Msikiti wa Al Aqsa utavunjwa muda si mrefu

Msikiti wa Al Aqsa utavunjwa muda si mrefu

Nakuhakikishia hilo haitatokea kamwe!! na wakiuvunja msikiti wa Al Aqsa basi ndio mwisho wa Taifa feki la Israel hapa duniani. Hapo si umeona Haouthi kaingia kati? siku wakigusa huo msikiti ni waislamu wa dunia yote wataiangukia Israel
Siongei kishabiki lakini moja ya plans za Israel hardliners ni kubomoa Al AQSA mosque ili kujenga hekalu lao la kale. Nobody can stop them kama Vila ambavyo imeshindikana kuwazuia sasa kwa kuua wapalestina zaidi ya elfu 20.

Strategically wana makombora ya nuclear huku anko Sam akihakikisha hakuna nchi nyingine pale mashariki ya kati inamiliki silaha za nuclear. Leo hii haiwezekani waarabu kuungana kuishambulia Israel kwa sababu hiyo.
 
Mkuu umeandika vizuri ila kuna uwezekano mkubwa helalu la Suleman lilijengwa mahali ambapo ni pembeni kidogo ya hapo maana kwenye Ufunuo 11:1-2 kuna mahali ile 'behewa iliyopo nje ya hekalu' itaachwa ili mataifa (waislamu) waitumie.

Mimi nahisi sanduku la agano litapatikana sehemu ambapo hekalu lilikuwepo na hapo ndio watajenga. Kwasasa Mungu amewafumba macho wayahudi mpaka wakati mtimilifu.
Naona kila mmoja anatafsiri unabii kwa uono wake, na siyo kwa mujibu wa maandiko yaani ni full kujichanganya. Jamani Yohana na Daniel kwanini mlitumia misamiati migumu na mafumbo kuelezea unabii wa nyakati za mwisho!!!?. Ona Sasa watoto wa Mwamposa, Kakobe, Gwajima na Lusekelo wanavyojikanyaga.
 
Hilo jambo usitamni kuliona kwenye maisha yako.

Ni kweli unabii unaonyesha kuwa huo msikiti utavunjwa na Hekalu la Suleman litajengwa upya lakini itakuwa ni kali mnoo.

Hilo jambo bora lisitukie muda huu
Leta vifungu vya biblia kusapoti nadharia yako. Siyo porojo na mapambio.
 
Maandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.

Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.

Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi


Jambo jema mana huo msikiti ulijengwa juu ya hekalu la wayahudi liliojengwa kwa mara ya kwanza na mfalme suleiman na kubomolewa na wababeli kisha kujengwa tena na mfalme zerubabeli na kubomolewa tena na warumi 70 yrs baada ya kristo.

Historia yote inawapa uhalali wayahudi kuvunja huo msikiti wa wislam wavamizi,
 
Tangu wiki iliyopita majeshi ya Israel yameanza ku-control idadi ya waumini wanaoingia katika msikiti huo, kwa kawaida huingia zaidi ya 50,000 hadi 100,000 ila majeshi yanazuia idadi hiyo kubwa sababu za ki usalama. Stay turned.

Yes, litajengwa upya, kumbuka eneo hilo hilo ndipo Hekalu la Suleimani lilijengwa na lilibomolewa mwaka 587 KK wakati mfalme Nebukadreza II wa Babeli alipovamia Yerusalemu na kuharibu mji mzima.

Huyu Nebukardeza ndiye aliyechukua (in fact aliiba) vyombo vyote vya Hekaluni na hapo ndipo ukawa mwazo wa kupotea kwa Sanduku la Angano.

Vyombo hivyo vitakatifu alienda kuvinajisi kwa kuita karamu kubwa na kuvitumia - ndipo Mwenyezi Mungu akaonyesha ukuu wake mbele yake (mene, mene, tekeli na peresi. )
 
Yani mazombi ya kiislam yanauliwa hapo gaza hakuna anaesaidia ikawe ndio hicho kimsikiti
wamejaribu kusambaza ati wasusie kununua coca cola kwasababu ni ya wayahudi, ila naona maustaadh wanabwia na kuuza cocka hapa bongo si mchezo. wasusie coca tamu vile afu wanywe azam au mo power ambayo hawajui ndani kuna nini.
 
Maandalizi ya ujenzi wa hekalu la Suleiman uko tayari. Vifaa, budget vyote viko tayari
Hekalu hili litajengwa eneo ambalo sasa hivi kuna msikiti wa Alqsa.

Utaratibu wa ujenzi utafanyika baada ya eneo hilo kutakaswa. Katika desturi za wa Israel eneo hilo hutakaswa kwa kutumia majivu ya ng'ombe mwekundu asiyekuwa na doa lolote. Na ng'ombe Huyo tayari alishazaliwa 2017.

Hekalu hili litajengwa muda wowote kuanzia sasa na msikiti wa Alqsa utabomolewa kupisha huu ujenzi

Huyo ng'ombe mwekundu akifa itakuaje ? Au ujenzi utaahirishwa mpaka azaliwe mwingine ?
 
