Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Wapumbavu hawawezi kuliona hili, Pana akili kubwa inatumika, ukizingatia mbowe ameshamaliza phase one, na kusababisha vyama leo kuweza KUPAYUKA, na bahati nzuri mpayukaji yupo he undergoes with PHASE 2.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, zikijadili jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa letu. Makala hizi huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utalitoa wewe mwenyewe msomaji.

Makala ya leo ni kuhusu maendeleo ya siasa zetu kuelekea uchaguzi wa 2025.

Siku zote Tanzania tumekuwa na siasa za kuhasimiana kati ya Chama tawala CCM na vyama vya upinzani, Kiingereza tukiita ni politics of confrontations, siasa zikiendeshwa kwa uadui na kila aina ya figisu, na kwenye baadhi ya maeneo korofi, ushindi kupatikana kwa bao la mkono!.

Baada ya kutokea kilichotokea, ile Machi 17, Samia Suluhu Hassan, kaingia na kitu cha kwanza alichokifanya kwenye siasa zetu, ni kuliishi tuu jina lake la Suluhu kwa kuleta suluhu ya kisiasa kuachana na siasa za kuhasimiana na kuitroduce, politics of reconciliation and politics of tolerance kwa Samia kukubali kufanya mazungumzo ya maridhiano kati ya CCM chama tawala na Chadema, chama kikuu cha upinzani Tanzania, huku akiunda tume Prof Mukandala na kuwaweka vyama vyote kujadili mustakabali mwema wa nchi yetu.

Kwanza Mama alikaa na vyama vyote kupitia TCD pale Dodoma, katika mkutano huo, kuna chama kilisusa kisa kiongozi wake yuko korokoroni!. Sisi wa ushauri wa bure, tukashauri ... Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

Kwenye mkutano huo wa TCD, waungwana wakamuombea mtu msamaha, Rais Mama Samia alivyo mtu mwenye wema wa asili, Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...
, akajibu pale pale "kusameheana kupo", sisi wa kuandika, tukaandika ... Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Na kweli haikupita punde mtu akaachiwa, na sisi wa kuandika tukapongeza... Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Mara ghafla nchi ikatulia, Chadema iliyokuwa hoi bin taaban kifedha mara ikapata pumzi, ikaanza kupumua, mara sasa ikawa na uwezo hata wa kuendesha vikao, viongozi wake mara ghafla wakawa na uwezo za kufanya ziara hadi za nje ya nchi, yote haya ni matunda ya maridhiano.

Wakati Rais Mama Samia akiyafanya haya, haimaanishi CCM wote walikuwa wanayafurahia, no, kuna wahafidhina wenye nguvu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM, walimpinga Samia, hivyo Samia alishughulika nao wengine wale wenye kelele sana, ilimbidi kuwaondosha kuwaweka mbali kwa kuwapa majukumu mengine ya kiutendaji ili kuwafunga midomo!

Wahafidhina hawa pia walikuwepo Chadema, na miongoni mwa wahafidhina hawa wa Chadema ni M/Mwenyekiti, Mhe. Tundu Lissu!.

Mama Samia alipopita Ubelgiji, Tundu Lissu akachangamkia fursa ya kuonana na kufanya mazungumzo na Tundu Lissu, ila baada tuu ya mazungumzo baina ya Tundu Lissu na Samia, Tundu Lissu akaibuka na haya,

Mimi Tundu Lissu nimesoma nae sekondari Ilboru, hivyo namfahamu sana, kwanza ni kichwa sana, Tundu Lissu ni kichwa cha ukweli, very bright and brilliant, tatizo lake ni moja tuu, ambalo nimeisha lisema kwenye bandiko langu hili Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Hivyo nimeisha andika mengi humu kumhusu Tundu Lissu miongoni mwake ni haya
Mtu kuwa vocal kwa wanaharakati ni sifa muhimu sana haswa katika utetezi wa haki za binadamu. Hivyo katika harakati za mwanzo za vyama vingi, Chadema kilikuwa ni chama cha kiharakati hivyo wanaharakati kama kina Tundu Lissu, Dr. Wilbrod Slaa, Zitto Kabwe na wengine wengi walikuwa very vocal hivyo kuwa ni asset muhimu sana kwa mapambano ya kudai haki.

