Hivi wakati wana tia saini walikua na haraka sana kiasi cha kushindwa kurekebisha hapo alipotaka kuweka saini asiye husika.
Na anayehusika kuweka saini hapo alipatika kwa wakati au aliweka mwingine badala yake?
Bilateral na multilateral Agreements zinakuwa sheria za nchi zikishapitishwa na bunge.Lina ratify mkataba ili uweze kutekelezwe. Kama linavyo ratify bilateral na multilateral agreements nyingine.
Amandla...
Ni wapi katiba/sheria ya Tanzania inasema lazima unayetaka wewe aweke sign ndio makubaliano yawe halali? Vinginevyo ayatambuliki Tanzania.jamaa lipuudhi sana na halijielewi
Acha uongo basi ni kwamba aliyesaini hilo li IGA sio mtu wa Serikali ya Dubai wala sio mwakilishi wa Serikali ya Dubai Bali ni mtu wa DP .
Embu nionyeshe hao waliosaini upande wa Serikali ya Dubai
Wengine hawapati chochote ni laana tuuWengi njaaa wanapiganiq ugali wao
Ni sheria gani inayosema raisi ndio mwenye power of attorney Tanzania.His Highness Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum, huyu ndiye kiongozi wa Serikali ya Dubai.
Kwenye hilo li IGA hakuna signature yake wale power of attorney yake .
Wakati upande wetu kuna saini ya Rais na power of attorney yake ya kumuidhinisha mzanzibari mwenzake auze bandarini zetu zote
content://com.android.chrome.FileProvider/images/screenshot/1688498991925861510822.jpg
Watu wachangieWengine hawapati chochote ni laana tuu
Inabidi kwanza u define maana ya sheria.Bilateral na multilateral Agreements zinakuwa sheria za nchi zikishapitishwa na bunge.
Tafuta wanasheria wakusaidie kwenye hilo.
Uwezi kuelewa kwa sababu kwanza utaki kukubali IGA ni sheria.Wewe kweli msomi. Nakuvulia kofia.
1. Unasema kuwa paragraph ya kwanza haizumzii IGA. Hivi hiyo Agreement itakayo remain in force ni nini kama sio IGA? Hicho unakazania ni vitu vitakavyotokea ili IGA isite kuwa enforceable. Navyo ni:
1. Miradi yote iishe.
2.HGAs zote na Mikataba ya miradi iishe.
Kwisha kwa mradi mmoja au miwili na hata HGAs nyingi zikiisha ili mradi ziko ambazo ni active IGA inakuwa enforceable. Hilo la haki ya kuvunja mkataba kiholela umelitoa wapi?
2. Bado unajichanganya. Article 20 kinahusu IGA sio HGA. Na ni kimbilio pekee kama upate mmoja hautaridhika na IGA maana para 4 ya Article 23 inasema IGA haiwezi kubezwa, kuahirishwa au kuvunjwa kwa sababu yeyote ile. Wewe unatujia na mambo yako ya kufikirika ya kuvunja IGA kiholela.
3. Hii Bilateral Agreement sio mkataba wa kujenga barabara, kiwanda, kununua mafuta n.k. ndio maana sio commercial agreement. Ni mkataba wa ushirikiano baina ya mataifa mawili katika maeneo yaliyoainishwa ndani yake.
4. Mtetezi wa serikali katika masuala ya mikataba ni AG, sio wakili wa wizara. Hauoni katia pua halafu kasepa. Amewaachia nyie wanasheria uchwara na wakina Steve Nyerere kutetea kitu ambacho hakiwezi kutetewa.
Baada ya huu mjadala ndio naanza kuelewa kwa nini Law School inawafelisha kiasi kile maana hata basic reasoning hamna. Mnajiona mna uelewa zaidi ya maprofesa wenu kama wakina Shivji na former AGs kama Warioba. Mnasikitisha sana.
By the way, condition katika mkataba sio sheria. Kama hata hilo haulijui basi there is no hope for you.
Amandla...
