nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,050
- 363
Leo ni mchezo wa 08 amecheza Mkia..angalia table yako freshGoal difference inatishaView attachment 2808499
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ni mchezo wa 08 amecheza Mkia..angalia table yako freshGoal difference inatishaView attachment 2808499
We mzeeee sijui post zako zinakuwaje .....Yaaani ni tabu lelelaah......Yanga ligi yakwakeView attachment 2773305
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)
Tayar 😂Huu uzi ni swala la muda tu unakuja kuumbuka. Umeshaitia doa timu yako hapo
😀😀 anaukimbia tena huu uzi wake adriz kaka uzi umerudi 😀Mechi zimechezwa 4 pekee! Tayari mnashangilia kuongoza ligi! Kweli aliyewaita mbumbumbu hakukosea.
😀Mimi kama mtunza risiti mkuu wa Jf huu uzi nimeuhifadhi mahali salama .
Dah!leo ndio naona uliniita kumbe kaka 😀😀
AahaaaaHuu uzi nilikua nautafuta sana View attachment 2809092
Hahaaha..View attachment 2773305
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)
Hahahaaa. Swahiba tatizo mwasibu huwa anapapara sana. 😂
Jamaa atakuwa ana mkosi huyu. Itabidi aende kwa Mwamposa ampake yale mafuta ya upako maana hakuna kitu alichowahi andika kikafanikiwa. Mwambie awake msimamo wa hadi leo mkuu?😃😃😃😃😃Ndugu mhasibu Huu uzi tunauhifadhi kwa matumizi ya baadae.
Mwasibu ana nuksi huyo.Huku ni kupatwa tena kwa mwasibu.
Muwasibu wa mchongo aibu yake 😂,uzi wake wa 4 huu unaodhihirisha rage alikua sahihi kuwapa lile jina 😂Hahahaaa. Swahiba tatizo mwasibu huwa anapapara sana. 😂
Vipi kipchonge? Vipi kwasasa unaamini maneno ya Ally Kamwe kuwa ligi ni marathon au bado?Ally Kamwe anasema eti sio mpira tena ni marathon, basi kama ni marathon mwambieni simba ni kipchoge
Ana yatimba tu [emoji23]Huku ni kupatwa tena kwa mwasibu.
Yametimia kakaHuu uzi ni swala la muda tu unakuja kuumbuka. Umeshaitia doa timu yako hapo
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.....CPA ya mchongo Okw dah mjomba una bidii.View attachment 2773305
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)
Mhasibu OKW BOBAN SUNZU, nilikutabiria mapema kabisa kuukimbia huu uzi kama ulivyofanya kwenye zile nyuzi zako mbili!Na mwisho wa msimu utakuja tena kuukimbia huu uzi kama ulivyofanya kwenye zile nyuzi zako 2! Ni suala tu la muda.