Ni kufuatia uanaharakati wa Tundu Lissu, mimi ni miongoni mwa tulimshauri Tundu Lissu, ndie amkabili Magufuli uchaguzi wa 2020 Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! hicho nilichokisema hapo kuwa Tundu Lissu ni zaidi ya Magufuli, kwenye nini, ndicho kitu kitakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari!.

Mara tuu baada ya kumshauri Tundu Lissu amkabili Magufuli, ndipo like tukio la very unfortunately likamtokea Tundu Lissu kwa kushambuliwa na wasiojulikana, na kukimbizwa nje ya nchi kutibiwa. Akiwa matibabuni, aliendelea kuwa vocal, na kwa mambo aliyokuwa akiongea kuhusu Tanzania, mimi nilifika mahali, nikadhania Tundu Lissu hatarejea tena nchini Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Kumbe Tundu Lissu ni very bold, akaomba kuhakikishiwa usalama wake ili arejee nyumbani, japo aliowaomba wamhakikishie usalama, walimkalia kimya, hawakumjujibu, ni akina sisi, ndio tulimmshauri arejee tuu hivyo hivyo na kweli akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Moja ya sifa kubwa za pekee za Tundu Lissu, ni mkweli daima na kwenye ukweli, Lissu hana simile wala hakopeshi, hata ukweli huu kuhusu kilichotokea ndani ya Chadema, ni Lissu ndie aliyetoa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini akifanya mikutano yake ya hadhara kwa uhuru, huku akiwa na ulinzi na usalama wa kutosha bila bugudha yoyote, tatizo lake ni lile lile moja, he is very vocal!.

Hebu msikilize hapa



Swali ni kwa hiki anachoongea hapa, Tundu Lissu, sio kuwa ameanza kutoa siri za mazungumzo ya maridhiano kabla the public hatujatangaziwa rasmi na wana maridhiano wenyewe?!.

Kumbe kwenye mazungumzo ya maridhiano watu wameridhiana kugawana nusu mkate!. Nani alilijua hili?. Kumbe wameahidiana kuachiana majimbo!, nani alilijia hili?, kama sio Tundu Lissu kuyasema haya, akina sisi tungejuaje na mazungumzo ya maridhiano ni siri!. Asante Lissu kwa taarifa hii.

Kwa kawaida mazungumzo yoyote ya majadiliano au reconciliation hufanywa behind the camera with honest, truthfulness, trust na the spirit of a win win situation, hakuna mshindi, hakuna mshindwa. No any details za mazungumzo hayo hutolewa nje kwenye public domain kabla ya kufikia muafaka, wanaridhiana nini, but now through Tundu Lissu, the cat is out of basket, you can't hide anymore!, this is breach of trust!.

Lissu anazungumza kwa kutumia lugha kali!, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema kweli ni ujinga?.

Hizi lugha za Tundu Lissu anazotumia, ambazo ni very vocal, jee ni lugha za kistaarabu na kiungwana?, mimi naziona kama zina ukakasi fulani, lakini sijui nyinyi wenzangu.

Hii sio mara yangu ya kwanza kuialert Chadema about the impending doom!, walipompokea Edward Lowassa, niliwaeleza kitu Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM! japo nilibezwa, lakini la kutokea lilikuja kutokea, hivyo sitashangaa hata hapa nikibezwa, ila litakapotokea la kutokea, nitawakumbusha.

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu badi ni asset kwa Chadema, au kwa sasa, Tundu Lissu is liability?. Sisi waona mbali, kuna kitu hapa tunakiona kwa mbali, kisipokuwa handled with care, it's going to cost Chadema very dearly.

Wasalaam

Paskali

Lissu ni disaster kwa CHADEMA na Tanzania
 
Mr Mayalla swali gani unatuuliza wadau. Unachokitetea ni utanzania unaotucost pakubwa. The guy is straight forward and bold. Na ubobezi wako mr Mayalla unaona vyama kukaa mezani na kugawana majimbo ni kuwatendea haki watanzania?does this make genuine democracy ? Katiba mpya wanasiasa wawili wakae na kuja kuwahadaa watanzania? Man stop hyppocracy .the guy is truthful na mamback up pakubwa. Tena asonge mbele atoke kwenye mfuko wa huyu mlamba asali na mabeberu tutambeba. Move za mbowe ni zile zile za enzi za Lowassa .deal juu ya deal

E
Naunga mkono hoja japo pia naamini there is an unknown plan between the two Guys ! Time will tell !!
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, zikijadili jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa letu. Makala hizi huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utalitoa wewe mwenyewe msomaji.

