CCM wamegundua kuwa wananchi wanajua kwenye miradi yote mikubwa kuna ufisadi mkubwa ndiyo maana hawaikubali CCM kupitia hiyo miradi yoteSGR na Mindege lakini bado wanaona haitoshi mpaka wafanye figisu kwa wapinzani.
Halafu wanasaccos wanasema hawa wahuni tuwape nchi watuongoze kama huko kwao kila mtu ni kambale sasa tukiwapa nchi kweli nchi itatawalika?? Urais watausikia na kuona kwenye TV na Radio!!Nadhani CHADEMA ndo wana matatizo katika uongozi wao hasa wa ngazi za chini. Kwa mfano, Meya wa Ubungo alivuliwa uanachama na katibu wa wilaya katika hali ya sintofahamu kama hii na suala lake mpaka leo halijawahi kushughulikiwa kisheria ili kubatilisha maamuzi yale. siyo ajabu akaja kuwekewa pingamizi huko mbeleni wakati wa uteuzi. Juzi anayejiita mgombea ubunge wa kilombero naye kavuliwa uanachama na katibu wa chama, baadae mwenyekiti wa kanda akaja kubatilisha yale maamuzi, mpaka sasa haijulikani aliyemvua uanachama na aliyebatilisha maamuzi yupi aliyetoa maamuzi ya halali. Sasa kwann hali hii ijitokeze kila mara? ina maana kuna ombwe la uongozi CHADEMA. Kwanni mamlaka zao zinachezewa hivi?
Ukiziangalia Barua za Chadema ukiacha zile za Makao Makuu hazina headed, mihuri inatofautiana kutoka tawi moja kwenda jingine kiasi cha kuweza kufojiwa na mtu yoyote. Kimsingi hatuwezi kumlaumu Mkurugenzi kwa hili, hata ningekua mimi nisingeweza kutoa fomu mbili za uteuzi kwa chama kimoja. Siyo sheria wala taratibu zinaruhusu jambo hilo. Wanaotakiwa kulinda mamlaka zao ni Chadema wenyewe kwa kuweka utaratibu unaoleweka ambao hauwezi kuruhusu mwanya kwa watu wenye nia ovu kufanya uhuni. Wakati mwingine unakuta ndani ya Chadema wamevurugana kwenye uteuzi, mtu anaamua kujiandikia barua anakwenda kuchukua fomu. Mkurugenzi hawezi kujua barua hii imetoka kwa mamlaka halali ama la, kwasababu hakuna kitu chochote kinachoweza kumthibitishaia hilo zaidi ya muhuri na saini.
Hajawahi kutoa form hata moja iweje useme form mbili? au alikupa wewe hiyo form ?yaani atoe fomu mbili za uteuzi kwa chama kimoja? Kwa sheria ipi hiyo
Endelea kuota mchana!!CCM wamegundua kuwa wananchi wanajua kwenye miradi yote mikubwa kuna ufisadi mkubwa ndiyo maana hawaikubali CCM kupitia hiyo miradi yote
CCM ndiyo mnalia lia mitandaoni kwa kutengeneza ujinga kisha mtake chadema wakae kimya? Wewe na huyo mama shetani mnafanya vitendo haramu kisha unataka chadema wakae kimya?Una akili sana ndugu. CHADEMA Wamebaki kulialia tu kwenye mitandao. Kama mtu mnafahamu familia yake ilipo huko kulialia kwa nini
Hakuna mradi wa CCM unakosa kasoro yote ina ufisadi wa kutoshaEndelea kuota mchana!!
Kwani hapa tunajadili nn? Mkurugenzi si amesema ameshatoa fomu kwa CHADEMA? Sasa anawezaje kutoa fomu tena.Hajawahi kutoa form hata moja iweje useme form mbili? au alikupa wewe hiyo form ?
Mama ni mjinga sana hajatoa form kokote kaamua kuwakomoa chadema kwa lengo la kujipendekeza kwa mtukufu apate uteuzi kwenye vile viti 10 vya mtukufu RaisAmini usiamini hapa huyo mama siyo mjinga kuna Jambo hapo na sidhani me sidhani hata Kama ni ukandamizaji wa upinzani but it can't be like this! Chadema watakuwa wamezungukana wenyewe kwa wenyewe.
