Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Hili hatjui kama hivyo ndivyo.
Sijawasikia CHADEMA wenyewe wakilisemea hili kama unavyoliweka wewe.

Pamoja na kukubaliana na msingi wa hoja hiyo, kuna mengi ambayo bado tulioko huku nje ya chama hatuyajui.
Kwa mfano. Mbowe kama Mwenyekiti wa chama alitoa msimamo wake (sijui kama ulikuwa msimamo wa kushirikisha na wenzake kwenye chama), alipozungumzia habari za maridhiano kwa mara ya kwanza kabisa, kwenye ule mkutano wake kule na Diaspora; na kuurudia msimamo huo huo mara kadhaa sehemu nyinginezo; kama pale viwanja vya Furahisha Jijini Mwanza.

Msimamo huo pia hatujasikia ukizungumziwa kwa uwazi ndani ya chama.

Kwa hivi karibuni kaamua kunyamaza, kamwachia Lissu naye aseme yake

Kwa hiyo, kwa upande wangu sijui kama unayoyasema wewe kuhusu haya yanayoendelea ndani ya chama ni kweli au siyo kweli. Hili sijui.
Lakini naunga mkono anayosema Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, labda arekebishe lugha tu kidogo ili isitumiwe na watu wasiokitakia chama hicho mema, kama inavyofanyika sasa hivi.
Tazama mada zote zilizowekwa hapa kumhusu Lissu na aliyoongea, zimeanzishwa na watu wa aina gani utajua Lissu kagusa waya hasa.
As long as umeona kuna haja kwake kutazama upya matumizi yake ya lugha kwenye uwasilishaji wa hoja zake, hapo ni sawa pia na kusema unaona amekosea kwa lugha aliyotumia.

Hata kwenye hayo mengine, kama ameongea na viongozi wenzake chamani akapata baraka ya kuropoka nje, kwangu haina shida, lakini kama ndio ameamua kujiropokea tu tofauti na msimamo wa chama chake, hapo shida ipo..

Hata hivyo, kiuhalisia, na kwa hali ilivyo, kama chama chake bado kipo kwenye maridhiano, halafu yeye anatoka nje na kuanza kuyaponda maridhiano..

Hapa maana yake huyu mtu ameamua kuwa mtukutu, mkaidi kwa chama chake, anayewaona wenzake wote waliopo kwenye maridhiano ni wajinga isipokuwa yeye pekee.

Huyu kwangu ni arrogant asiyestahili kusifiwa chochote anachoongea, bali aambiwe ukweli apunguze ujuaji.

Bahati mbaya wengi wenu humu ndani hamna uwezo huo wa kufanya hivyo, kwenu Lissu ni malaika aliyeshuka toka mbinguni asiyekosea!.

NB.

Hii mindset yenu yakuchukulia kila jambo lililoletwa na mtu wa CCM kama mtego, nakuishia kulitafutia sababu zozote mradi mumpinge, ndio inayowafanya wengi wenu mshindwe kuyaona matatizo ya viongozi wa Chadema pale mnapoambiwa, coz akili zenu mmezi set kupinga tu!.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, zikijadili jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa letu. Makala hizi huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utalitoa wewe mwenyewe msomaji.

Makala ya leo ni kuhusu maendeleo ya siasa zetu kuelekea uchaguzi wa 2025.

Siku zote Tanzania tumekuwa na siasa za kuhasimiana kati ya Chama tawala CCM na vyama vya upinzani, Kiingereza tukiita ni politics of confrontations, siasa zikiendeshwa kwa uadui na kila aina ya figisu, na kwenye baadhi ya maeneo korofi, ushindi kupatikana kwa bao la mkono!.

Baada ya kutokea kilichotokea, ile Machi 17, Samia Suluhu Hassan, kaingia na kitu cha kwanza alichokifanya kwenye siasa zetu, ni kuliishi tuu jina lake la Suluhu kwa kuleta suluhu ya kisiasa kuachana na siasa za kuhasimiana na kuitroduce, politics of reconciliation and politics of tolerance kwa Samia kukubali kufanya mazungumzo ya maridhiano kati ya CCM chama tawala na Chadema, chama kikuu cha upinzani Tanzania, huku akiunda tume Prof Mukandala na kuwaweka vyama vyote kujadili mustakabali mwema wa nchi yetu.

