Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewachokoza chawa wa Sultan Mbowe subiri wakupopoe.Jamani Lisu ni hazina ya taifa,
Ni Tunu ya taifa, Lisu ndio mtu aliejitoa kwa ajili ya kupigania haki ya kweli kwa Tanzania. Amejotoa kimwil,kiroho,kiakili kwa ajili ya ukombozi wa watanzania.
Bila msimamo mkali wa Lisu Mbowe angekuwa BAdo yupo gerezani mpaka leo, Lisu ndio alimwambia rais mtoe kwanza Mbowe ndipo tuendeleee na maridhiano.
Wapiga kura ndani ya chadema mpeni kura za ndio lisu kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa la Tanzania. Haki HUINUA TAIFA. RUSHWA NI ADUI WA HAKI. lisu ni mpango wa Mungu.nawatakia sikukuu njema Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Unaposikia dunia kijiji huwa unadhani ni kuchota maji mabondeni na kuchunga mbuzi?Ninachokumbuka, wakati Mbowe anatoka, Lissu alikuwa yupo uhamishoni. Labda kama msimamo huo aliutolea akiwa huko
Hizo propaganda uchwara. Unaweza kushindana naye kwenye hiyo elimu yako ya utafiti wa lumumba?ana ukali gani kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ana mdomo na makelle tu acha upotoshaji gentleman 🐒
Halafu Lissu huyo akaharibu na kudharau MARIDHIANOJamani Lisu ni hazina ya taifa,
Ni Tunu ya taifa, Lisu ndio mtu aliejitoa kwa ajili ya kupigania haki ya kweli kwa Tanzania. Amejotoa kimwil,kiroho,kiakili kwa ajili ya ukombozi wa watanzania.
Bila msimamo mkali wa Lisu Mbowe angekuwa BAdo yupo gerezani mpaka leo, Lisu ndio alimwambia rais mtoe kwanza Mbowe ndipo tuendeleee na maridhiano.
Wapiga kura ndani ya chadema mpeni kura za ndio lisu kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa la Tanzania. Haki HUINUA TAIFA. RUSHWA NI ADUI WA HAKI. lisu ni mpango wa Mungu.nawatakia sikukuu njema Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Naunga mkono hoja.Jamani Lisu ni hazina ya taifa,
Ni Tunu ya taifa, Lisu ndio mtu aliejitoa kwa ajili ya kupigania haki ya kweli kwa Tanzania. Amejotoa kimwil,kiroho,kiakili kwa ajili ya ukombozi wa watanzania.
Bila msimamo mkali wa Lisu Mbowe angekuwa BAdo yupo gerezani mpaka leo, Lisu ndio alimwambia rais mtoe kwanza Mbowe ndipo tuendeleee na maridhiano.
Wapiga kura ndani ya chadema mpeni kura za ndio lisu kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa la Tanzania. Haki HUINUA TAIFA. RUSHWA NI ADUI WA HAKI. lisu ni mpango wa Mungu.nawatakia sikukuu njema Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Lisu aliokolewa na kiongozi mmoja badae akafukuzwa kz na jpm, in short Mbowe has to go.Msimo mkali wa Mbowe ndiyo uliomponya Lissu asipoteze maisha Serikali ilitaka kumleta muhimbili baada ya kupigwa zile risasi 16 akiwa hajitambui.
Acha kujizima data kijana, watesi wa Lissu walikuwa wamejipanga vilivyo kuhakikisha anapotea hapa dunianiLisu aliokolewa na kiongozi mmoja badae akafukuzwa kz na jpm, in short Mbowe has to go.
Hizi slogans mlizokuwa mkiimba kwa miaka 60 wakati ninyi ndio mnaifasadi hii Nchi.mabwenyenye
BaaaasiSiLisu hashindwi ,ila atashinda
hakuna haja yakushindana na kibaraka gentleman,Hizo propaganda uchwara. Unaweza kushindana naye kwenye hiyo elimu yako ya utafiti wa lumumba?
