Msimamo mkali wa Lisu ndio uliomfanya Mbowe atoke gerezani

Msimamo mkali wa Lisu ndio uliomfanya Mbowe atoke gerezani

Sure lisu aishi miaka mingi
Mkuu,

Zaidi ya Lissu kuishi miaka mingi, nchi inatakiwa kujenga taasisi, inatakiwa kuelimisha watu wengi wawe kama Lissu na zaidi,

Napenda kazi anayofanya Lissu, lakini naona pia tatizo la Watanzania kumtegemea sana mtu mmoja na kumuwekea matumaini sana huyo mtu.

Kwa teknolojia ya sasa na miaka mingi ijayo, kila mtu atafariki. Inabidi tujenge taasisi zifanye maendeleo endelevu na tuachane na tabia za ku lionize na ku deify watu.

Uzuri ni kwamba Lissu mwenyewe anaelewa hili jambo na kashalizungumzia mara kadhaa. Hii itamsaidia ajikinge dhidi ya kujenga a cult of personality.

Juzi kuna mtu (Baba Mary) alikuwa anamuuliza swali Lissu akawa anampamba kwa kusema "Lissu atapita, Lissu ni mwenyekiti mtarajiwa", kimsingi yule jamaa alikuwa chawa wa Lissu anampigia Lissu jaramba.

Lissu alivyojibu kimsingi alimuambia kwamba hatujavuka huo mto, usishangilie ushindi, kuna kazi kubwa mbele yetu. Lissu alionesha uwezo mkubwa wa kubaki kwenye reli na kukataa sifa za kichawa huku akijikita kwenye uchambuzi wa kimantiki.

Ni wanasiasa wachache sana wanaweza kufanya hivyo.
 
Jamani Lisu ni hazina ya taifa,
Ni Tunu ya taifa, Lisu ndio mtu aliejitoa kwa ajili ya kupigania haki ya kweli kwa Tanzania. Amejotoa kimwil,kiroho,kiakili kwa ajili ya ukombozi wa watanzania.
Bila msimamo mkali wa Lisu Mbowe angekuwa BAdo yupo gerezani mpaka leo, Lisu ndio alimwambia rais mtoe kwanza Mbowe ndipo tuendeleee na maridhiano.
Wapiga kura ndani ya chadema mpeni kura za ndio lisu kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa la Tanzania. Haki HUINUA TAIFA. RUSHWA NI ADUI WA HAKI. lisu ni mpango wa Mungu.nawatakia sikukuu njema Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Sio kweli. Kesi ya kubambika ya ugaidi dhidi ya mh Mbowe, serekali iliamua kuiondoa baada ya kujua wanalwenda kushindwa vibaya kwa ushahidi uliowakilishwa na upande wa serekali.
Kuanzia yule mjeda Urio kina Kingai. Pia kulikuwa na kelele nyingi kwa watu wengi wakipinga kwa nguvu zote kuwa #mboweSioGaidi# Ndio mh rais akaamua kuingilia kati.
Kwa ushahidi uliowasilishwa na upande wa serekali, Mbowe angeshinda ile kesi.
 
Friends, ladies and gentlemen

naeleza haya kwa wadau, tena kwa ukweli na uwazi bila kificho wala kupepesa macho,

kwamba,
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anajaribu kujipenyeza kwenye siasa za Tanzania kwa maslahi ya mabwenyenye wanaomfadhili na si vinginevyo 🐒
Kibaraka kuliko mamayenu anayezurura kama mbwa Koko Hadi Kwa warabu wa dpwod
 
1. Sipati picha maisha ya wana chadema baada ya uchaguzi
2. Mbowe akishinda kambi ya Lissu haitarudhika
3. Lissu akishinda nako makundi ya Mbowe yatamsumbua
Lissu hawezi kumshinda mh Mbowe by any means. Lissu ajiandae kuwa cammander mpiganaji asiye na cheo lakini aongoze bataliani.
 
Mkuu,

Zaidi ya Lissu kuishi miaka mingi, nchi inatakiwa kujenga taasisi, inatakiwa kuelimisha watu wengi wawe kama Lissu na zaidi,

Napenda kazi anayofanya Lissu, lakini naona pia tatizo la Watanzania kumtegemea sana mtu mmoja na kumuwekea matumaini sana huyo ntu.

Kwa teknolojia ya sasa na miaka mingi ijayo, kila mtu atafariki. Inabidi tujenge taasisi zifanye maendeleo endelevu na tuachane na tabia za ku lionize na ku deify watu.

Uzuri ni kwamba Lissu mwenyewe anaelewa hili jambo na kashalizungumzia mara kadhaa. Hii itamsaidia ajikinge dhidi ya kujenga a cult of personality.

Juzi kuna mtu (Baba Mary) alikuwa anamuuliza swali Lissu akawa anampamba kwa kusema "Lissu atapita, Lissu ni mwenyekiti mtarajiwa", kimsingi yule jamaa alikuwa chawa wa Lissu anampigia Lissu jaramba.

Lissu alivyojibu kimsingi alimuambia kwamba hatujavuka huo mto, usishangilie ushindi, kuna kazi kubwa mbele yetu. Lissu alionesha uwezo mkubwa wa kubaki kwenye reli na kukataa sifa za kichawa huku akijikita kwenye uchambuzi wa kimantiki.

Ni wanasiasa wachache sana wanaweza kufanya hivyo.
Upo sahihi mkuu, huyu jamaa ni inborn qualities, hata ungesoma political science,mpaka phd hawezi ukawa kama lisu, tunamaprof wangapi Tanzania BAdo ni zero kwenye mambo ya harakati, labda watanzania tuache tabia ya "unafiki, " hiyo ndo muhimu kwa mtazamo wangu. Elimu elimu ni Muhimu juu ya kuondoa unafiki na uoga mkuu.
 
Lissu hawezi kumshinda mh Mbowe by any means. Lissu ajiandae kuwa cammander mpiganaji asiye na cheo lakini aongoze bataliani.
Sitashangaa kwani mwamba na mbogamboga waenguzi na wasimamizi wasaidizi ni pete na kidole .TL najua amesha jiandaa kisaikolojia kwa vitimbi vyote tarajiwa.
 
Back
Top Bottom