Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,227
- 2,816
Hoja tumezijibu kijumla jumla sana..Wanazo hoja ni kweli.
Lakini, ni hoja gani ambayo haijajibiwa hadi sasa?
Ilete hapa tuidadavue.
Zuio la mikutano ya kisiasa ni takwa la kisheria au la mtu binafsi?
Katiba mpya isubiri tunajenga uchumi..lini tutaacha kujenga uchumi na kuliangalia sasa jambo la Katiba?
Maandamano ya kumpongeza Mwenyekiti wetu kutimiza siku 100 madarakani ni sawa ila makongamano ya wenzetu si sawa?
Naogopa sana maana naiona hiyo siku ikifika wajukuu zetu wakihoji tulikuwa wapi kama wananchi hadi kukubali kukaa na shida ya maji,matundu ya vyoo,madarasa chini ya mti kwa miaka zaidi ya 50..?