Kwanza Mama alikaa na vyama vyote kupitia TCD pale Dodoma, katika mkutano huo, kuna chama kilisusa kisa kiongozi wake yuko korokoroni!. Sisi wa ushauri wa bure, tukashauri ... Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

Kwenye mkutano huo wa TCD, waungwana wakamuombea mtu msamaha, Rais Mama Samia alivyo mtu wa hiyana, akajibu pale pale "kusameheana kupo", sisi wa kuandika, tukaandika ... Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Na kweli haikupita punde mtu akaachiwa, na sisi wa kuandika tukapongeza... Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Mara ghafla nchi ikatulia, Chadema iliyokuwa hoi bin taaban kifedha mara ikapata pumzi, ikaanza kupumua, mara sasa ikawa na uwezo hata wa kuendesha vikao, viongozi wake mara ghafla wakawa na uwezo za kufanya ziara hadi za nje ya nchi, yote haya ni matunda ya maridhiano.

Wakati Rais Mama Samia akiyafanya haya, haimaanishi CCM wote walikuwa wanayafurahia, no, kuna wahafidhina wenye nguvu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM, walimpinga Samia, hivyo Samia alishughulika nao wengine wale wenye kelele sana, ilimbidi kuwaondosha kuwaweka mbali kwa kuwapa majukumu mengine ya kiutendaji ili kuwafunga midomo!

Wahafidhina hawa pia walikuwepo Chadema, na mhafidhina Mkuu ni Tundu Lissu! Mama akafuata hadi Ubelgiji akamtuliza, ila hakuacha kuropoka!


Mimi Tundu Lissu nimesoma nae sekondari Ilboru, hivyo namfahamu sana, kwanza ni kichwa sana, very bright and brilliant, tatizo lake ni kuropoka!, Lissu ni mropokaji!.
Hivyo nimeisha andika mengi humu kumhusu Tundu Lissu miongoni mwake ni haya
Uropokaji kwa wanaharakati ni sifa muhimu sana haswa katika utetezi wa haki za binadamu. Hivyo katika harakati za mwanzo za vyama vingi, Chadema kilikuwa ni chama cha kiharakati hivyo wanaharakati kama kina Tundu Lissu, Dr. Wilbrod Slaa, Zitto Kabwe na wengine wengi kuwa ni asset muhimu sana kwa mapambano ya kudai haki.

Ni kufuatia uanaharakati wa Tundu Lissu, mimi ni miongoni mwa tulimshauri Tundu Lissu, ndie amkabili Magufuli uchaguzi wa 2020 Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! hicho nilichokisema hapo kuwa Tundu Lissu ni zaidi ya Magufuli, ndicho kitakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari.

Very unfortunately Lissu kikamtokea cha kumtokea, na kukimbilia nje ya nchi kutimizwa. Akiwa matibabuni, aliendelea kuropoka!, na kwa mambo aliyokuwa akiongea kuhusu Tanzania, mimi nilifika mahali, nikadhania Tundu Lissu hatarejea tena nchini Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Kumbe Tundu Lissu ni very bold, akaomba kuhakikishiwa usalama wake ili arejee nyumbani, japo aliowaomba wamhakikishie usalama, walimkalia kimya, hawakumjujibu, ni akina sisi, ndio tulimmshauri arejee tuu hivyo hivyo na kweli akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Moja ya sifa kubwa za pekee za Tundu Lissu, ni mkweli daima na kwenye ukweli, Lissu hana simile wala hakopeshi, hata ukweli huu kuhusu kilichotokea ndani ya Chadema, ni Lissu ndie aliyetoa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini akifanya mikutano yake ya hadhara kwa uhuru, haku akiwa na ulinzi na usalama wa kutosha bila bugudha yoyote, tatizo lake ni lile lile moja, kuropoka!

Hebu msikilize hapa



Swali ni kwa hiki anachoongea hapa, Tundu Lissu, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema ni ujinga?, hizi lugha Tundu Lissu anazotumia, jee ni lugha za kiungwana?, ni lugha za kistaarabu? naziona kama zina ukakasi!.

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu ni asset kwa Chadema, or kwa sasa, Tundu Lissu is liability?

Wasalaam

Paskali

Ana hoja. Kwanini wanasiasa wagawane majimbo? Opposition watakuwa na nguvu hapo? Huko sio kuwekwa mfukoni? Uchaguzi Mkuu wa gharama zote utakuwa na maana gani?
Lengo la kuwepo kwa opposition si linakuwa limeuawa na kuzikwa?
Na je sio kutatua matatizo temporarily kwa maslahi binafsi ya baadhi ya watu?
BTW Chadema na CCM, Kinana na Mbowe wanaridhiana nini?
Kwanini problems hazijatajwa hadi leo na solutions au suggestions towards solutions to those problems?
WANARIDHIANA NINI?
 