Nabii Ibrahim hajawahi kuiombea nchi ya Israel eneo ambalo amelinunua Kwa pesa yake badala yake akaiombea nchi ya Saudi Arabia

Alijua kuwa itakuwa ni nchi ya watu waliolaniwa

Qurani 2:126
- Na alipo sema Ibrahim: Ee Mola wangu Mlezi! Ufanye huu uwe mji wa amani, na uwaruzuku watu wake matunda, wale wanao muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Akasema: Na mwenye kukufuru pia nitamstarehesha kidogo, kisha nitamsukumiza kwenye adhabu ya Moto, napo ni pahala pabaya mno pa kurejea.

Quran 2:127 -
Na kumbukeni Ibrahim na Ismail walipo inyanyua misingi ya ile Nyumba wakaomba: Ewe Mola Mlezi wetu! Tutakabalie! Hakika Wewe ndiye Msikizi Mjuzi.

Quran 2:128 -
Ewe Mola Mlezi wetu! Tujaalie tuwe ni wenye kusilimu kwako, na pia miongoni mwa vizazi vyetu wawe umma ulio silimu kwako. Na utuonyeshe njia za ibada yetu na utusamehe. Bila shaka Wewe ndiye Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.

Quran 2:129 -
Ewe Mola Mlezi wetu! Waletee Mtume anaye tokana na wao, awasomee Aya zako, na awafundishe Kitabu na hikima na awatakase. Hakika Wewe ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
Qurani ni hekaya za Mwamedi
 
Huo msikiti utavunjwa vizuri kabisaa na hii ni baada ya peace treaty ya 7 years kusainiwa ambapo mpinga kristo atafanikiwa kusainisha mkataba huu na moja ya makubaliano ni kuwa msikiti wa waislamu uvunjwe hekalu la wayahudi lijengwe infact kila mtu atashangaa why imewezekana ila kwa kuwa mpinga kristo atakuwa na uvuvio wa kishetan na kwa kuwa Mungu ameruhusu itawezekana bad thing is kwa watakaokuwepo duniani those days ndo watajua nini maana ya ghadhabu ya Mungu. Maana ile kitu biblia inaita dhiki ya Yakobo ndo itatimia hivyo kuna ukweli fulani kuwa wewe unasema ndo mwanzo wa mwisho wa dunia. Na kwa mara ya kwanza Israel itaacha kujilinda kwa 100% why maana kuna amani hivyo why kujilinda? Baada ya miaka 3.5 mpinga kristo atavunja mkataba ambapo atajitangaza yeye ndo Mungu na atalinajisi hekalu jambo hili litawaudhi wayahudi hawatakubali kumuabudu mtu ndipo mateso makali sana kwa wayahudi yatakapotokea na yatadumu kwa miaka 3.5 ndipo Yesu Kristo atakapotokea kuwaokoa na ndipo sasa watamkubali. Kwa wale watakaokuwepo duniani siku hizo pole yao tena pole kubwa sanaaa.
DNA kwanza inasemaje Kati ya wapalestina na hao walioletwa juu ya nani ni mwenye eneo?.
 
Hizi bangi muwe mnachambua sio kuchanganya humo mbegu na makushabu
Una haki ya kumjibu hivyo kutokana na uelewa wako. Niliwahi kuandika humu kuwa moja ya sababu ya Israeli kuitwa taifa teule ni kwa sababu Mungu amelichagua kama ishara kwenye kalenda ya Mungu kuelekea mwisho wa dunia.
Dunia hii ina mwisho wake, mambo mengi aliyoandika jamaa yanahitaji utulivu wa uchambuzi wa kina kutoka kwenye vitabu kadhaa vya Biblia japo yeye ameandika kirahisi sana.

Mfano suala la miaka 3.5 lipo kwenye kitabu cha Ufunuo 13:5 "Naye akapewa kinywa cha kunena maneno makuu, ya makufuru. Akapewa uwezo wa kufanya kazi yake miezi arobaini na miwili."
Miezi 42 ni sawa na miaka 3.5

Watu wana haki ya kubeza hiyo post ya jamaa lakini ndo ukweli wenyewe.
 
Huo msikiti utavunjwa vizuri kabisaa na hii ni baada ya peace treaty ya 7 years kusainiwa ambapo mpinga kristo atafanikiwa kusainisha mkataba huu na moja ya makubaliano ni kuwa msikiti wa waislamu uvunjwe hekalu la wayahudi lijengwe infact kila mtu atashangaa why imewezekana ila kwa kuwa mpinga kristo atakuwa na uvuvio wa kishetan na kwa kuwa Mungu ameruhusu itawezekana bad thing is kwa watakaokuwepo duniani those days ndo watajua nini maana ya ghadhabu ya Mungu. Maana ile kitu biblia inaita dhiki ya Yakobo ndo itatimia hivyo kuna ukweli fulani kuwa wewe unasema ndo mwanzo wa mwisho wa dunia. Na kwa mara ya kwanza Israel itaacha kujilinda kwa 100% why maana kuna amani hivyo why kujilinda? Baada ya miaka 3.5 mpinga kristo atavunja mkataba ambapo atajitangaza yeye ndo Mungu na atalinajisi hekalu jambo hili litawaudhi wayahudi hawatakubali kumuabudu mtu ndipo mateso makali sana kwa wayahudi yatakapotokea na yatadumu kwa miaka 3.5 ndipo Yesu Kristo atakapotokea kuwaokoa na ndipo sasa watamkubali. Kwa wale watakaokuwepo duniani siku hizo pole yao tena pole kubwa sanaaa.
Uongoo bwana
 
Back
Top Bottom