulani ukisimama na ukweli support inakufuata siku zote.

Mariziano was liability
 
kama haulewi siasa na ukiwa kibaraka wa ccm utamuona lissu ni mropokaji ila kama unaijua siasa na mtu mwenye kupenda haki utamuon lissu mtu na nusu ....nikwambie tu hakuna mwanasiasa yoyote pale ccm anayemuweza lissu hata ukiwekwa uchaguzi huru leo hii
Lissu ni Nyerere wa kizazi hiki
 
Swali ni kwa hiki anachoongea hapa, Tundu Lissu, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema ni ujinga?, hizi lugha Tundu Lissu anazotumia, jee ni lugha za kiungwana?, ni lugha za kistaarabu?

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu ni asset kwa Chadema, or kwa sasa, Tundu Lissu is liability?

Wasalaam

Paskali
Pasco;
Huwezi kujua pengine labda Megawatts hizi anazoachia muda huu, zina uhusiano na lile tukio lake kule Dodoma Septemba 2017. Maana sasa hii siyo kawaida
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, zikijadili jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa letu. Makala hizi huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utalitoa wewe mwenyewe msomaji.

Makala ya leo ni kuhusu maendeleo ya siasa zetu kuelekea uchaguzi wa 2025.

Siku zote Tanzania tumekuwa na siasa za kuhasimiana kati ya Chama tawala CCM na vyama vya upinzani, Kiingereza tukiita ni politics of confrontations, siasa zikiendeshwa kwa uadui na kila aina ya figisu, na kwenye baadhi ya maeneo korofi, ushindi kupatikana kwa bao la mkono!.

Baada ya kutokea kilichotokea, ile Machi 17, Samia Suluhu Hassan, kaingia na kitu cha kwanza alichokifanya kwenye siasa zetu, ni kuliishi tuu jina lake la Suluhu kwa kuleta suluhu ya kisiasa kuachana na siasa za kuhasimiana na kuitroduce, politics of reconciliation and politics of tolerance kwa Samia kukubali kufanya mazungumzo ya maridhiano kati ya CCM chama tawala na Chadema, chama kikuu cha upinzani Tanzania, huku akiunda tume Prof Mukandala na kuwaweka vyama vyote kujadili mustakabali mwema wa nchi yetu.

Kwanza Mama alikaa na vyama vyote kupitia TCD pale Dodoma, katika mkutano huo, kuna chama kilisusa kisa kiongozi wake yuko korokoroni!. Sisi wa ushauri wa bure, tukashauri ... Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

Kwenye mkutano huo wa TCD, waungwana wakamuombea mtu msamaha, Rais Mama Samia alivyo mtu wa hiyana, akajibu pale pale "kusameheana kupo", sisi wa kuandika, tukaandika ... Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Na kweli haikupita punde mtu akaachiwa, na sisi wa kuandika tukapongeza... Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Mara ghafla nchi ikatulia, Chadema iliyokuwa hoi bin taaban kifedha mara ikapata pumzi, ikaanza kupumua, mara sasa ikawa na uwezo hata wa kuendesha vikao, viongozi wake mara ghafla wakawa na uwezo za kufanya ziara hadi za nje ya nchi, yote haya ni matunda ya maridhiano.

Wakati Rais Mama Samia akiyafanya haya, haimaanishi CCM wote walikuwa wanayafurahia, no, kuna wahafidhina wenye nguvu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM, walimpinga Samia, hivyo Samia alishughulika nao wengine wale wenye kelele sana, ilimbidi kuwaondosha kuwaweka mbali kwa kuwapa majukumu mengine ya kiutendaji ili kuwafunga midomo!

Wahafidhina hawa pia walikuwepo Chadema, na mhafidhina Mkuu ni Tundu Lissu! Mama akafuata hadi Ubelgiji akamtuliza, ila hakuacha kuropoka!


Mimi Tundu Lissu nimesoma nae sekondari Ilboru, hivyo namfahamu sana, kwanza ni kichwa sana, very bright and brilliant, tatizo lake ni kuropoka!, Lissu ni mropokaji!.
Hivyo nimeisha andika mengi humu kumhusu Tundu Lissu miongoni mwake ni haya
Uropokaji kwa wanaharakati ni sifa muhimu sana haswa katika utetezi wa haki za binadamu. Hivyo katika harakati za mwanzo za vyama vingi, Chadema kilikuwa ni chama cha kiharakati hivyo wanaharakati kama kina Tundu Lissu, Dr. Wilbrod Slaa, Zitto Kabwe na wengine wengi kuwa ni asset muhimu sana kwa mapambano ya kudai haki.