Kwahiyo ni ukweli kuwa mwenyekiti wake kwa kuingia maridhiano ni Mjinga?
Wajinga wapo , ni yule wa mbeya anayewaza ubunge wa kupewa na wewe, hajamtaja mkt.

Maridhiano yawe serious, Si mnaridhiana wao wanaendelea kuiba pesa za wananchi afu wanawaambia msiongee, mtaharibu maridhiano.

Watimize HOJA za upinzani zilizoandikwa kimaandishi.
 
Pascal Mayalla
Tundu Lissu yuko sahihi eidha anawapendeza au anawacjukiza wenzake.
1. Anazijua hila za ccm kuwa maridhiano ni danganya toto
2. Maridhiano ni mradi wa wachache na hayana hatima nzuri
3. Ametoa mifano hai jinsi ccm siku zote ni waongo hawastahili kuaminiwa pia kwa maridhiano.

Huu ndio ukweli mchungu, tunatakiwa tuwe wakweli daima.

NImekushangaa mno kwa kauliza zako zinazoonyesha woga na kujipendekeza kiasi cha kumsema Lissu kwa kauli hii hapa chini kwenye mabano👇👇👇👇👇


(Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini akifanya mikutano yake ya hadhara kwa uhuru, haku akiwa na ulinzi na usalama wa kutosha bila bugudha yoyote, tatizo lake ni lile lile moja, kuropoka!)
 
Kuna fukuto huko ndani na akitoswa sijui ataenda Kugombea chama gani Sasa..

Lisu asisahau kwamba Chadema iliwahi muuza Slaa na mambo yakaenda.
Humjui Lissu vizuri wewe.
Lissu sio fisadi wala mfia vyeo.
Hilo ni jeshi la mtu mmoja.

Ninamfahamu Lissu kabla hajaingia kwenye siasa, hajui kuogopa maisha
 
Kama haulewi siasa na ukiwa kibaraka wa ccm utamuona lissu ni mropokaji ila kama unaijua siasa na mtu mwenye kupenda haki utamuon lissu mtu na nusu ....nikwambie tu hakuna mwanasiasa yoyote pale ccm anayemuweza lissu hata ukiwekwa uchaguzi huru leo hii
Maridhiano yamefanya yeye akarudi analopoka hivi kwa uhuru bila hivyo angeendelea kuishi kwa mabeberu na kuogopa kurudi nyumbani
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, zikijadili jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa letu. Makala hizi huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utalitoa wewe mwenyewe msomaji.

Makala ya leo ni kuhusu maendeleo ya siasa zetu kuelekea uchaguzi wa 2025.

Siku zote Tanzania tumekuwa na siasa za kuhasimiana kati ya Chama tawala CCM na vyama vya upinzani, Kiingereza tukiita ni politics of confrontations, siasa zikiendeshwa kwa uadui na kila aina ya figisu, na kwenye baadhi ya maeneo korofi, ushindi kupatikana kwa bao la mkono!.

Baada ya kutokea kilichotokea, ile Machi 17, Samia Suluhu Hassan, kaingia na kitu cha kwanza alichokifanya kwenye siasa zetu, ni kuliishi tuu jina lake la Suluhu kwa kuleta suluhu ya kisiasa kuachana na siasa za kuhasimiana na kuitroduce, politics of reconciliation and politics of tolerance kwa Samia kukubali kufanya mazungumzo ya maridhiano kati ya CCM chama tawala na Chadema, chama kikuu cha upinzani Tanzania, huku akiunda tume Prof Mukandala na kuwaweka vyama vyote kujadili mustakabali mwema wa nchi yetu.

Kwanza Mama alikaa na vyama vyote kupitia TCD pale Dodoma, katika mkutano huo, kuna chama kilisusa kisa kiongozi wake yuko korokoroni!. Sisi wa ushauri wa bure, tukashauri ... Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

Kwenye mkutano huo wa TCD, waungwana wakamuombea mtu msamaha, Rais Mama Samia alivyo mtu wa hiyana, akajibu pale pale "kusameheana kupo", sisi wa kuandika, tukaandika ... Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Na kweli haikupita punde mtu akaachiwa, na sisi wa kuandika tukapongeza... Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Mara ghafla nchi ikatulia, Chadema iliyokuwa hoi bin taaban kifedha mara ikapata pumzi, ikaanza kupumua, mara sasa ikawa na uwezo hata wa kuendesha vikao, viongozi wake mara ghafla wakawa na uwezo za kufanya ziara hadi za nje ya nchi, yote haya ni matunda ya maridhiano.

