kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Updates msimamo kwa sasa ..View attachment 2850997
Cc : Shadeeya kelphin Mzee wa kupambania ukikaidi utapigwa2 Scars Tate Mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Updates msimamo kwa sasa ..View attachment 2850997
Cc : Shadeeya kelphin Mzee wa kupambania ukikaidi utapigwa2 Scars Tate Mkuu
Huyu Mwasibu angeanza kushabikia CCM angeisaidia sana nchi.Mleta Uzi kama kawaida yake amekula Kona ya mbali kabisa..
Cc : OKW BOBAN SUNZU ,huu uzi Una warranty mpaka mwisho wa msimu ,usikimbia mapema tuendelee kupenda updates..
Safi sana Mtu wa kumbukumbu.Updates msimamo kwa sasa ..View attachment 2850997
Cc : Shadeeya kelphin Mzee wa kupambania ukikaidi utapigwa2 Scars Tate Mkuu
Kabisa ndugu yangu. Ndo kwanza first round. 🤣🤣Mleta Uzi kama kawaida yake amekula Kona ya mbali kabisa..
Cc : OKW BOBAN SUNZU ,huu uzi Una warranty mpaka mwisho wa msimu ,usikimbia mapema tuendelee kupenda updates..
Kwa hiyo nyinyi mna msimamo wenu?
Huyu mwana nyuzi zake anakimbia, mwisho wake aikimbie na familiaWe jamaa nahisi hata kuchagua mke umekosea
Msianzishe nyuzi kwa michepuko
Noma sana...Ukitaka upige hela kwenye kubet msikilize mleta uzi halafu nenda kinyume.
Msimamo unasemajeView attachment 2773305
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)
Hahahaha,jamaa anapuyanga sanaUkitaka upige hela kwenye kubet msikilize mleta uzi halafu nenda kinyume.
Kipchoge bado upo kwenye huu uzi au ushaukimbia kama ndugu yako mwasibu OKW BOBAN SUNZUAlly Kamwe anasema eti sio mpira tena ni marathon, basi kama ni marathon mwambieni simba ni kipchoge
Kaka ligi ni marathon kwa mujibu wa Ally KamweKipchoge bado upo kwenye huu uzi au ushaukimbia kama ndugu yako mwasibu OKW BOBAN SUNZU
Balaa yaani mkuuHuyu mwana nyuzi zake anakimbia, mwisho wake aikimbie na familia
Ana mikosiHuyu jamaa asiwe anaanzisha thread aiseee, kila akiongea lazima kije tofauti.
Naona wapinzani tayari wameanza kupoteana. Ukija kwa Mwasibu wetu, ndiyo kabisaa 😁Updates msimamo kwa sasa ..View attachment 2850997
Cc : Shadeeya kelphin Mzee wa kupambania ukikaidi utapigwa2 Scars Tate Mkuu