Uchaguzi 2020 Msimamizi wa Uchaguzi awanyima fomu CHADEMA Jimbo la Kibamba, adai fomu yao imeshachukuliwa

mie namshangaa Ngosha, kama hawezi siasa za ushindani anashindwa nn kufuta mfumo wa vyama vingi nchini? Mamlaka yote anayo sasa anakwama wapi??.
Asijaribu hilo, usimshawishi hivyo akaingiza nchi kwenye matatizo kwa utashi wake yeye. Wananchi waamue wenyewe period
 
Huyo mgombea wa chadema mbona hajui hata kujieleza? Hizo kampeni atafanyaje?

Mkuu chunguza simu yako au computer itakuwa na tatizo ,Jamaa yupo vizuri sana kama unavyomuona anajaribu kutuliza munkari wake huku akiuliza maswali ya msingi mpaka mama anapaniki.
 

Watu wenye maono kama yako ni wachache sana Mkuu,Ubarikiwe sana.
 

Nakubaliana na wewe kabisa, lakini DED sio final say, lazima kuna ngazi ya juu ya huyo DED. Hapo ndio hoja yangu ilipo.
 
Well!, let's assume that form imefichwa makusudi, Ila tukisema kwamba aliyeichukua ni wa CCM hii haina mantiki hata kidogo.

Upande mwingine because hatujui kuwa hiyo form imefichwa au imechukuliwa na mtu wa chadema au ccm. Ila kama ikibainika imechukuliwa na mtu wa chadema kiasi fulani itakuwa imeathiri na itakuwa imeexpose some weakness ndani ya chama (nimetumia neno kama so don't get me wrong).
 
Mama mchawi hakutoa form kwa yeyote bali katengeneza kisingizio feki apate kuwakomoa chadema wakidai haki adai wamemfanyia vurugu apate kisingizio cha kuwabambikia kesi.
 
Hakuna form imetoka pale bali yule mama mwenye roho mbaya katengeneza kisingizio feki cha kuwakomoa chadema
 
Nakubaliana na wewe kabisa, lakini DED sio final say, lazima kuna ngazi ya juu ya huyo DED. Hapo ndio hoja yangu ilipo.
Sawa mkuu nimekupata ila hapo naona Chadema wakitulia vizuri pasipo paniki huyo DED atatoa fomu nyingine maana CHADEMA hakuna kosa lolote walilofanya ,DED ndio kafanya kosa kutoa form pasipo kuwa na umakini.
 
Too low. Hivi unafikiri ni lazima awe ametoka CDM. Open your mind
 
Hakuna form imetoka kwa huyo mama shetani bali katengeneza kisingizio feki kuwa alitoa form akiamini chadema wataidai form kwa nguvu apate kisingizio cha kuwabambikia kesi kama kawaida yao
 
Huyo mama lazima atizamwe kwa jicho la tatu kwani lengo lake kuu ni kuwakomoa chadema na pia kuwabambikia kesi
 
Mimi Ni shabiki wa ccm nasemaje!!! hili hapana kwa kweli wapewe fomu mpya tutaonana kwenye sanduku la Kura.

kwa ufupi aliyetapeliwa hapo Ni mkurugenzi.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Mbinu za kijima zimeanza kutumika? Hana familia huyo kiongozi?
Una akili sana ndugu. CHADEMA Wamebaki kulialia tu kwenye mitandao. Kama mtu mnafahamu familia yake ilipo huko kulialia kwa nini
 
kuna mambo yanaudhi sana wallahi
inashangaza mtukufu na CCM wanadai wamenunua Ndege wamejenga Reli bwawa la umeme wameleta maendeleo ikiwemo kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge, wametengeneza mbuga mpya chato lakini bado hawajiamini kwenye sanduku la kura wanaendelea kuwatumia wakurugenziccm kuwahujumu chadema .
 
Mimi Ni shabiki wa ccm nasemaje!!! hili hapana kwa kweli wapewe fomu mpya tutaonana kwenye sanduku la Kura.

kwa ufupi aliyetapeliwa hapo Ni mkurugenzi.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Mkurugenziccm hakutoa form kwa yeyote yule mama shetani ni muongo sana, katengeneza kisingizio feki hakuna form imetoka pale kwake kaamua kujipendekeza kwa mtukufu kwa njia haramu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…