Wakati Rais Mama Samia akiyafanya haya, haimaanishi CCM wote walikuwa wanayafurahia, no, kuna wahafidhina wenye nguvu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM, walimpinga Samia, hivyo Samia alishughulika nao wengine wale wenye kelele sana, ilimbidi kuwaondosha kuwaweka mbali kwa kuwapa majukumu mengine ya kiutendaji ili kuwafunga midomo!

Wahafidhina hawa pia walikuwepo Chadema, na mhafidhina Mkuu ni Tundu Lissu! Mama akafuata hadi Ubelgiji akamtuliza, ila hakuacha kuropoka!


Mimi Tundu Lissu nimesoma nae sekondari Ilboru, hivyo namfahamu sana, kwanza ni kichwa sana, very bright and brilliant, tatizo lake ni kuropoka!, Lissu ni mropokaji!.
Hivyo nimeisha andika mengi humu kumhusu Tundu Lissu miongoni mwake ni haya
Uropokaji kwa wanaharakati ni sifa muhimu sana haswa katika utetezi wa haki za binadamu. Hivyo katika harakati za mwanzo za vyama vingi, Chadema kilikuwa ni chama cha kiharakati hivyo wanaharakati kama kina Tundu Lissu, Dr. Wilbrod Slaa, Zitto Kabwe na wengine wengi kuwa ni asset muhimu sana kwa mapambano ya kudai haki.

Ni kufuatia uanaharakati wa Tundu Lissu, mimi ni miongoni mwa tulimshauri Tundu Lissu, ndie amkabili Magufuli uchaguzi wa 2020 Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! hicho nilichokisema hapo kuwa Tundu Lissu ni zaidi ya Magufuli, ndicho kitakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari.

Very unfortunately Lissu kikamtokea cha kumtokea, na kukimbilia nje ya nchi kutimizwa. Akiwa matibabuni, aliendelea kuropoka!, na kwa mambo aliyokuwa akiongea kuhusu Tanzania, mimi nilifika mahali, nikadhania Tundu Lissu hatarejea tena nchini Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Kumbe Tundu Lissu ni very bold, akaomba kuhakikishiwa usalama wake ili arejee nyumbani, japo aliowaomba wamhakikishie usalama, walimkalia kimya, hawakumjujibu, ni akina sisi, ndio tulimmshauri arejee tuu hivyo hivyo na kweli akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Moja ya sifa kubwa za pekee za Tundu Lissu, ni mkweli daima na kwenye ukweli, Lissu hana simile wala hakopeshi, hata ukweli huu kuhusu kilichotokea ndani ya Chadema, ni Lissu ndie aliyetoa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini akifanya mikutano yake ya hadhara kwa uhuru, haku akiwa na ulinzi na usalama wa kutosha bila bugudha yoyote, tatizo lake ni lile lile moja, kuropoka!

Hebu msikilize hapa



Swali ni kwa hiki anachoongea hapa, Tundu Lissu, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema ni ujinga?, hizi lugha Tundu Lissu anazotumia, jee ni lugha za kiungwana?, ni lugha za kistaarabu? naziona kama zina ukakasi!.

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu ni asset kwa Chadema, or kwa sasa, Tundu Lissu is liability?

Wasalaam

Paskali

Paskali Acha kuspin... Lisu kasema. "...... Kuna watu wanachekacheka, tuna akili...!?"

Hapo anauliza na pia amejiinclude. Hakuna mahali amewasema wenzake bila yeye kujijumuisha.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, zikijadili jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa letu. Makala hizi huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utalitoa wewe mwenyewe msomaji.

Makala ya leo ni kuhusu maendeleo ya siasa zetu kuelekea uchaguzi wa 2025.

Siku zote Tanzania tumekuwa na siasa za kuhasimiana kati ya Chama tawala CCM na vyama vya upinzani, Kiingereza tukiita ni politics of confrontations, siasa zikiendeshwa kwa uadui na kila aina ya figisu, na kwenye baadhi ya maeneo korofi, ushindi kupatikana kwa bao la mkono!.