Ni kufuatia uanaharakati wa Tundu Lissu, mimi ni miongoni mwa tulimshauri Tundu Lissu, ndie amkabili Magufuli uchaguzi wa 2020 Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! hicho nilichokisema hapo kuwa Tundu Lissu ni zaidi ya Magufuli, ndicho kitakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari.

Very unfortunately Lissu kikamtokea cha kumtokea, na kukimbilia nje ya nchi kutimizwa. Akiwa matibabuni, aliendelea kuropoka!, na kwa mambo aliyokuwa akiongea kuhusu Tanzania, mimi nilifika mahali, nikadhania Tundu Lissu hatarejea tena nchini Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Kumbe Tundu Lissu ni very bold, akaomba kuhakikishiwa usalama wake ili arejee nyumbani, japo aliowaomba wamhakikishie usalama, walimkalia kimya, hawakumjujibu, ni akina sisi, ndio tulimmshauri arejee tuu hivyo hivyo na kweli akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Moja ya sifa kubwa za pekee za Tundu Lissu, ni mkweli daima na kwenye ukweli, Lissu hana simile wala hakopeshi, hata ukweli huu kuhusu kilichotokea ndani ya Chadema, ni Lissu ndie aliyetoa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini akifanya mikutano yake ya hadhara kwa uhuru, haku akiwa na ulinzi na usalama wa kutosha bila bugudha yoyote, tatizo lake ni lile lile moja, kuropoka!

Hebu msikilize hapa



Swali ni kwa hiki anachoongea hapa, Tundu Lissu, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema ni ujinga?, hizi lugha Tundu Lissu anazotumia, jee ni lugha za kiungwana?, ni lugha za kistaarabu?

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu ni asset kwa Chadema, or kwa sasa, Tundu Lissu is liability?

Wasalaam

Paskali

Yupo sahihi na ndiyo hivyo watu wenye big brain hufikiri. Hivi kweli chama cha siasa kilichokomaa mnakubali kupewa wabunge, ???. Yaani kupewa,!kupewa! Ni mjinga aliyewekwa mfukoni ndiye anaweza kukubali
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, zikijadili jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa letu. Makala hizi huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utalitoa wewe mwenyewe msomaji.

Makala ya leo ni kuhusu maendeleo ya siasa zetu kuelekea uchaguzi wa 2025.

Siku zote Tanzania tumekuwa na siasa za kuhasimiana kati ya Chama tawala CCM na vyama vya upinzani, Kiingereza tukiita ni politics of confrontations, siasa zikiendeshwa kwa uadui na kila aina ya figisu, na kwenye baadhi ya maeneo korofi, ushindi kupatikana kwa bao la mkono!.

Baada ya kutokea kilichotokea, ile Machi 17, Samia Suluhu Hassan, kaingia na kitu cha kwanza alichokifanya kwenye siasa zetu, ni kuliishi tuu jina lake la Suluhu kwa kuleta suluhu ya kisiasa kuachana na siasa za kuhasimiana na kuitroduce, politics of reconciliation and politics of tolerance kwa Samia kukubali kufanya mazungumzo ya maridhiano kati ya CCM chama tawala na Chadema, chama kikuu cha upinzani Tanzania, huku akiunda tume Prof Mukandala na kuwaweka vyama vyote kujadili mustakabali mwema wa nchi yetu.

Kwanza Mama alikaa na vyama vyote kupitia TCD pale Dodoma, katika mkutano huo, kuna chama kilisusa kisa kiongozi wake yuko korokoroni!. Sisi wa ushauri wa bure, tukashauri ... Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

Kwenye mkutano huo wa TCD, waungwana wakamuombea mtu msamaha, Rais Mama Samia alivyo mtu wa hiyana, akajibu pale pale "kusameheana kupo", sisi wa kuandika, tukaandika ... Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Na kweli haikupita punde mtu akaachiwa, na sisi wa kuandika tukapongeza... Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Mara ghafla nchi ikatulia, Chadema iliyokuwa hoi bin taaban kifedha mara ikapata pumzi, ikaanza kupumua, mara sasa ikawa na uwezo hata wa kuendesha vikao, viongozi wake mara ghafla wakawa na uwezo za kufanya ziara hadi za nje ya nchi, yote haya ni matunda ya maridhiano.

Wakati Rais Mama Samia akiyafanya haya, haimaanishi CCM wote walikuwa wanayafurahia, no, kuna wahafidhina wenye nguvu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM, walimpinga Samia, hivyo Samia alishughulika nao wengine wale wenye kelele sana, ilimbidi kuwaondosha kuwaweka mbali kwa kuwapa majukumu mengine ya kiutendaji ili kuwafunga midomo!

