Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maskini dah!Heri kibaraka wa mabwenyenye kuliko kuwa kibaraka wa ma-CCM.

Wewe BOYA ,malizeni kwanza KUCHAGUA makamu Mwenyekiti ndio uje kujadili umwenyekiti mtarajiwa wa CHADEMAana ukali gani kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ana mdomo na makelle tu acha upotoshaji gentleman 🐒
Jamaa ýako na sheria zake hana uthibitisho zaidi ya vijembe vijembe vya kwenye kitchen part - amejishushia hadhi sana.Hayo mambo yanahusiana vipi na ulaji rushwa wa sultan Mbowe, kupitia Abdul na Mama yake?
Malidhiano ndiyo nini? We pumbavu nenda kwanza kasome MEMKWA ndiyo uje humuHayo ni malidhiano ni kuwa chawa, watu wanatekwa, wanakufa,alafu unaita malidhiano, huo ni usaliti kwa taifa
The Lips of Righteousness( TL) teach may but fools die for want of Wisdom.Jamani Lisu ni hazina ya taifa,
Ni Tunu ya taifa, Lisu ndio mtu aliejitoa kwa ajili ya kupigania haki ya kweli kwa Tanzania. Amejotoa kimwil,kiroho,kiakili kwa ajili ya ukombozi wa watanzania.
Bila msimamo mkali wa Lisu Mbowe angekuwa BAdo yupo gerezani mpaka leo, Lisu ndio alimwambia rais mtoe kwanza Mbowe ndipo tuendeleee na maridhiano.
Wapiga kura ndani ya chadema mpeni kura za ndio lisu kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa la Tanzania. Haki HUINUA TAIFA. RUSHWA NI ADUI WA HAKI. lisu ni mpango wa Mungu.nawatakia sikukuu njema Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
What if mwenyekiti alikuwa miongoni mwa waliofabricate?Ile kesi ilikuwa ya kubumba na ilikuwa na matundu kibao kuanzia ushahidi hadi mashahidi wenyewe.
Ilikuwa kiin machoWhat is Mbowe alikuwa miongoni mwa waliofabricate?
The End Justifies the meaning.
Baada ya mwaka huu ndio tumeanza kucheck what was that Case reflecting.
Ile case kwa mujibu wa taarifa za Mahakama ilianza seke seke lake tar 20 May 2020.
Huu ulikuwa Mwaka wa Uchaguzi chini ya Tyran regime.
Kwa macho yangu ile kesi ilisubiri mtu mmoja kuunganishwa kwenye ugaidi ahead of General Election.
Huenda Mwenyekiti alikuwa na maslahi nayo.
Chawa huwa siku zote ni watumwa wa nafsiChawa huwa siku zote ni watumwa wa nafsi