Baada ya kutokea kilichotokea, ile Machi 17, Samia Suluhu Hassan, kaingia na kitu cha kwanza alichokifanya kwenye siasa zetu, ni kuliishi tuu jina lake la Suluhu kwa kuleta suluhu ya kisiasa kuachana na siasa za kuhasimiana na kuitroduce, politics of reconciliation and politics of tolerance kwa Samia kukubali kufanya mazungumzo ya maridhiano kati ya CCM chama tawala na Chadema, chama kikuu cha upinzani Tanzania, huku akiunda tume Prof Mukandala na kuwaweka vyama vyote kujadili mustakabali mwema wa nchi yetu.

Kwanza Mama alikaa na vyama vyote kupitia TCD pale Dodoma, katika mkutano huo, kuna chama kilisusa kisa kiongozi wake yuko korokoroni!. Sisi wa ushauri wa bure, tukashauri ... Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

Kwenye mkutano huo wa TCD, waungwana wakamuombea mtu msamaha, Rais Mama Samia alivyo mtu wa hiyana, akajibu pale pale "kusameheana kupo", sisi wa kuandika, tukaandika ... Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Na kweli haikupita punde mtu akaachiwa, na sisi wa kuandika tukapongeza... Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Mara ghafla nchi ikatulia, Chadema iliyokuwa hoi bin taaban kifedha mara ikapata pumzi, ikaanza kupumua, mara sasa ikawa na uwezo hata wa kuendesha vikao, viongozi wake mara ghafla wakawa na uwezo za kufanya ziara hadi za nje ya nchi, yote haya ni matunda ya maridhiano.

Wakati Rais Mama Samia akiyafanya haya, haimaanishi CCM wote walikuwa wanayafurahia, no, kuna wahafidhina wenye nguvu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM, walimpinga Samia, hivyo Samia alishughulika nao wengine wale wenye kelele sana, ilimbidi kuwaondosha kuwaweka mbali kwa kuwapa majukumu mengine ya kiutendaji ili kuwafunga midomo!

Wahafidhina hawa pia walikuwepo Chadema, na mhafidhina Mkuu ni Tundu Lissu! Mama akafuata hadi Ubelgiji akamtuliza, ila hakuacha kuropoka!


Mimi Tundu Lissu nimesoma nae sekondari Ilboru, hivyo namfahamu sana, kwanza ni kichwa sana, very bright and brilliant, tatizo lake ni kuropoka!, Lissu ni mropokaji!.
Hivyo nimeisha andika mengi humu kumhusu Tundu Lissu miongoni mwake ni haya
Uropokaji kwa wanaharakati ni sifa muhimu sana haswa katika utetezi wa haki za binadamu. Hivyo katika harakati za mwanzo za vyama vingi, Chadema kilikuwa ni chama cha kiharakati hivyo wanaharakati kama kina Tundu Lissu, Dr. Wilbrod Slaa, Zitto Kabwe na wengine wengi kuwa ni asset muhimu sana kwa mapambano ya kudai haki.

Ni kufuatia uanaharakati wa Tundu Lissu, mimi ni miongoni mwa tulimshauri Tundu Lissu, ndie amkabili Magufuli uchaguzi wa 2020 Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! hicho nilichokisema hapo kuwa Tundu Lissu ni zaidi ya Magufuli, ndicho kitakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari.

Very unfortunately Lissu kikamtokea cha kumtokea, na kukimbilia nje ya nchi kutimizwa. Akiwa matibabuni, aliendelea kuropoka!, na kwa mambo aliyokuwa akiongea kuhusu Tanzania, mimi nilifika mahali, nikadhania Tundu Lissu hatarejea tena nchini Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Kumbe Tundu Lissu ni very bold, akaomba kuhakikishiwa usalama wake ili arejee nyumbani, japo aliowaomba wamhakikishie usalama, walimkalia kimya, hawakumjujibu, ni akina sisi, ndio tulimmshauri arejee tuu hivyo hivyo na kweli akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Moja ya sifa kubwa za pekee za Tundu Lissu, ni mkweli daima na kwenye ukweli, Lissu hana simile wala hakopeshi, hata ukweli huu kuhusu kilichotokea ndani ya Chadema, ni Lissu ndie aliyetoa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini akifanya mikutano yake ya hadhara kwa uhuru, haku akiwa na ulinzi na usalama wa kutosha bila bugudha yoyote, tatizo lake ni lile lile moja, kuropoka!

Hebu msikilize hapa



Swali ni kwa hiki anachoongea hapa, Tundu Lissu, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema ni ujinga?, hizi lugha Tundu Lissu anazotumia, jee ni lugha za kiungwana?, ni lugha za kistaarabu? naziona kama zina ukakasi!.