Makala ya leo ni kuhusu maendeleo ya siasa zetu kuelekea uchaguzi wa 2025.

Siku zote Tanzania tumekuwa na siasa za kuhasimiana kati ya Chama tawala CCM na vyama vya upinzani, Kiingereza tukiita ni politics of confrontations, siasa zikiendeshwa kwa uadui na kila aina ya figisu, na kwenye baadhi ya maeneo korofi, ushindi kupatikana kwa bao la mkono!.

Baada ya kutokea kilichotokea, ile Machi 17, Samia Suluhu Hassan, kaingia na kitu cha kwanza alichokifanya kwenye siasa zetu, ni kuliishi tuu jina lake la Suluhu kwa kuleta suluhu ya kisiasa kuachana na siasa za kuhasimiana na kuitroduce, politics of reconciliation and politics of tolerance kwa Samia kukubali kufanya mazungumzo ya maridhiano kati ya CCM chama tawala na Chadema, chama kikuu cha upinzani Tanzania, huku akiunda tume Prof Mukandala na kuwaweka vyama vyote kujadili mustakabali mwema wa nchi yetu.

Kwanza Mama alikaa na vyama vyote kupitia TCD pale Dodoma, katika mkutano huo, kuna chama kilisusa kisa kiongozi wake yuko korokoroni!. Sisi wa ushauri wa bure, tukashauri ... Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

Kwenye mkutano huo wa TCD, waungwana wakamuombea mtu msamaha, Rais Mama Samia alivyo mtu mwenye wema wa asili, Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila...
, akajibu pale pale "kusameheana kupo", sisi wa kuandika, tukaandika ... Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Na kweli haikupita punde mtu akaachiwa, na sisi wa kuandika tukapongeza... Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Mara ghafla nchi ikatulia, Chadema iliyokuwa hoi bin taaban kifedha mara ikapata pumzi, ikaanza kupumua, mara sasa ikawa na uwezo hata wa kuendesha vikao, viongozi wake mara ghafla wakawa na uwezo za kufanya ziara hadi za nje ya nchi, yote haya ni matunda ya maridhiano.

Wakati Rais Mama Samia akiyafanya haya, haimaanishi CCM wote walikuwa wanayafurahia, no, kuna wahafidhina wenye nguvu na ushawishi mkubwa ndani ya CCM, walimpinga Samia, hivyo Samia alishughulika nao wengine wale wenye kelele sana, ilimbidi kuwaondosha kuwaweka mbali kwa kuwapa majukumu mengine ya kiutendaji ili kuwafunga midomo!

Wahafidhina hawa pia walikuwepo Chadema, na miongoni mwa wahafidhina hawa wa Chadema ni M/Mwenyekiti, Mhe. Tundu Lissu!.

Mama Samia alipopita Ubelgiji, Tundu Lissu akachangamkia fursa ya kuonana na kufanya mazungumzo na Tundu Lissu, ila baada tuu ya mazungumzo baina ya Tundu Lissu na Samia, Tundu Lissu akaibuka na haya,

Mimi Tundu Lissu nimesoma nae sekondari Ilboru, hivyo namfahamu sana, kwanza ni kichwa sana, Tundu Lissu ni kichwa cha ukweli, very bright and brilliant, tatizo lake ni moja tuu, ambalo nimeisha lisema kwenye bandiko langu hili Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Hivyo nimeisha andika mengi humu kumhusu Tundu Lissu miongoni mwake ni haya
Mtu kuwa vocal kwa wanaharakati ni sifa muhimu sana haswa katika utetezi wa haki za binadamu. Hivyo katika harakati za mwanzo za vyama vingi, Chadema kilikuwa ni chama cha kiharakati hivyo wanaharakati kama kina Tundu Lissu, Dr. Wilbrod Slaa, Zitto Kabwe na wengine wengi walikuwa very vocal hivyo kuwa ni asset muhimu sana kwa mapambano ya kudai haki.

Ni kufuatia uanaharakati wa Tundu Lissu, mimi ni miongoni mwa tulimshauri Tundu Lissu, ndie amkabili Magufuli uchaguzi wa 2020 Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! hicho nilichokisema hapo kuwa Tundu Lissu ni zaidi ya Magufuli, kwenye nini, ndicho kitu kitakuja kuigharimu Chadema mbele ya safari!.

