Msimamo wako Kalemani utakufikisha mbali sana, Mungu akutunze sana!

Msimamo wako Kalemani utakufikisha mbali sana, Mungu akutunze sana!

Tangu Tanzania ipate uhuru wamepita mawaziri weeengi sana wa NISHATI
Walikuja na kuondoka.. miongoni mwao ukitoa siasa hakuna aliyefanya maajabu kumshinda mwingine. Baada ya kuja kwa January imekuwa nongwa sana kama vile January siyo mtanzania?
Jamani Kalemani alifanya kipi cha kujivunia hata iwe nongwa kuondolewa hapo TANESCO
Cha ajabu alichokifanya ni kusimika ukabila pale Tanesco. Zaidi ya hapo hakuna cha maana. Au nasema uwongo ndugu zangu?
 
Napenda sana maswali yako na inawezekana hauko peke yako mwenye maswali hayo.

1. Je, walinzi wa Area D ni wa serikali au bunge?

..Ni walinzi wa serikali. Hata Spika analindwa na walinzi wa serikali pamoja na kwamba Bunge ni mhimili.

2. Kwanini Lissu alitumia tukio hilo kupata umaarufu wa kisiasa? Aliweza vipi kupona risasi nyingi namna ile?

..Lissu alikuwa maarufu tangu miaka ya 90 alipokuwa mwanaharakati wa mazingira na haki za wachimbaji wadogo-wadogo. Ubunge ameupata akiwa tayari ni maarufu.

..Lissu alipona kwa bahati au miujiza. Kuna ndege ilianguka wakafa watu 100++ akapona mtu mmoja. Huo ni muujiza.

..Yuko bwana mmoja huko Japan alinusurika kifo ktk shambulizi la bomu la Nyuklia Hiroshoma. Huyo bwana alikimbilia Nagasaki na mji huo uliposhambuliwa kwa bomu la Nyuklia alinusurika.

..Kuna watu hunusurika vifo kwa bahati na miujiza ya Mwenyezi Mungu na Lissu ni mmoja wapo.

3. Kuna watu wanasubiri upelelezi kwa miaka 20 au zaidi. Kwanini Lissu analalamika kuchelewa kwa uchunguzi wa tukio lake?

..Uchunguzi wa suala la Lissu ulitakiwa uendeshwe na kukamilika haraka kwasababu ya uwepo wa CCTV camera eneo aliposhambuliwa.

..Pia walinzi wa eneo aliposhambuliwa waliondolewa. Hivyo aliyeondoa walinzi anatakiwa aeleze alitumwa na nani na Polisi washughulike na mtu huyo.

..Mpaka wakati huu Polisi walitakiwa wawe na majina na picha za watu wanaotafutwa kuhusika na shambulizi dhidi ya Lissu.
Sawa analindwa na serikali lakini kwanini ahusishwe moja kwa moja rais kwamba ndo kahusika ?

Vipi dereva wake ni chadema kwanini asiwape maelezo yote maana kama nakumbuka vizuri yeye hakujeruhiwa ata huisi huenda ane katumiwa?

Kuhusu umaarufu najua ni kiongozi unae mkubari sawa hivyo sera zake ulizsikiliza uchaguzi ule magufuri aliwaaminisha watu wote kwamba anayofanya kwa serkali ni mazuri Japo nakubari Kuna mabaya ndani yake lakini sera kuu ya tundulisu ilkua ni kuiondo serikali ya kidikteta madarakani na sio shughuli nyingine za maendeleo na mifano alioyo kua anatAja ndio io nmemsikia kwa maskio yangu live akisema serikali ya magufuri imenipga risasi haifai hivyo huoni kama alijinufaisha na Ilo tukio na huenda alipanga yeye mwenyw maana sikumbuki sera nyingine ilio kua kuu""uhuru na kazi"
 
Sawa analindwa na serikali lakini kwanini ahusishwe moja kwa moja rais kwamba ndo kahusika ?

Vipi dereva wake ni chadema kwanini asiwape maelezo yote maana kama nakumbuka vizuri yeye hakujeruhiwa ata huisi huenda ane katumiwa?

Kuhusu umaarufu najua ni kiongozi unae mkubari sawa hivyo sera zake ulizsikiliza uchaguzi ule magufuri aliwaaminisha watu wote kwamba anayofanya kwa serkali ni mazuri Japo nakubari Kuna mabaya ndani yake lakini sera kuu ya tundulisu ilkua ni kuiondo serikali ya kidikteta madarakani na sio shughuli nyingine za maendeleo na mifano alioyo kua anatAja ndio io nmemsikia kwa maskio yangu live akisema serikali ya magufuri imenipga risasi haifai hivyo huoni kama alijinufaisha na Ilo tukio na huenda alipanga yeye mwenyw maana sikumbuki sera nyingine ilio kua kuu""uhuru na kazi"

1. Raisi analaumiwa kwasababu yeye ndiye kiongozi wa serikali na ktk tukio hilo serikali inahisiwa kuwa imehusika.

Unapokuwa Raisi mwenye madaraka makubwa na ya ki-mungu-mtu kama wa Tz basi yote mema na mabaya ktk serikali yanakuwa ni yako.