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu ni asset kwa Chadema, or kwa sasa, Tundu Lissu is liability?

Wasalaam

Paskali

Kwani Kuna shida gani na maoni hayo?vita hii ni kubwa.Ccm Wana tapatapa ikiwezekana wawe Wana gawa wabunge na siyo uchaguzi Hali.Angalia Wana vyo ng'ang'ani akina Mdee
 
Kweli hapo kwa mashabiki wa Chadema hasa hawa wa huku JF, wengi akili zao zimeishia kuipinga CCM kwa kila jambo.

Wanajiona wao na chama chao ni malaika wasiokosea, kwao wenye makosa siku zote ni CCM, hivyo hata akitokea yeyote miongoni mwao akakosea, wanaona afadhali kukaa kimya kuliko kumkosoa, wana siasa fulani za kiuoga, kuviziana, zisizo na maana yoyote.

Hawa kama hawawezi kukosoana wenyewe ndani kwa ndani, wataweza vipi kuwakosoa wale walio nje ya nyumba yao? jaribio lolote la kufanya hivyo kwangu ni sawa na unafiki.
Ndugu yangu uko kwenye mkao wa kusubiri kupewa jimbo nini? Alichozungumza Lissu kina mantiki kubwa kabisa. Kwa kifupi kama hujui CCM wanataka kuwarubuni Chadema wakubali kuachiwa baadhi ya majimbo ili wasishinikize tena katiba mpya. Lissu anakataa huu utapeli. Kwa nini kusiwe na katiba mpya kwanza halafu wananchi wawe huru kuchagua viongozi wao?
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, zikijadili jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa letu. Makala hizi huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utalitoa wewe mwenyewe msomaji.

Makala ya leo ni kuhusu maendeleo ya siasa zetu kuelekea uchaguzi wa 2025.

Siku zote Tanzania tumekuwa na siasa za kuhasimiana kati ya Chama tawala CCM na vyama vya upinzani, Kiingereza tukiita ni politics of confrontations, siasa zikiendeshwa kwa uadui na kila aina ya figisu, na kwenye baadhi ya maeneo korofi, ushindi kupatikana kwa bao la mkono!.

Baada ya kutokea kilichotokea, ile Machi 17, Samia Suluhu Hassan, kaingia na kitu cha kwanza alichokifanya kwenye siasa zetu, ni kuliishi tuu jina lake la Suluhu kwa kuleta suluhu ya kisiasa kuachana na siasa za kuhasimiana na kuitroduce, politics of reconciliation and politics of tolerance kwa Samia kukubali kufanya mazungumzo ya maridhiano kati ya CCM chama tawala na Chadema, chama kikuu cha upinzani Tanzania, huku akiunda tume Prof Mukandala na kuwaweka vyama vyote kujadili mustakabali mwema wa nchi yetu.

Kwanza Mama alikaa na vyama vyote kupitia TCD pale Dodoma, katika mkutano huo, kuna chama kilisusa kisa kiongozi wake yuko korokoroni!. Sisi wa ushauri wa bure, tukashauri ... Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

Kwenye mkutano huo wa TCD, waungwana wakamuombea mtu msamaha, Rais Mama Samia alivyo mtu wa hiyana, akajibu pale pale "kusameheana kupo", sisi wa kuandika, tukaandika ... Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Na kweli haikupita punde mtu akaachiwa, na sisi wa kuandika tukapongeza... Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Mara ghafla nchi ikatulia, Chadema iliyokuwa hoi bin taaban kifedha mara ikapata pumzi, ikaanza kupumua, mara sasa ikawa na uwezo hata wa kuendesha vikao, viongozi wake mara ghafla wakawa na uwezo za kufanya ziara hadi za nje ya nchi, yote haya ni matunda ya maridhiano.

Wakati Rais Mama Samia akiyafanya haya, haimaanishi CCM wote walikuwa wanayafurahia, no, kuna wahafidhina wenye nguvu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM, walimpinga Samia, hivyo Samia alishughulika nao wengine wale wenye kelele sana, ilimbidi kuwaondosha kuwaweka mbali kwa kuwapa majukumu mengine ya kiutendaji ili kuwafunga midomo!

Wahafidhina hawa pia walikuwepo Chadema, na mhafidhina Mkuu ni Tundu Lissu! Mama akafuata hadi Ubelgiji akamtuliza, ila hakuacha kuropoka!


