Msimamo wa Rais Samia kuhusu demokrasia ya kisiasa, fujo za kisiasa na fujo za kidini: Tutaelewana tu!

Kazi ya chama chochote ni kushika dola kwa kuwini mapungufu ya kingine.
With evidence provided, Ukifanya comparative SWOT analysis kati ya CCM na Chadema unaona mizania inaangukia wapi?
 
Theory-Action-Review cycle haikwepeki kama unataka kufanya siasa za kitaifa.
Na theory maana yake ni yale yote uliyoyapata shuleni.
No short cut

Theory zako ni useless, si vibaya maana zinatusaidia kupoteza muda ni kurefresh hapa jukwaani, lakini hazina jipya.
 
Nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa, halafu nakuuliza swali. Wakati Dr Slaa na Katibu Mkuu wa CDM uliona mapambana kati ya CDM na dola kama sasa? Tafakari juu sababu zake.

Inaonekana wakati Dr. Slaa akipambana na dola ulikuwa bado mtoto. Maandamano ya Arusha mpaka watu kuuwawa na polisi hujui? Muuza magazeti Ali Zona mpaka anauwawa na polisi ulikuwa hujui? Mwandishi Daudi mwangosi aliuwawa huko iringa kwenye mkutano wa Slaa na bomu la polisi na picha zipo. Acha upotoshaji wa kijinga tafadhali.
 
Unasumbuliwa njaa na kukosa maadili. Unaishi bila maadili yoyote na akili zako umehamishia tumboni!

Raisi Samia ameaibisha taifa na kujiaibisha mwenyewe kwa kusema uongo dhahiri shairi! Kwa ujumla,amezingua sana. Anachimba kaburi lake la kisiasa mwenyewe kwa kukosa werevu wakubaini njia sahihi ya kufuata.

Katika siku 100 za kwanza za utawala wake,wapenda haki wote walimuamini na kumuunga mkono. Kwa sasa,imani hiyo ameipoteza mwenyewe kwa kutoka hadharani kudanganya taifa na ulimwengu.

Mimi nilikuwa mtetezi mkubwa wa mh raisi. Kwa sasa napata wakati mgumu sana. Niko njia panda.
 
Unasumbuliwa njaa na kukosa maadili. Unaishi bila maadili yoyote na akili zako umehamishia tumboni!
Katika historia ya dunia hakuna maadili mabovu kama haya yanayoanzia kwenye COERCIVE PEOPLE'S POOWER, kama yanayohubiriwa na Chadema. Ondoa boriti kwenye jicho lako kabla ya kuongelea kibanzi kwa wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…