Mara tuu baada ya kumshauri Tundu Lissu amkabili Magufuli, ndipo like tukio la very unfortunately likamtokea Tundu Lissu kwa kushambuliwa na wasiojulikana, na kukimbizwa nje ya nchi kutibiwa. Akiwa matibabuni, aliendelea kuwa vocal, na kwa mambo aliyokuwa akiongea kuhusu Tanzania, mimi nilifika mahali, nikadhania Tundu Lissu hatarejea tena nchini Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Kumbe Tundu Lissu ni very bold, akaomba kuhakikishiwa usalama wake ili arejee nyumbani, japo aliowaomba wamhakikishie usalama, walimkalia kimya, hawakumjujibu, ni akina sisi, ndio tulimmshauri arejee tuu hivyo hivyo na kweli akarejea Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Moja ya sifa kubwa za pekee za Tundu Lissu, ni mkweli daima na kwenye ukweli, Lissu hana simile wala hakopeshi, hata ukweli huu kuhusu kilichotokea ndani ya Chadema, ni Lissu ndie aliyetoa Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

Kwa sasa Tundu Lissu yupo nchini akifanya mikutano yake ya hadhara kwa uhuru, huku akiwa na ulinzi na usalama wa kutosha bila bugudha yoyote, tatizo lake ni lile lile moja, he is very vocal!.

Hebu msikilize hapa



Swali ni kwa hiki anachoongea hapa, Tundu Lissu, sio kuwa ameanza kutoa siri za mazungumzo ya maridhiano kabla the public hatujatangaziwa rasmi na wana maridhiano wenyewe?!.

Kumbe kwenye mazungumzo ya maridhiano watu wameridhiana kugawana nusu mkate!. Nani alilijua hili?. Kumbe wameahidiana kuachiana majimbo!, nani alilijia hili?, kama sio Tundu Lissu kuyasema haya, akina sisi tungejuaje na mazungumzo ya maridhiano ni siri!. Asante Lissu kwa taarifa hii.

Kwa kawaida mazungumzo yoyote ya majadiliano au reconciliation hufanywa behind the camera with honest, truthfulness, trust na the spirit of a win win situation, hakuna mshindi, hakuna mshindwa. No any details za mazungumzo hayo hutolewa nje kwenye public domain kabla ya kufikia muafaka, wanaridhiana nini, but now through Tundu Lissu, the cat is out of basket, you can't hide anymore!, this is breach of trust!.

Lissu anazungumza kwa kutumia lugha kali!, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema kweli ni ujinga?.

Hizi lugha za Tundu Lissu anazotumia, ambazo ni very vocal, jee ni lugha za kistaarabu na kiungwana?, mimi naziona kama zina ukakasi fulani, lakini sijui nyinyi wenzangu.

Hii sio mara yangu ya kwanza kuialert Chadema about the impending doom!, walipompokea Edward Lowassa, niliwaeleza kitu Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM! japo nilibezwa, lakini la kutokea lilikuja kutokea, hivyo sitashangaa hata hapa nikibezwa, ila litakapotokea la kutokea, nitawakumbusha.

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu badi ni asset kwa Chadema, au kwa sasa, Tundu Lissu is liability?. Sisi waona mbali, kuna kitu hapa tunakiona kwa mbali, kisipokuwa handled with care, it's going to cost Chadema very dearly.

Wasalaam

Paskali

Mbona hoja yake inaeleweka; Maridhiano sawa lkn haimaanishi Chadema wawe Wajinga...you take it with a pinch of salt, au siyo Mzee? We naye unaelekea kuzeeka Mzee baba
 
Tuache ramli, hoja ijibiwe kama ilivyo.. mara CCM, sijui nataka jimbo, mara nina jambo binafsi na Lissu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah!

Haya ya "CCM na kutaka jimbo" mbona siyaelewi yamefikafikaje hapa!

Hiyo "ramli" inahusu nini?

Lissu amesema kama alivyosema, na waliotaka kumwelewa wamemwelewa kwa hiyo lugha aliyotumia, ambayo ndiyo njia yake ya kuwasilisha anayotaka kuyawasilisha.