Mimi Tundu Lissu nimesoma nae sekondari Ilboru, hivyo namfahamu sana, kwanza ni kichwa sana, very bright and brilliant, tatizo lake ni kuropoka!, Lissu ni mropokaji!.
Hivyo nimeisha andika mengi humu kumhusu Tundu Lissu miongoni mwake ni haya
Uropokaji kwa wanaharakati ni sifa muhimu sana haswa katika utetezi wa haki za binadamu. Hivyo katika harakati za mwanzo za vyama vingi, Chadema kilikuwa ni chama cha kiharakati hivyo wanaharakati kama kina Tundu Lissu, Dr. Wilbrod Slaa, Zitto Kabwe na wengine wengi kuwa ni asset muhimu sana kwa mapambano ya kudai haki.

Ni kufuatia uanaharakati wa Tundu Lissu, mimi ni miongoni mwa tulimshauri Tundu Lissu, ndie amkabili Magufuli uchaguzi wa 2020 Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! hicho nilichokisema hapo kuwa Tundu Lissu ni zaidi ya Magufuli, ndicho kitakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari.

Very unfortunately Lissu kikamtokea cha kumtokea, na kukimbilia nje ya nchi kutimizwa. Akiwa matibabuni, aliendelea kuropoka!, na kwa mambo aliyokuwa akiongea kuhusu Tanzania, mimi nilifika mahali, nikadhania Tundu Lissu hatarejea tena nchini Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Kumbe Tundu Lissu ni very bold, akaomba kuhakikishiwa usalama wake ili arejee nyumbani, japo aliowaomba wamhakikishie usalama, walimkalia kimya, hawakumjujibu, ni akina sisi, ndio tulimmshauri arejee tuu hivyo hivyo na kweli akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Moja ya sifa kubwa za pekee za Tundu Lissu, ni mkweli daima na kwenye ukweli, Lissu hana simile wala hakopeshi, hata ukweli huu kuhusu kilichotokea ndani ya Chadema, ni Lissu ndie aliyetoa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini akifanya mikutano yake ya hadhara kwa uhuru, haku akiwa na ulinzi na usalama wa kutosha bila bugudha yoyote, tatizo lake ni lile lile moja, kuropoka!

Hebu msikilize hapa



Swali ni kwa hiki anachoongea hapa, Tundu Lissu, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema ni ujinga?, hizi lugha Tundu Lissu anazotumia, jee ni lugha za kiungwana?, ni lugha za kistaarabu? naziona kama zina ukakasi!.

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu ni asset kwa Chadema, or kwa sasa, Tundu Lissu is liability?

Wasalaam

Paskali

Chama chochote makini kinaweza kikakubaliana katika lengo kuu lakini wanachama wakatofautiana namna ya kulifikia. Kwenye hili Chadema wameonyesha ukomavu mkubwa kwa kuruhusu tofauti zao zionekane wazi wazi. Hii nayo inaweza kuwa ni strategy ya kuwaonyesha upande wa pili kuwa ni heri wapatane na Mbowe maana kuna wakina Lissu ambao hawana uvumilivu wake.

Ndivyo ilivyokuwa Marekani. Wakati Martin Luther King anahubiri upendano upande wa pili alikuwepo Malcolm X aliyesema wazi kuwa chaguo kwa Marekani lilikuwa " the ballot or the bullet". Mbowe na Lissu wanaelewana. Juhudi za kuwachonganisha hazitafanikiwa.

Amandla...
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, zikijadili jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa letu. Makala hizi huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utalitoa wewe mwenyewe msomaji.

Makala ya leo ni kuhusu maendeleo ya siasa zetu kuelekea uchaguzi wa 2025.

Siku zote Tanzania tumekuwa na siasa za kuhasimiana kati ya Chama tawala CCM na vyama vya upinzani, Kiingereza tukiita ni politics of confrontations, siasa zikiendeshwa kwa uadui na kila aina ya figisu, na kwenye baadhi ya maeneo korofi, ushindi kupatikana kwa bao la mkono!.

Baada ya kutokea kilichotokea, ile Machi 17, Samia Suluhu Hassan, kaingia na kitu cha kwanza alichokifanya kwenye siasa zetu, ni kuliishi tuu jina lake la Suluhu kwa kuleta suluhu ya kisiasa kuachana na siasa za kuhasimiana na kuitroduce, politics of reconciliation and politics of tolerance kwa Samia kukubali kufanya mazungumzo ya maridhiano kati ya CCM chama tawala na Chadema, chama kikuu cha upinzani Tanzania, huku akiunda tume Prof Mukandala na kuwaweka vyama vyote kujadili mustakabali mwema wa nchi yetu.

