Msimamo wa nchi za Afrika juu ya suala la Urusi na Ukraine ni jambo dogo sana linalopaswa kuongozwa na kanuni, sio maslahi ya nchi zetu

Kwa sababu pia hilo ndilo lengo kuu la kuweka hizo kanuni, wao wanaita "world order".

Ni kama kucheza mchezo wa kubet ambao mshindi tayari anajulikana. Underlying algorithms zimepangwa zikapangika kumtengeneza mshindi fulani, yule aliyeziweka hizo kanuni. Well, watu wanaojihisi "kunyanyaswa" mara nyingi ndio wale ambao hawkuridhika na matokeo ya uchaguzi. Tulianza kusikia haya mambo ya rushwa kwenye mikataba mara tu baada ya Tanzania kuridhia matakwa ya free market economy maana wajanja walioweka hizo kanuni wanajua kucheza hiyo michezo ya freemarket.

Putin is not a fool.
 
Si ndio wanachokuambia kila siku na kufundisha watoto darasani, mzee mimi ndio nina mtindio au wao...
Kaka soma Minsk Agreement uje hapa bhana achana na longolongo za BBC, Washington Post.
Kwa hiyo Misnky Agreement sijui inasema Zelensky akikiuka makubaliano Urusi ina haki ya kuvamia Ukraine na kuchukua sehemu za Ukraine, sivyo?
 
I say, wewe sikuwezi. Kama hiyo ndio reasoning yako, mbona imbombo ilipo na pijo na lori na mafikifiki!
 
Kasome Minsk Agreement, signatory akiwa Angel Merkel.
Sign out.
 
Putin sio mjinga mwambie huyo, Putin ni Smart President ila huyu dogo hawezi elewa
 
Si ndio wanachokuambia kila siku na kufundisha watoto darasani, mzee mimi ndio nina mtindio au wao...
Kaka soma Minsk Agreement uje hapa bhana achana na longolongo za BBC, Washington Post.
Sioni dalili za kuwa nabishana na mtu mwenye uwezo wa kusoma Washington Post au kusikiliza BBC hapa.
 
Sioni dalili za kuwa nabishana na mtu mwenye uwezo wa kusoma Washington Post au kusikiliza BBC hapa.
Mimi sizisomi hizo, naona ndo unapopata info zako, Elimu ni gharama you have to PAY attention
 
Sioni dalili za kuwa nabishana na mtu mwenye uwezo wa kusoma Washington Post au kusikiliza BBC hapa.
Haile Sellasie UN speech ya mwaka 1963 alikuambia matatizo hayataisha, je yatatulika kwa amani, constitutionally or by force
 
Kasome Minsk Agreement, signatory akiwa Angel Merkel.
Sign out.
Hebu ona sasa. Angel Merkel akiwa signatory wa Minsk Agreement, maana yake nini?. Wanasheria wasije wakasoma hii post yako watapendekeza ukimbizwe haopitali fulani.
 
Tuna matatizo yetu,wana matatizo yao. Unaingilia vita vya urusi wakati hujamalizana na vita vya TANESCO wakati huko kwao daraja linavunjwa leo linajengwa kesho na umeme upo hata nchi ikiwa vitani.
 
Haile Sellasie UN speech ya mwaka 1963 alikuambia matatizo hayataisha, je yatatulika kwa amani, constitutionally or by force
Una quote vitu ambavyo ni very irrelevant. Sasa quote ya Haile Sellasie kuhusu kutatua mambo kwa kutumia consitution inaingiaje kwenye mgogoro wa Urusi na Ukraine? Unajua maana ya constitution? Constitution ipi utatumia kusuluhisha suala la Urusi na Ukraine.

Usifiche ujinga wako kwa kutumia maneno ya kiingereza unayookota mahali fulani fulani. I can see right through your statements kwamba huna uwezo wa kujadili hii thread. Sio ligi yako, kaa pembeni
 
Hebu ona sasa. Angel Merkel akiwa signatory wa Minsk Agreement, maana yake nini?. Wanasheria wasije wakasoma hii post yako watapendekeza ukimbizwe haopitali fulani.
Dah mkuu, nimekosea njia endelea na watu wako.
 
