Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kwa mtu anayejuwa Mpira vizuri hapo Azam hamna kitu anagombea nafasi ya Pili, na Simba haina uwezo wa kuja kuifikia Yanga.View attachment 2928613
π€ΈββοΈππ
Ni matesoDuh huyu jamaa asipo ogea maji ya bahari maisha yake yatazidi kuwa machungu mno, Nasikia hata kwenye mahusiano yake hakuna usalama
Tusaidie kuwekaMkuu weka msimamo wa Leo
Aahaaaa
Yanga tunaendelea vyema kabisa,View attachment 2773305
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)
π€£π€£π€£π€£π€£Nacheka kama mazuriEti goli 2 kwa bahati mbaya
Ndugu Mwasibu, kama ilivyo kawaida yetu! Yanga tunaendelea vizuri tu. Vipi na nyinyi huko kwenu kuko salama? Unbeaten na vichapo kwa wapinzani vinaendelea kutamalaki!View attachment 2773305
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)
Dah kumbe ni wewe pia huku bwana mwasibuView attachment 2773305
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)
Nafasi ya 54!!View attachment 2773305
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)