Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Aahaaaaa[emoji23][emoji23] wewe jamaa kaoge baharini
Aloo [emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]"Kuna kauli Moja maarufu sana Huwa inasemwa Ukiona Simba anaongoza League ujue yanga Hajacheza".
Wenye Akili TIMAMU ni wawili tu.
Muda ndo huuNdugu mhasibu Huu uzi tunauhifadhi kwa matumizi ya baadae.
Hana nyotaNyuzi za muhasibu huwa zinakufa kifo cha mende.
Huyu jamaa nyuzi zake ndo zinaipa laana kolo fc. Bora asiwe anaandika nyuzi humu.
Usimstue mkuu huyu jamaa ana gundu. Mwacheni aseme vitu ili viwe vice versaNyuzi za muhasibu huwa zinakufa kifo cha mende.
Huyu jamaa nyuzi zake ndo zinaipa laana kolo fc. Bora asiwe anaandika nyuzi humu.
Hasara ya milioni 400 ya Aziz Ki mpaka kesho inamtesa.Usimstue mkuu huyu jamaa ana gundu. Mwacheni aseme vitu ili viwe vice versa