Wewe kuona kuwa ni "kuropoka" huo ni mwono wako, kwa hiyo hapa hakuna hoja ya kujibu kama unavyotaka iwe.
 
Dah!

Haya ya "CCM na kutaka jimbo" mbona siyaelewi yamefikafikaje hapa!

Hiyo "ramli" inahusu nini?

Lissu amesema kama alivyosema, na waliotaka kumwelewa wamemwelewa kwa hiyo lugha aliyotumia, ambayo ndiyo njia yake ya kuwasilisha anayotaka kuyawasilisha.

Wewe kuona kuwa ni "kuropoka" huo ni mwono wako, kwa hiyo hapa hakuna hoja ya kujibu kama unavyotaka iwe.
Lisu hawezi kuwa sahihi kwa kila jambo, utulivu huu uliopo wa kisiasa mpaka Bawacha wanaandamana kwa amani na kulindwa na Polisi haukuja hivihivi, ni uungwana na busara za Mama, Freeman Mbowe na Kinana.

Lisu siyo mwanasiasa, yeye ni mwanaharakati, hata Chadema leo ipewe nchi Lisu atahamia upande wa chama cha upinzani, ndio sehemu anayoenjoy.
 
Dah!

Haya ya "CCM na kutaka jimbo" mbona siyaelewi yamefikafikaje hapa!

Hiyo "ramli" inahusu nini?

Lissu amesema kama alivyosema, na waliotaka kumwelewa wamemwelewa kwa hiyo lugha aliyotumia, ambayo ndiyo njia yake ya kuwasilisha anayotaka kuyawasilisha.

Wewe kuona kuwa ni "kuropoka" huo ni mwono wako, kwa hiyo hapa hakuna hoja ya kujibu kama unavyotaka iwe.
Hoja za kujibu zipo nyingi, basi tu naona tuomboleze msiba kwa sasa.
 
Lisu hawezi kuwa sahihi kwa kila jambo, utulivu huu uliopo wa kisiasa mpaka Bawacha wanaandamana kwa amani na kulindwa na Polisi haukuja hivihivi, ni uungwana na busara za Mama, Freeman Mbowe na Kinana.
Wewe uite "uungwana", mimi nautambua kama takwa la sheria zilizopo na hao akina Kinana na wengine kulazimishwa na takwa hilo la kisheria na kulinda hadhi zao kimataifa.
Hili la kuwa "sahihi kwa kila kitu" ni nani mwenye uwezo wa namna hiyo mkuu 'Matola'?
Lisu siyo mwanasiasa, yeye ni mwanaharakati, hata Chadema leo ipewe nchi Lisu atahamia upande wa chama cha upinzani, ndio sehemu anayoenjoy.

Sasa hii ndiyo "ramli" aliyokuwa akiisema mkuu 'denoo' hapo juu.

Na hii dhana ya "mwanasiasa", mbona inayo tafsiri pana sana kwa hapa kwetu Tanzania? Tumewaona watu chungu nzima wa kila aina ya mambo yao wakipachikwa lebo hiyo hiyo ya uanasiasa. Akina Magufuli, walikuwa wanasiasa; akina Lyatonga; Kikwete na wengine wengi wasioshabihiana kwa lolote, wote ni wanasiasa.

Sasa wewe hapa unataka kumwondolea sifa hiyo Bwana Lissu, bila ya kuwa na kipimo sahihi cha mtu kuwa mwanasiasa!
 
Hayo ndio mambo ambayo Magufuli aliyakataa, tufanye Siasa kwa nyakati na vipindi maalumu.

Sio kutafuta Tensions zisizo na kichwa wala Miguu. Nachukia mijitu type ya aina yake, uwa yanakuwa na Egoism na yenyewe kila kitu nikupinga tu, mazuri linapinga, mabaya linapinga.

Jinga hilo, litafute kazi ya kufanya sio kutafuta Tensions kwa ku-force.​
Kwani tension yake imekunyima mkate??
 
CHADEMA bado ni kitu kimoja; kama ambavyo covid-19 walipata baraka za Mwenyekiti kwenye hayo waliyofanya, ndivyo hivyo Lissu leo anayoyafanya yana baraka za Mwenyekiti.

Katika hali ya kawaida CHADEMA ilianza poteza mvuto kwa jamii baada ya maridhiano, mashabiki waa Chadema ni watu wanaopenda kuwa against CCM hata katika jambo lisilohitaji kupingwa, shabiki wa Chadema ni wale watu wa pinga pinga kila jambo.

