Msimamo mkali wa Lisu ndio uliomfanya Mbowe atoke gerezani

Msimamo mkali wa Lisu ndio uliomfanya Mbowe atoke gerezani

Jamani Lisu ni hazina ya taifa,
Ni Tunu ya taifa, Lisu ndio mtu aliejitoa kwa ajili ya kupigania haki ya kweli kwa Tanzania. Amejotoa kimwil,kiroho,kiakili kwa ajili ya ukombozi wa watanzania.
Bila msimamo mkali wa Lisu Mbowe angekuwa BAdo yupo gerezani mpaka leo, Lisu ndio alimwambia rais mtoe kwanza Mbowe ndipo tuendeleee na maridhiano.
Wapiga kura ndani ya chadema mpeni kura za ndio lisu kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa la Tanzania. Haki HUINUA TAIFA. RUSHWA NI ADUI WA HAKI. lisu ni mpango wa Mungu.nawatakia sikukuu njema Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Umewachokoza chawa wa Sultan Mbowe subiri wakupopoe.
 
Jamani Lisu ni hazina ya taifa,
Ni Tunu ya taifa, Lisu ndio mtu aliejitoa kwa ajili ya kupigania haki ya kweli kwa Tanzania. Amejotoa kimwil,kiroho,kiakili kwa ajili ya ukombozi wa watanzania.
Bila msimamo mkali wa Lisu Mbowe angekuwa BAdo yupo gerezani mpaka leo, Lisu ndio alimwambia rais mtoe kwanza Mbowe ndipo tuendeleee na maridhiano.
Wapiga kura ndani ya chadema mpeni kura za ndio lisu kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa la Tanzania. Haki HUINUA TAIFA. RUSHWA NI ADUI WA HAKI. lisu ni mpango wa Mungu.nawatakia sikukuu njema Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Halafu Lissu huyo akaharibu na kudharau MARIDHIANO
 
Halafu Lissu huyo akaharibu na kudharau MARIDHIANO
Hayo ni malidhiano ni kuwa chawa, watu wanatekwa, wanakufa,alafu unaita malidhiano, huo ni usaliti kwa taifa
 
Jamani Lisu ni hazina ya taifa,
Ni Tunu ya taifa, Lisu ndio mtu aliejitoa kwa ajili ya kupigania haki ya kweli kwa Tanzania. Amejotoa kimwil,kiroho,kiakili kwa ajili ya ukombozi wa watanzania.
Bila msimamo mkali wa Lisu Mbowe angekuwa BAdo yupo gerezani mpaka leo, Lisu ndio alimwambia rais mtoe kwanza Mbowe ndipo tuendeleee na maridhiano.
Wapiga kura ndani ya chadema mpeni kura za ndio lisu kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa la Tanzania. Haki HUINUA TAIFA. RUSHWA NI ADUI WA HAKI. lisu ni mpango wa Mungu.nawatakia sikukuu njema Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Naunga mkono hoja.
P
 
Msimo mkali wa Mbowe ndiyo uliomponya Lissu asipoteze maisha Serikali ilitaka kumleta muhimbili baada ya kupigwa zile risasi 16 akiwa hajitambui.
 
Msimo mkali wa Mbowe ndiyo uliomponya Lissu asipoteze maisha Serikali ilitaka kumleta muhimbili baada ya kupigwa zile risasi 16 akiwa hajitambui.
Lisu aliokolewa na kiongozi mmoja badae akafukuzwa kz na jpm, in short Mbowe has to go.
 
Lisu aliokolewa na kiongozi mmoja badae akafukuzwa kz na jpm, in short Mbowe has to go.
Acha kujizima data kijana, watesi wa Lissu walikuwa wamejipanga vilivyo kuhakikisha anapotea hapa duniani
je unajua flight ya kumpekeleka Nairobi ilipatikanaje? Kwa kibali gani, kwa finance zipi? Au ndiyo kuchongoa mdomo.
 
Back
Top Bottom