Putin sio mjinga mwambie huyo, Putin ni Smart President ila huyu dogo hawezi elewa
Anaelewa sema tu anafikiri WYSWI. What You See is What it Is. Mataifa makubwa hayaishi hivyo, vita inapiganwa kwenye ulimwengu wa fikra kwanza kabla ya kudhihirika kwa mabomu na missiles na machine guns. Battle of ideas haina na wala haieshimu mipaka ya kijiografia. Marekani anafanya nini Taiwan?
 
Mzee matatizo kama yakitokea kuna njia nyingi za kuyatatua na hizo ni njia mojawapo kama huzijui uliza, Mgogoro wetu na Malawi kuhusiana na Ziwa Nyasa unajua walitumia njia gani kuutatua?
 
Wewe unaongea ya kwako. Siyo aliyoyasema Putin. Putin alitamka wazi kuwa anafanya operation maalum ya kijeshi nchini Ukraine ili kuwakomboa wananchi wa Ukraine wanaotengwa na kuonewa na itawala wa Ukraine kwa sababu ya asili yao, na hao ni wale wanaoongea Kirusi.
 
Hiyo tafsiri yako, ni tafsiri potofu kuhusiana na 'Kutofungamana na Upande wowote".

Tuliposema hatufungamani na upande wowote haikumaanisha kuwa hatuna upande kati ya uovu na usahihi. Hatusimami katikati ya uovu na wema, bali tulimaanisha kuwa tunasimama katika ukweli bila ya kujaali kama ukweli huo itakuwa kinyume cha Magharibi au Mashariki. Tunapotoa msimamo wetu tunalalia katika ukweli na siyo kusimama katika maamuzi ya blocks zile mbili, yaani ya Mashariki (chini ya Urusi) au ya Magharibi (chini ya Marekani). Na kwenye hilo Nyerere aliliishi.
 
Hao NATO Us-led walivyovamia LIBYA na kumtoa Ghadafi ni haki? Siwalaumu viongozi wa Africa kuwa kimya ni vyema wakakaa kimya kwa sababu hata kipindi cha Nyerere Waziri Mkuu Kawawa, tulikuwa Non Allied, unalikumbuka hilo?
Ghadafi kumwua kila aliyehoja matendo ya Serikali yake ilikuwa haki. Kuwakamata waliokuwa wanahoji utawala wake, kuwapeleka magerezani, halafu baadaye kwenda kuwakusanya na kuwazika kwenye makaburi ya pamoja, ilikuwa ni haki?

Baada ya kifo cha Gadafi, Walibya wamepitoa magumu mengi, lakini kwa nini ukienda Libya, pamoja na hayo magumu yote, hakuna anayemlilia Gadafi?

Kutofingamana na Upande wowote kumve wengi hamwelewi hata maana yake.

Kumbukeni wakati wa kipindi cha vita baridi, ukiwa katika kwenye block mojawapo ilikuwa huwezi kutoa msimamo wako pekee yako, ni lazima ufuate msimamo wa block. Nyerere alilikataa hilo alitaka asifungwe na block. Kama uovu umefanywa na block ya Magharibi, awe huru kuusema. Halikadhalika kama umefanywa na Mashariki, auseme pia. Hakumaanisha kutofungamana na upabde wowote, kati ya ukweli na unafiki, kama tunavyofanya sasa.
 
Huwezi kulaani azimio la UN. Kuivamia Iraq lilikuwa azimio la UN, sawa na sisi tulivyovamia visiwa vya Anjwani, lilikuwa azimio la AU. Sadam alikuwa anawaua Washia, tena mpaka kwa sumu.

Gadafi alikuwa kiongozi muuaji. Hakuna aliyeukosoa utawala wake aliyeishi. Dun8a haihitaji viongpzi wa namna hiyo. Tinahitaji Dunia iliyostaarabika.

Labda tuilaumu Marekani kwa nini haifanyi hivyo hivyo kwa mataifa ya Afrika, maana mengi yana tawala zinazokaribia kwa ubaya na hizo zilizokuwa za Iraq na Libya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…