Kwanza Mama alikaa na vyama vyote kupitia TCD pale Dodoma, katika mkutano huo, kuna chama kilisusa kisa kiongozi wake yuko korokoroni!. Sisi wa ushauri wa bure, tukashauri ... Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

Kwenye mkutano huo wa TCD, waungwana wakamuombea mtu msamaha, Rais Mama Samia alivyo mtu wa hiyana, akajibu pale pale "kusameheana kupo", sisi wa kuandika, tukaandika ... Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Na kweli haikupita punde mtu akaachiwa, na sisi wa kuandika tukapongeza... Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Mara ghafla nchi ikatulia, Chadema iliyokuwa hoi bin taaban kifedha mara ikapata pumzi, ikaanza kupumua, mara sasa ikawa na uwezo hata wa kuendesha vikao, viongozi wake mara ghafla wakawa na uwezo za kufanya ziara hadi za nje ya nchi, yote haya ni matunda ya maridhiano.

Wakati Rais Mama Samia akiyafanya haya, haimaanishi CCM wote walikuwa wanayafurahia, no, kuna wahafidhina wenye nguvu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM, walimpinga Samia, hivyo Samia alishughulika nao wengine wale wenye kelele sana, ilimbidi kuwaondosha kuwaweka mbali kwa kuwapa majukumu mengine ya kiutendaji ili kuwafunga midomo!

Wahafidhina hawa pia walikuwepo Chadema, na mhafidhina Mkuu ni Tundu Lissu! Mama akafuata hadi Ubelgiji akamtuliza, ila hakuacha kuropoka!


Mimi Tundu Lissu nimesoma nae sekondari Ilboru, hivyo namfahamu sana, kwanza ni kichwa sana, very bright and brilliant, tatizo lake ni kuropoka!, Lissu ni mropokaji!.
Hivyo nimeisha andika mengi humu kumhusu Tundu Lissu miongoni mwake ni haya
Uropokaji kwa wanaharakati ni sifa muhimu sana haswa katika utetezi wa haki za binadamu. Hivyo katika harakati za mwanzo za vyama vingi, Chadema kilikuwa ni chama cha kiharakati hivyo wanaharakati kama kina Tundu Lissu, Dr. Wilbrod Slaa, Zitto Kabwe na wengine wengi kuwa ni asset muhimu sana kwa mapambano ya kudai haki.

Ni kufuatia uanaharakati wa Tundu Lissu, mimi ni miongoni mwa tulimshauri Tundu Lissu, ndie amkabili Magufuli uchaguzi wa 2020 Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! hicho nilichokisema hapo kuwa Tundu Lissu ni zaidi ya Magufuli, ndicho kitakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari.

Very unfortunately Lissu kikamtokea cha kumtokea, na kukimbilia nje ya nchi kutimizwa. Akiwa matibabuni, aliendelea kuropoka!, na kwa mambo aliyokuwa akiongea kuhusu Tanzania, mimi nilifika mahali, nikadhania Tundu Lissu hatarejea tena nchini Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Kumbe Tundu Lissu ni very bold, akaomba kuhakikishiwa usalama wake ili arejee nyumbani, japo aliowaomba wamhakikishie usalama, walimkalia kimya, hawakumjujibu, ni akina sisi, ndio tulimmshauri arejee tuu hivyo hivyo na kweli akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Moja ya sifa kubwa za pekee za Tundu Lissu, ni mkweli daima na kwenye ukweli, Lissu hana simile wala hakopeshi, hata ukweli huu kuhusu kilichotokea ndani ya Chadema, ni Lissu ndie aliyetoa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini akifanya mikutano yake ya hadhara kwa uhuru, haku akiwa na ulinzi na usalama wa kutosha bila bugudha yoyote, tatizo lake ni lile lile moja, kuropoka!

Hebu msikilize hapa



Swali ni kwa hiki anachoongea hapa, Tundu Lissu, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema ni ujinga?, hizi lugha Tundu Lissu anazotumia, jee ni lugha za kiungwana?, ni lugha za kistaarabu? naziona kama zina ukakasi!.

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu ni asset kwa Chadema, or kwa sasa, Tundu Lissu is liability?

Wasalaam

Paskali

Bado huwa napata taabu sana kuelewa kati ya mkweli na muongo ni yupi huwa wa maana kwa jamii !!
 
Back
Top Bottom