2. Polisi wanatakiwa washirikiane na Polisi wa Ubelgiji aliko dereva ili kupata maelezo yake. Ikiwa wanaamini amehusika watachukua hatua za kumkamta.

Lakini kama miaka 5 imepita na Polisi hawajachukua hatua hizo maana yake ni kwamba dereva hajahusika na hana msaada ktk uchunguzi.

3. Lissu alisema serikali ya Magufuli imehusika. Je, ulisikia wasemaji wa serikali au Polisi wakikanusha? Kwanini kila mtu alikaa kimya? Hiyo haiashirii ni ukimya wa watu wenye hatia?

4. Ukimuangalia Lissu alivyokuwa kabla ya kupigwa risasi na alivyo sasa hivi huwezi kusema anajinufaisha. Nadhani unatambua kwamba amepata ulemavu kutokana na tukio lile.

5. Kauli mbiu ya kampeni ya Tundu Lissu ilikuwa ni UHURU, DEMOKRASIA, NA MAENDELEO YA WATU.

Pia alizunguka nchi nzima akizungumzia suala la BIMA YA AFYA KWA WOTE. Nadhani umesikia suala hilo sasa hivi linashughulikiwa na Bunge.

Pia alizungumzia kuufufua mchakato wa KATIBA MPYA. Nadhani umesikia ushauri wa Kikosi kazi cha Rais Samia Suluhu.

Zaidi alizungumzia hoja ya TAX PAYERS BILL OF RIGHT. Hivi karibuni kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu kodi na tozo.

Mpaka hapo utaona kwamba kampeni ya Lissu ilikuwa na hoja nzuri ambazo leo zinaonekana kuifaa jamii na zinatekelezwa.
 
Afrika tu ambapo haitoi nafasi Kwa viongozi wake watangaze kujihudhuru huku wakimlikwa na vyombo vya habari na kuelezea kila kimewasibu!

Kwa Africa na Tanzania, hiyo ni dhambi kubwa na adhabu yake yaweza kuwa ni kuuwawa Kwa amri ya viongozi wa juu!

Ilikuwa vigumu sana endapo ungeling'ang'ania hiyo nafasi ya Uwazari wa Nishati,

Nadhani ilikupa wakati mgumu saana, ila mwishowe uliamua Kwa hekima nyingi mno

Watanzania tunafahamu, wewe ni miongoni mwa mawaziri mliotumbuliwa pasina kufahamu sababu za kutolewa kwenye nafasi zenu

Ulifanya Kwa juhudi kubwa, kama kiatu, basi wizara hiyo ilikuenea vema! Ulienda Kwa kasi ya ajabu kiutendaji,

Ilikuwa vigumu sana kuelewaka kwetu ikiwa ungelikubali kuendelea kuongoza wizara hiyo Kwa mabadiliko yaliyoletwa na uongozi huu

Nafahamu, ugumu uliojitokeza kwako ni pale ulipoambiwa, utoke ukawaambie wananchi bei mpya ya kuwaingizia umeme majumbani mwao, kutoka 27,000 hadi 310,000,

Uliwaza mbali sana, na hatimaye ukamweleza mkuu wako kuwa, hautaeleweka, ni bora awekwe mwingine, na ndipo watanzania tukapata waziri wa hovyo kuwahi kutokea

Mungu akubariki sana Mh Kalemani

Hekima na busara zako, tunakuombea uendelee kuitumikia nchi yako Kwa juhudi hizo hizo bila kuchoka

Kawaida ya chama chako, huwa hakipendi watu wenye kujitambua kama wewe, na ukiona vema, piga hesabu za kuzidisha ili upate jibu

Mungu akutunze mkuu!
Tumekusikia Kalemani, vipi kuhusina na pesa walizolipwa Symbion?
 
Sii kweli, viongozi wanao jiuzulu wenyewe, huandika barua na kutoa sababu au hutangaza kama EL. Viongozi wanaotumbuliwa ndio hukaa kimya, na ikitokea mtumbua majipu asiposema ni kwa nini amelitumbua jipu fulani, mtumbuliwa hutulia kimya anyolewe kimya kimya.

Hii sii kweli!, kitu unachopata kwa kuazimwa tuu kwa hisani, huwezi kuking'ang'ania as if ni chako!. Mwenye chake anaweza kukichukua wakati wowote, yeye chake ni ubunge tuu na sio uwaziri!.