Wahafidhina hawa pia walikuwepo Chadema, na mhafidhina Mkuu ni Tundu Lissu! Mama akafuata hadi Ubelgiji akamtuliza, ila hakuacha kuropoka!


Mimi Tundu Lissu nimesoma nae sekondari Ilboru, hivyo namfahamu sana, kwanza ni kichwa sana, very bright and brilliant, tatizo lake ni kuropoka!, Lissu ni mropokaji!.
Hivyo nimeisha andika mengi humu kumhusu Tundu Lissu miongoni mwake ni haya
Uropokaji kwa wanaharakati ni sifa muhimu sana haswa katika utetezi wa haki za binadamu. Hivyo katika harakati za mwanzo za vyama vingi, Chadema kilikuwa ni chama cha kiharakati hivyo wanaharakati kama kina Tundu Lissu, Dr. Wilbrod Slaa, Zitto Kabwe na wengine wengi kuwa ni asset muhimu sana kwa mapambano ya kudai haki.

Ni kufuatia uanaharakati wa Tundu Lissu, mimi ni miongoni mwa tulimshauri Tundu Lissu, ndie amkabili Magufuli uchaguzi wa 2020 Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! hicho nilichokisema hapo kuwa Tundu Lissu ni zaidi ya Magufuli, ndicho kitakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari.

Very unfortunately Lissu kikamtokea cha kumtokea, na kukimbilia nje ya nchi kutimizwa. Akiwa matibabuni, aliendelea kuropoka!, na kwa mambo aliyokuwa akiongea kuhusu Tanzania, mimi nilifika mahali, nikadhania Tundu Lissu hatarejea tena nchini Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Kumbe Tundu Lissu ni very bold, akaomba kuhakikishiwa usalama wake ili arejee nyumbani, japo aliowaomba wamhakikishie usalama, walimkalia kimya, hawakumjujibu, ni akina sisi, ndio tulimmshauri arejee tuu hivyo hivyo na kweli akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Moja ya sifa kubwa za pekee za Tundu Lissu, ni mkweli daima na kwenye ukweli, Lissu hana simile wala hakopeshi, hata ukweli huu kuhusu kilichotokea ndani ya Chadema, ni Lissu ndie aliyetoa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini akifanya mikutano yake ya hadhara kwa uhuru, haku akiwa na ulinzi na usalama wa kutosha bila bugudha yoyote, tatizo lake ni lile lile moja, kuropoka!

Hebu msikilize hapa



Swali ni kwa hiki anachoongea hapa, Tundu Lissu, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema ni ujinga?, hizi lugha Tundu Lissu anazotumia, jee ni lugha za kiungwana?, ni lugha za kistaarabu?

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu ni asset kwa Chadema, or kwa sasa, Tundu Lissu is liability?

Wasalaam

Paskali

Pascal kuna mahala hujafanya proof reading, umeandika "Rais mama samia Alivyo mtu wa hiyana" ni makosa hasa
 
Sijaona kama swali ni baya unless wewe unataka kutengeneza hoja yako tofauti. Ameeleza ukweli na kuhoji hadhara kama ni sawa kukubali nusu mkate au la, jambo ambalo limekataliwa. Na huu ndiyo ushirikishaji watu waelimishwe baadaye waje waamue.
 
Sijaona kama swali ni baya unless wewe unataka kutengeneza hoja yako tofauti. Ameeleza ukweli na kuhoji hadhara kama ni sawa kukubali nusu mkate au la, jambo ambalo limekataliwa. Na huu ndiyo ushirikishaji watu waelimishwe baadaye waje waamue.
well said👍
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, zikijadili jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa letu. Makala hizi huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utalitoa wewe mwenyewe msomaji.

Makala ya leo ni kuhusu maendeleo ya siasa zetu kuelekea uchaguzi wa 2025.

Siku zote Tanzania tumekuwa na siasa za kuhasimiana kati ya Chama tawala CCM na vyama vya upinzani, Kiingereza tukiita ni politics of confrontations, siasa zikiendeshwa kwa uadui na kila aina ya figisu, na kwenye baadhi ya maeneo korofi, ushindi kupatikana kwa bao la mkono!.

Baada ya kutokea kilichotokea, ile Machi 17, Samia Suluhu Hassan, kaingia na kitu cha kwanza alichokifanya kwenye siasa zetu, ni kuliishi tuu jina lake la Suluhu kwa kuleta suluhu ya kisiasa kuachana na siasa za kuhasimiana na kuitroduce, politics of reconciliation and politics of tolerance kwa Samia kukubali kufanya mazungumzo ya maridhiano kati ya CCM chama tawala na Chadema, chama kikuu cha upinzani Tanzania, huku akiunda tume Prof Mukandala na kuwaweka vyama vyote kujadili mustakabali mwema wa nchi yetu.

