Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maprof wanageuka Chawa mithili ya akina Leprofesoer wa buguruni na wengine waliolamba sajili mpya mpya za uchawa.Upo sahihi mkuu, huyu jamaa ni inborn qualities, hata ungesoma political science,mpaka phd hawezi ukawa kama lisu, tunamaprof wangapi Tanzania BAdo ni zero kwenye mambo ya harakati, labda watanzania tuache tabia ya "unafiki, " hiyo ndo muhimu kwa mtazamo wangu. Elimu elimu ni Muhimu juu ya kuondoa unafiki na uoga mkuu.
Ccm imejaa mapumbavu kichwani empty hamjielewi kuwa mamayenu kila siku anaomba misaada kutoka Kwa mabwana zeni wakoloni yani omba omba na mafisadi.Gentleman,
hapa sio suala la nani anashinda wapi,
Muhimu sana ni kudhibiti ukoloni mambo leo Tanzania kwa mgongo wa huyo kibaraka wao eti anagombea uenyekiti wa chadema Taifa dah 🤣
Usemage tu uchawa= mlo wa sikuTunapiga kazi sio kuchingea
Watu kama lisu ni chache sana duniani, kama aliweza kumchalenge NYERERE yeye akiwa jkt, fikilia mtu huyu ni simba kiasi ganiMaprof wanageuka Chawa mithili ya akina Leprofesoer wa buguruni na wengine waliolamba sajili mpya mpya za uchawa.
Hata siwajui😁Hao ni wale wala rushwa na mafisadi mkuu
Tangu lini mbojo akawa simba wa yuda?Wale wote wanaompinga simba wa yuda lisu
punguza makasiriko basi muerevu asie mpumbavu kichwani emptyCcm imejaa mapumbavu kichwani empty hamjielewi kuwa mamayenu kila siku anaomba misaada kutoka Kwa mabwana zeni wakoloni yani omba omba na mafisadi.
Ahaa kumbe wewe ulisoma huko?Cuba ni nch kamanda ipo Kati Kati ya bahari, ukisoma huko ww utakuwa unakili sana
batalion mdomo au makelele gentleman?Lissu hawezi kumshinda mh Mbowe by any means. Lissu ajiandae kuwa cammander mpiganaji asiye na cheo lakini aongoze bataliani.

Hakuna cha tela wala nini. Mbowe ndio mwenyekiti wako upende usipende😎Tena bdo hila ni tela
Nauli ya kwenda huko alikulipia Lissu?Tupo wengi mkuu, tulisoma
Shauri yako😂Sija kataa, huyo si ni shadow wa serikali atashinda