Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya vituo halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wametakiwa kuzingatia muda wa kufungua na kufunga vituo vya kupigia kura ili kuepusha vurugu zinazoweza kutokea katika vituo hivyo.
Akizungumza mara baada ya kufanga mafunzo hayo Msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya Nsimbo Stephano Kaliwa amewataka washiriki hao kuzingatia kanuni na sheria walizoelekezwa ili kufanya uchaguzi uwe wa amani na haki
Unaweza kumsikiliza vizuri hapa!
Akizungumza mara baada ya kufanga mafunzo hayo Msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya Nsimbo Stephano Kaliwa amewataka washiriki hao kuzingatia kanuni na sheria walizoelekezwa ili kufanya uchaguzi uwe wa amani na haki
Unaweza kumsikiliza vizuri hapa!