Kwanza Mama alikaa na vyama vyote kupitia TCD pale Dodoma, katika mkutano huo, kuna chama kilisusa kisa kiongozi wake yuko korokoroni!. Sisi wa ushauri wa bure, tukashauri ... Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

Kwenye mkutano huo wa TCD, waungwana wakamuombea mtu msamaha, Rais Mama Samia alivyo mtu wa hiyana, akajibu pale pale "kusameheana kupo", sisi wa kuandika, tukaandika ... Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Na kweli haikupita punde mtu akaachiwa, na sisi wa kuandika tukapongeza... Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Mara ghafla nchi ikatulia, Chadema iliyokuwa hoi bin taaban kifedha mara ikapata pumzi, ikaanza kupumua, mara sasa ikawa na uwezo hata wa kuendesha vikao, viongozi wake mara ghafla wakawa na uwezo za kufanya ziara hadi za nje ya nchi, yote haya ni matunda ya maridhiano.

Wakati Rais Mama Samia akiyafanya haya, haimaanishi CCM wote walikuwa wanayafurahia, no, kuna wahafidhina wenye nguvu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM, walimpinga Samia, hivyo Samia alishughulika nao wengine wale wenye kelele sana, ilimbidi kuwaondosha kuwaweka mbali kwa kuwapa majukumu mengine ya kiutendaji ili kuwafunga midomo!

Wahafidhina hawa pia walikuwepo Chadema, na mhafidhina Mkuu ni Tundu Lissu! Mama akafuata hadi Ubelgiji akamtuliza, ila hakuacha kuropoka!


Mimi Tundu Lissu nimesoma nae sekondari Ilboru, hivyo namfahamu sana, kwanza ni kichwa sana, very bright and brilliant, tatizo lake ni kuropoka!, Lissu ni mropokaji!.
Hivyo nimeisha andika mengi humu kumhusu Tundu Lissu miongoni mwake ni haya
Uropokaji kwa wanaharakati ni sifa muhimu sana haswa katika utetezi wa haki za binadamu. Hivyo katika harakati za mwanzo za vyama vingi, Chadema kilikuwa ni chama cha kiharakati hivyo wanaharakati kama kina Tundu Lissu, Dr. Wilbrod Slaa, Zitto Kabwe na wengine wengi kuwa ni asset muhimu sana kwa mapambano ya kudai haki.

Ni kufuatia uanaharakati wa Tundu Lissu, mimi ni miongoni mwa tulimshauri Tundu Lissu, ndie amkabili Magufuli uchaguzi wa 2020 Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! hicho nilichokisema hapo kuwa Tundu Lissu ni zaidi ya Magufuli, ndicho kitakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari.

Very unfortunately Lissu kikamtokea cha kumtokea, na kukimbilia nje ya nchi kutimizwa. Akiwa matibabuni, aliendelea kuropoka!, na kwa mambo aliyokuwa akiongea kuhusu Tanzania, mimi nilifika mahali, nikadhania Tundu Lissu hatarejea tena nchini Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Kumbe Tundu Lissu ni very bold, akaomba kuhakikishiwa usalama wake ili arejee nyumbani, japo aliowaomba wamhakikishie usalama, walimkalia kimya, hawakumjujibu, ni akina sisi, ndio tulimmshauri arejee tuu hivyo hivyo na kweli akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Moja ya sifa kubwa za pekee za Tundu Lissu, ni mkweli daima na kwenye ukweli, Lissu hana simile wala hakopeshi, hata ukweli huu kuhusu kilichotokea ndani ya Chadema, ni Lissu ndie aliyetoa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini akifanya mikutano yake ya hadhara kwa uhuru, haku akiwa na ulinzi na usalama wa kutosha bila bugudha yoyote, tatizo lake ni lile lile moja, kuropoka!

Hebu msikilize hapa



Swali ni kwa hiki anachoongea hapa, Tundu Lissu, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema ni ujinga?, hizi lugha Tundu Lissu anazotumia, jee ni lugha za kiungwana?, ni lugha za kistaarabu?

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu ni asset kwa Chadema, or kwa sasa, Tundu Lissu is liability?

Wasalaam

Paskali

Siasa zetu sometimes ni pasua kichwa.
 

Attachments

  • Screenshot_20230511-094724.jpg
    Screenshot_20230511-094724.jpg
    56.8 KB · Views: 7
Back
Top Bottom