Kwa maono yangu, zoezi la kurudisha imani ya mashabiki na wanachama lipo mikononi kwa Lissu. Yote anayofanya yana baraka zote na hata hizo ziara na mikutao ziko funded and facilitated na Chadema wenyewe.

Shortly ni kwamba Lissu na CHADEMA wanajua wafanyalo.
I guess you bet right
 
Wanabodi,

Lissu anazungumza kwa kutumia lugha kali!, anauliza kama wenzake wana akili timamu kweli, unamjua huyo anayemuulizia kama ana akili kweli ni nani?. Kitendo cha kuyaita maridhiano kuwa ni ujinga, jee maridhiano ya CCM na Chadema kweli ni ujinga?.

Hizi lugha za Tundu Lissu anazotumia, ambazo ni very vocal, jee ni lugha za kistaarabu na kiungwana?, mimi naziona kama zina ukakasi fulani, lakini sijui nyinyi wenzangu.

Kwa haya anayoyasema Lissu kutoa siri za maridhiano, je Lissu bado ni asset kwa Chadema, au kwa sasa, Tundu Lissu is liability?. Sisi waona mbali, kuna kitu hapa tunakiona kwa mbali, kisipokuwa handled with care, it's going to cost Chadema very dearly.

Wasalaam

Paskali
Niweke wazi kuwa mimi ni mwanachama wa CHADEMA.

Lkn kitendo cha mh Lissu kumtolea na kumbatiza majina yasiyo faa rais wa nchi mama Samia sikiungi mkono.

Naipenda sana cdm na kumhshimu mh Lissu lkn kwa hili binafsi naona kakengeuka.

Sawa hatukubaliani na mikataba ya ubinfsishaji wa bandari zetu lkn sikuona umuhimu wa mh Lissu kutumia maneno makali kwa huyu mama.

Kwa hili siliungi mkono ingawa najua nitapambana na upinzani lkn huu ndiyo msimamo wangu kama mwana chama wa Cdm na mfia chama.

Chama kiabakia sisi wanachama tutapita lkn pia ni muhimu kumpatia heshima yake huyu mama yetu.View attachment 2702423
Mkuu Mmawia , asante sana kwa uzalendo!. Huyu mtu wenu sio tuu ni msema hovyo, pia ni mpotoshaji!. IGA sio mkataba, ni makubaliano ya kuingia mkataba, mkataba ni HGA.

Kwenye bandiko hili, nimeuliza kama huyu jamaa bado ni an asset or now he is a liability?.
P
 
Mkuu Mmawia , asante sana kwa uzalendo!. Huyu mtu wenu sio tuu ni msema hovyo, pia ni mpotoshaji!. IGA sio mkataba, ni makubaliano ya kuingia mkataba, mkataba ni HGA.

Kwenye bandiko hili, nimeuliza kama huyu jamaa bado ni an asset or now he is a liability?.
P
Hivi Paschal umeusoma huo au hicho unachokielezea hapa?
 
Mkuu Mmawia , asante sana kwa uzalendo!. Huyu mtu wenu sio tuu ni msema hovyo, pia ni mpotoshaji!. IGA sio mkataba, ni makubaliano ya kuingia mkataba, mkataba ni HGA.

Kwenye bandiko hili, nimeuliza kama huyu jamaa bado ni an asset or now he is a liability?.
P
Huwa unajifanya mjuaji sana. Kuchanga chamba kwingi.......
 
Mkuu Mmawia , asante sana kwa uzalendo!. Huyu mtu wenu sio tuu ni msema hovyo, pia ni mpotoshaji!. IGA sio mkataba, ni makubaliano ya kuingia mkataba, mkataba ni HGA.

Kwenye bandiko hili, nimeuliza kama huyu jamaa bado ni an asset or now he is a liability?.
P
Wacha kupoteza maana kwa kuingiza ukada wako ili kumlinda asiye na habari nawe. Lissu kwa Samia yupo sahihi, Samia ni msaliti aliyegoma kutusikiliza, ametuzibia masikio hafai.

Hili bandiko hapa halistahili kuunganishwa na comments toka sehemu nyingine, usipotoshe kwa maslahi yako.
 
Back
Top Bottom