Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
Angalieni hii kenge nayo,, shukurani hiyo unampa nani, huyo alieleta mada kwa kipi sasa na wakati yeye mwenyewe anahisi, hakuna kikao wala mkutano rasmi waliokaa hao wajomba zake mungu kwamba wafikie makubaliano wauvunje huo msikiti Zaidi yenu nyie waisrael wa kyela na wewe punda mmoja kutoka kibera,, ikiwa mnawakubali sana wayahudi kwa nini msijiunge na diniShukrani sana, safii....
Ivi we una akili kweli?? Yani mungu(yesu) awaprotect wayahudi wakati wao ndo waliomtundika na kichupi pale msalabani mpaka akaomba poo,,, hivi hata kama wewe ndo mungu(yesu) utakubali kweli? Yani wakudunde alafu uwaprotect 😀Mkuu hamna kitu kama hiyo haitawahi tokea.
God bless and protect Israel.
Dogo acha mambo ya qysayngay jamvinIvi we una akili kweli?? Yani mungu(yesu) awaprotect wayahudi wakati wao ndo waliomtundika na kichupi pale msalabani mpaka akaomba poo,,, hivi hata kama wewe ndo mungu(yesu) utakubali kweli? Yani wakudunde alafu uwaprotect 😀
wagala sijui mnatumiaga kiungo gani kufikiri.
Umepanik bwana mdogo,, narudia tena, mungu(yesu) hawezi kuwaprotect wayahudi na wataishi maisha ya vita kwa kuwa wao ndio waliomvua nguo na kumtundika na kichupi pale msalabani,, sasa kataa yesu sio mungu 😀Dogo acha mambo ya qysayngay jamvin
Waondoe hiyo takataka!Maandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.
Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.
Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi
Unaelewa maana ya kuvunja mdikiti na kujenga hekalu?Wauvunjwe hekalu lisimikwe awa magaidi wamepanajisi apo na majini yao
Mshenzi mshenzi mmoja unayetetea ujinga fulaniMbumbumbu mmoja unayeshabikia usichokijua , fool
Be watchful of what you are wishing for
Mesiah wa mazayuni si Christ ambao mbumbumbu wengi katika ukristo wanadhania
Mesiah wa mazayuni ni the Antichrist in English aka Dajjal in Arab aka Leviathan in Hebrew aka Mpinga Kristo in Swahili
Et tribulation iliyoandikwa kwenye Bible na Quran!!. Bible na Quran my foot.Exactly , Ile tribulation iliyoandikwa kwenye Bible na quran ndio utakuwa mwanzo wake
Which God ? Maana waislam Mungu wenu Hana jina.
Nini umhimu wake kafara ya Kristo ilishafanyika, kilichobaki ni matambiko hivyo hakina utukufu wa Mungu.Hiyo ni kitu muhimu sana.
Unabii wa akina MwamposaHuo msikiti utavunjwa vizuri kabisaa na hii ni baada ya peace treaty ya 7 years kusainiwa ambapo mpinga kristo atafanikiwa kusainisha mkataba huu na moja ya makubaliano ni kuwa msikiti wa waislamu uvunjwe hekalu la wayahudi lijengwe infact kila mtu atashangaa why imewezekana ila kwa kuwa mpinga kristo atakuwa na uvuvio wa kishetan na kwa kuwa Mungu ameruhusu itawezekana bad thing is kwa watakaokuwepo duniani those days ndo watajua nini maana ya ghadhabu ya Mungu. Maana ile kitu biblia inaita dhiki ya Yakobo ndo itatimia hivyo kuna ukweli fulani kuwa wewe unasema ndo mwanzo wa mwisho wa dunia. Na kwa mara ya kwanza Israel itaacha kujilinda kwa 100% why maana kuna amani hivyo why kujilinda? Baada ya miaka 3.5 mpinga kristo atavunja mkataba ambapo atajitangaza yeye ndo Mungu na atalinajisi hekalu jambo hili litawaudhi wayahudi hawatakubali kumuabudu mtu ndipo mateso makali sana kwa wayahudi yatakapotokea na yatadumu kwa miaka 3.5 ndipo Yesu Kristo atakapotokea kuwaokoa na ndipo sasa watamkubali. Kwa wale watakaokuwepo duniani siku hizo pole yao tena pole kubwa sanaaa.
Dunia ifike mwisho kwa ajili Msikiti?Wakiubomoa utakuwa ndiyo mwanzo wa mwisho wa dunia
kuna mahala haupo okay.
Jitafakari.wacha
Yani mazombi ya kiislam yanauliwa hapo gaza hakuna anaesaidia ikawe ndio hicho kimsikitihawawezi kuvunja sasaivi. siku wanavunja ndio majira dunia itaisha, kwasababu mataifa yote ya kiislam yakisaidiwa na urusi na iran na china wataibuka dhidi ya Israel ambaye hatasaidiwa kabisa na Marekani wala yeyote (kwasababu hata marekani hatakuwa na uwezo kusaidia lolote), na ndipo waisrael wengi watapigwa na kukimbilia maporini ovyo hakuna yeyote wa kuwaokoa ila Mungu tu. hapo ndipo watamlilia Mungu na kumwamini kwa usahihi. naye atasikia kilio chao, atashuka na kuwaokoa wale waliobaki. 3/4 ya maadui wote yaani majeshi yaliyokuwa yanaipiga Israel itaangamizwa na Mungu kwa tetemeko, mawe na mapigo kadhaa. hapo ndipo mfalme wa wafalme atashuka kuitawala hii dunia.