Mkuu kweli uwezo wako wa kufikiri umeishia hapa?Lakini upande mwingine hao chadema wanajichimbia kaburi haiwezekani mtu ambaye hakuchaguliwa na chama aende akachukue form implications hapa ni uchu wa madaraka, kutokuridhika lakini pia ndani ya chama inaonekana kabisa hakuna maamuzi sahihi yaliyofanyika wakati wa kuchagua wapeperusha bendera katika Jimbo la kibamba. Mbona hii kitu haitokei upande wa CCM, chadema itabidi wajiangalie Sana. October is around the corner ohooo!.
Chaguzi zote ambazo Ngosha Magu alishindana na wengine aliishia kuangukia pua, baada ya kuwa mbunge 1995 , chaguzi zioizofuata alihakikisha kila ukifika wakati wa uchaguzi anabaki peke yake.mie namshangaa Ngosha, kama hawezi siasa za ushindani anashindwa nn kufuta mfumo wa vyama vingi nchini? Mamlaka yote anayo sasa anakwama wapi??.
Nadhani watalitolea maamuzi hawawezi kukaa kimya hata kidogo.Viongozi wa Chadema jimbo hilo kwanini hawatolei ufafanuzi maana jimbo linakwenda hilo.
Form hakutoa katengeneza story ya uongo kuwa alitoa form kwa mtu Asiyejulikana ni aina fulani ya kisingizio cha kishamba sana, Tatizo la wanaccm ni kukariri zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM hadi kujitoa fahamu zoteKwani hapa tunajadili nn? Mkurugenzi si amesema ameshatoa fomu kwa CHADEMA? Sasa anawezaje kutoa fomu tena.
nimekupata chief Ila naomba uniombe radhi kwa kuniona Mimi Ni mmoja Kati ya Wana Sacco's.Kila chama kina mgombea mmoja tu hivyo hawawezi kupewa fomu zaidi ya mmoja! Kama Katibu wa Chadema alimtambulisha huyo mgombea basi imekula kwenu wanasaccos. Pia hiyo imetokea huko jimbo la Kilombero mpaka imebidi Saccos ya Chadema wamfukuze Katibu wao huko Kilombero. Sheria iko wazi kila Chama mgombea mmoja hivyo NEC itatoa Fomu moja tu kwa kila Mgombea wameambiwa wairudishe hiyo fomu ili wapewe nyingine.
Umeambiwa aliyechukua fomu ni mamluki wa ccm na kwavile nec ni tawi la ccm ndio maana akapewa, kwa taarifa yako huyo aliyechukua fomu hakugombea ngazi ya chama, inshort hafahamiki huko chadema ila anafahamika na tume tuLakini upande mwingine hao chadema wanajichimbia kaburi haiwezekani mtu ambaye hakuchaguliwa na chama aende akachukue form implications hapa ni uchu wa madaraka, kutokuridhika lakini pia ndani ya chama inaonekana kabisa hakuna maamuzi sahihi yaliyofanyika wakati wa kuchagua wapeperusha bendera katika Jimbo la kibamba. Mbona hii kitu haitokei upande wa CCM, chadema itabidi wajiangalie Sana. October is around the corner ohooo!.
Kwa jinsi unavyoshadadia , inaoneonekana wazi hata wewe akili zako sio timamu.Wapinzani ni vilaza sana, yani mother kawazidi hoja na akili... Yaani hata kama kuna ujanja chadema hawawezi kuukwepa hapo.
Yaani kama wanataka namba ya simu kwa msimamizi mbona hawakumuomba ya Boni
Wangekuwa wanasacos na uelewa Mdogo wasingekuwa wanabambikiwa kesi kupigwa risasi kuwahujumu kuwadhoofisha kwa kila hali wangeacha wajifie wenyewe, chadema wana uelewa mkubwa kuliko CCM ndiyo maana wamegundua mama shetani hakutoa form kokote bali kaamua kuwahadaa chadema kihuni tuWanasaccos nyinyi uelewa wenu ni mdogo sana wa kila kitu! Ndiyo maana Faru John anawazungusha atakavyo.
Ohh! that's not a point mkuu! kuna sehemu nyingine ya kujipendekeza lakini siyo kwenye delicate issue Kama hii bhana!Mama ni mjinga sana hajatoa form kokote kaamua kuwakomoa chadema kwa lengo la kujipendekeza kwa mtukufu apate uteuzi kwenye vile viti 10 vya mtukufu Rais
Hahahahaha.. Pole Boss na Samahani sana!!nimekupata chief Ila naomba uniombe radhi kwa kuniona Mimi Ni mmoja Kati ya Wana Sacco's.
nooo.[emoji119][emoji119][emoji119].
siwezi kuwa mpanua vidole na matako ili kuwadekia barabara hao wajinga badala ya kupanua akiri.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app