Pia hii sii kweli hakuamua chochote bali aliamuliwa!.

Kwani unaijua sababu ya yeye kuteuliwa?, aliambiwa sababu?. Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga!, anaeteuliwa bila kuambiwa sababu, atatumbuliwa bila kuambiwa sababu!, juzi kati katumbuliwa MFA, Balozi Mulamula, ulizisikia sababu?. Hapa unataka kujenga hoja kuwa Kalemani kaonewa!, kwani uwaziri ni haki yake au mali yake?.

Hapa nakuunga mkono hata mimi ni shahidi kupitia one on one na Kalemani






Hii sii kweli!, issue ya kuendelea kuongoza wizara sii yake, huyu hakujiuzu ni

Hii sii kweli!, yaani Kalemani ampangie cha kufanya mkuu wake?!, ingekuwa ni hivi si angejiuzulu?. Mbona hakujiuzulu na badala yake ametumbuliwa?

Hii sii kweli kabisa!. Huyu aliyepo sasa ni jembe kazi!.
Hebu mshuhudie






Naunga mkono hoja.

Naunga mkono hoja.

Unamaanisha chama chake kinapenda mazuzu?, kimejaa majitu yasiyojitambua?, kama hii ni kweli ilikuwaje akawa huko na hadi sasa bado yupo?. Kama lengo ni kumfagilia Kalemani we mfagilie tuu lakini usimfagilie huku unakipondea chama chake ambacho kwake CCM ni baba ni mama!.

Ukiwa chama fulani na hiko chama kinapenda mazuzu, then na wewe ni zuzu!.
Sii kweli kuwa CCM haipendi watu wanaojitambua, CCM haipendi watu wasiojitambua ambao wanaboronga hadi kutumbuliwa!. Wanaojitambua wakiona tuu upepo umebadili mwelekeo hawasubiri na wao wanabadilika ama kuendana na kasi ya upepo au kupisha kwa kuachia ngazi na sio kusumbiri hadi kusombwa na kimbunga!.
P
Umejibu hoja za mleta uzi kitaalamu sana mkuu wa bodi hii

Kudos sana umejibu vilivyo mleta hoja akajiapange upya aisee ameboronga kweli
 
CCTV zile sii zake, yeye ni mpangaji tuu kaingia kwenye nyumba, kazikuta, baada ya tukio lile mwenye CCTV zake akazichukua camera zake, this has nothing to do with Kalemani!.
P
Kweli wew ni advocate [emoji817] sina mashaka na wew hadi sas hoja kwa hoja uko vzr mkuu wa bodi
 
Ni kweli kunapofanyika jinai, ukijua unapaswa kuripoti sehemu husika, ukijua uwepo wa jinai kabla haijatendeka na hauja ripoti, wewe unakuwa ni mshirika wa uhalifu huo na unashitakiwa as an accesory before the facts, na ukijua jinai baada ya kutendeka ukainyamazia wewe pia ni mshirika wa jinai hiyo as an eccesory after the facts.

Kalemani hakuwepo, hakuijua hiyo jinai kabla, hakuijua baada ya tukio, usikute wala hakujua kuhusu hizo CCTV cameras kama zimerekodi tukio au laa, na he had no say zilipochukuliwa, na hakuna yeyote aliyekwenda pale kuziulizia au kumuulizia na usikute hata hajui hizo CCTV cameras ni za nani, zimechukuliwa na nani na zimepelekwa wapi!. Kalemani kama Kalemani has no any criminal liabilities yoyote kwa tukio hili!.

Angejuaje hayo na yeye hahusiki na hizi CCTV cameras?. Kuna yeyote anayejua kama zilikuwa on na zilirekodi chochote?.
Zilipochukuliwa na mhusika, mpangaji angejuaje kama zimefichwa kupoteza ushahidi au zimechukuliwa tuu na mwenyewe?.

Angesema wapi?, ameulizwa chochote na yeyote?. Hebu vaa viatu vya Kalemani, wewe ni mpangaji tuu, mhusika na cctv anapokuja kuchukua cctv zake kwenye nyumba yake wewe mpangaji do you have any say?.
Na baada ya shambulio, uliishasikia uchunguzi wowote?, akaseme wapi bila kuulizwa na yeyote?.

And lets assume shambulio lile halikufanywa na wasiojulikana bali limefanywa na the operatives, Kalemani anajua, angeweza kweli kwenda kuripoti popote?!. Acheni hizo!

Kwanza usiite watu majina mabaya kama dhalimu wakati saa hizi mtu huyu yuko peponi mbinguni kwa Baba yake, yuko na Baba yake!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Kwenye jinai yoyote ukweli ni ushahidi usiotia shaka!. Una any evidence to prove this?.
P
Kweli umeiva sasa hyo lst wakupe leseni mkuu
 
Back
Top Bottom