Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.Watu waliosoma huko ni mwiko kulipiwa nauli,
Kwani hao wanaofanya hivyo mtawafanya nini?.Lissu mwenyewe kaishia kubweka tu pembeni bila kuchukua hatua yoyote ngumu ili apate haki kwa waliomdhuru wawajibishwe.sana sana atapanda ndege akalalamikie kwa wazungu ambao wala hawana masaada wowote.Njia sahihi ilikua hiyo hiyo ya mazungumzo kwasababu chadema haina nguvu yoyote ya dola yakupambana na wadhalimu wenye dola inayopokea kila amri yakuumiza watu.Hayo ni malidhiano ni kuwa chawa, watu wanatekwa, wanakufa,alafu unaita malidhiano, huo ni usaliti kwa taifa
Mkuu kila jambo linamwisho wake, haki ya mtu hajai kipotea ila chelewa tuKwani hao wanaofanya hivyo mtawafanya nini?.Lissu mwenyewe kaishia kubweka tu pembeni bila kuchukua hatua yoyote ngumu ili apate haki kwa waliomdhuru wawajibishwe.sana sana atapanda ndege akalalamikie kwa wazungu ambao wala hawana masaada wowote.Njia sahihi ilikua hiyo hiyo ya mazungumzo kwasababu chadema haina nguvu yoyote ya dola yakupambana na wadhalimu wenye dola inayopokea kila amri yakuumiza watu.
Atashindwa kwa hila na ghiliba za MboweLissu hawezi kumshinda mh Mbowe by any means. Lissu ajiandae kuwa cammander mpiganaji asiye na cheo lakini aongoze bataliani.
Huo ndio ukweli ulio wazi....kukutana kwa lissu na Samia ubelgiji ndo kulipelekea mbowe kutokaJamani Lisu ni hazina ya taifa,
Ni Tunu ya taifa, Lisu ndio mtu aliejitoa kwa ajili ya kupigania haki ya kweli kwa Tanzania. Amejotoa kimwil,kiroho,kiakili kwa ajili ya ukombozi wa watanzania.
Bila msimamo mkali wa Lisu Mbowe angekuwa BAdo yupo gerezani mpaka leo, Lisu ndio alimwambia rais mtoe kwanza Mbowe ndipo tuendeleee na maridhiano.
Wapiga kura ndani ya chadema mpeni kura za ndio lisu kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa la Tanzania. Haki HUINUA TAIFA. RUSHWA NI ADUI WA HAKI. lisu ni mpango wa Mungu.nawatakia sikukuu njema Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Halafu Lissu huyo akaharibu na kudharau MARIDHIAN
Haahaa kweli, wamelipana hapahapaMsimo mkali wa Mbowe ndiyo uliomponya Lissu asipoteze maisha Serikali ilitaka kumleta muhimbili baada ya kupigwa zile risasi 16 akiwa hajitambui.
Kuna ambao wanakwambia kaletwa na Mungu wakati ata anayoyaongea hayathibitishwa popote.ni porojo za kawsida tu kwenye siasa.yaani sisi ni taifa la vilaza sana.nikama wadumafu wa fikra.Kwa kweli Lissu anaweza kuonekana ana msimamo mkali lakini Tanzania ni nchi legelege sana hata mtu akiwa na msimamo wa kawaida anaonekana ana msimamo mkali.
Mambo anayoongelea Lissu ya haki za binadamu, uwazi, usawa, simpke logic tu, si extreme. Tatizo ukimwambia Ntanzania kwamba kupata kazi uliyosomea ni haki yako ya kikatiba na kibinadamu, kwa sababu yeye hajui katiba wala haki za binadamu, na wewe Lissu ni mtqalamu wa sheria na haki za binadamu, anaweza kukuona wewe Lissu ni extreme.
Ni sawa na watu wanaosema fulani ana Kiingereza kigumu sana, wakati kiukweli ni Kiingereza cha kawaida sana tatizo Watanzania wengi hata Kiingereza cha kawaida tu ni mgogoro, hivyo ukiongea Kiingereza cha kawaida kimataifa, Tanzania kinaonekana kigumu.
Na kabla watu wasiojua kusoma kwa ufahamu hawajanishambulia kuwa namdogosha Lissu, sina nia ya kumdogosha Lissu, naonesha kuwa Lissu si extremist hivyo, namtetea Lissu, tatizo ni Watanzania wengi wanacheza chini ya kiwango mchezaji akicheza kawaida anaonekana anakimbia sana.
Nchi nyingine mtu kama Lissu ndiye mbunge average.
Heri kibaraka wa mabwenyenye kuliko kuwa kibaraka wa ma-CCM.ana ukali gani kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ana mdomo na makelle tu acha upotoshaji gentleman 🐒
Anayoyaongea yapi hayajathibitishwa popote?Kuna ambao wanakwambia kaletwa na Mungu wakati ata anayoyaongea hayathibitishwa popote.ni porojo za kawsida tu kwenye siasa.yaani sisi ni taifa la vilaza sana.nikama wadumafu wa fikra.
Hayo mambo yanahusiana vipi na ulaji rushwa wa sultan Mbowe, kupitia Abdul na Mama yake?Acha kujizima data kijana, watesi wa Lissu walikuwa wamejipanga vilivyo kuhakikisha anapotea hapa duniani
je unajua flight ya kumpekeleka Nairobi ilipatikanaje? Kwa kibali gani, kwa finance zipi? Au ndiyo kuchongoa mdomo.
Haahaa chawa mkuu wa mbowe hongerani mwehu kama lisu huyu mtoa mada.
na probably ni demu wa kichaa lisu
Haki HUINUA taifaAnayoyaongea yapi hayajathibitishwa popote?
Nimetaja baadhi hapo mambo ya haki za binadamu, uwazi, usawa, hizi ni universal principles, watu wameweka mpaka Universal Declaration of Human Rights tangu December 10 1948.
Wewe unasema Universal Declaration of Human Rights haijathibitishwa popote?
Unaelewa hata Universal Declaration of Human Rights ni nini?
Na kuhusu ushoga anao msimamo, na wee ni shahidi wa hilo. Unabisha?Kamtetea Mbowe mpaka ametoka gerezani,
Ww subili mkuu, huyu ni chaguo la Mungu