Na hawa ndio wanaowaingiza mkenge viongozi wetu. Bila shaka waliwashauri wasaini tu maana wanaweza kujitoa kiholela wakati wowote! Acha Tanzania Law School iwabane.Hilo jamaa Mayor Quimby ni lijinga kabisa litakuwa lilikwenda shule kusomea ujinga
EtiKwa hiyo unataka tuwalaumu wastaafu?
Mimi siwezi kukuamini kwa sababu nawajua wanasheria wa serikali. Nina imani zaidi na jopo la wanasheria wa TLS, Profesa Shivji kuliko nyie ambao pamoja na kujifanya mnajua contract kila siku mnatuingiza katika matatizo.Uwezi kuelewa kwa sababu kwanza utaki kukubali IGA ni sheria.
Pili implications zake kama sheria IGA ni implied term kwenye mikataba itakayofuata.
Sasa kuendelea kujadiliana na wewe ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu. Huna abc za contract law, unaelezewa utaki kuelewa.
Ndio shida ilipo ata mwanasheria wa serikali anapowapa facts hamtaki kwa sababu tayari mna illogical reasoning zenu.
Inabidi kwanza u define maana ya sheria.
Amandla...
Sasa unajuaje tofauti ya facts and fiction kwenye maswala ya mikataba wakati wewe mwenyewe hujui.Mimi siwezi kukuamini kwa sababu nawajua wanasheria wa serikali. Nina imani zaidi na jopo la wanasheria wa TLS, Profesa Shivji kuliko nyie ambao pamoja na kujifanya mnajua contract kila siku mnatuingiza katika matatizo.
Humu ndani hatumuamini mtu kwa sababu ya cheo au wadhfa wake bali tunapima alichosema na kama ni convincing tutamuamini. Wewe huko haujafika.
Amandla...
Mimi siwezi kukuamini kwa sababu nawajua wanasheria wa serikali. Nina imani zaidi na jopo la wanasheria wa TLS, Profesa Shivji kuliko nyie ambao pamoja na kujifanya mnajua contract kila siku mnatuingiza katika matatizo.
Humu ndani hatumuamini mtu kwa sababu ya cheo au wadhfa wake bali tunapima alichosema na kama ni convincing tutamuamini. Wewe huko haujafika.
Amandla...
Wewe umewahi kusimamia kesi za migogoro ya kibiashara? Umewahi kuishauri serikali inapotaka kuingia katika international treaties? Una ujuzi na utaalam zaidi ya Warioba katika masuala ya international treaties? Hapa tunazungumza bilateral agreement kati ya nchi mbili wewe unakazania commercial agreements kati ya business entities!Sasa unajuaje tofauti ya facts and fiction kwenye maswala ya mikataba wakati wewe mwenyewe hujui.
It’s logical kuamini wanasheria kwa sababu there are supposed to be experts. But then what if they lack understanding on pertaining matters how can you tell misleading statements na wewe mwenyewe clueless.
Trust me hao watu unaorudia kuwataja awajawahi kushiriki kesi yeyote ya mgogoro wa kibiashara katika maisha yao na hawana abc za mikataba ni ngumu kwao kuelewa kwa sababu hujui tofauti ya mtu anaejua na asiejua.
Article 97.1 (p.37)of the Constitution of Tanzania states that :
Ulitamani hukumu imwendee nani? Unagitaji uhakika up!?Ndugu zangu mengi yameibuka tangu kusainiwa kwa mkataba wa DP World. Hii nchi haiongozwi na kiongozi mmoja. Kuna idadi kubwa sana ya viongozi kuanzia wastaafu na waliopo madarakani.
Uamuzi wa kuwakabidhi DP World hakuufanya mwenyewe, aidha alishinikizwa ama lah. Tunaweza kumnyooshea kidole kumbe wapo waliomsababishia hilo tatizo.
Nashauri badala ya kumtuhumu tumtafute na kushauriana naye pengine tutaweza kumsaidia kuondokana na kipindi hiki kigumu.
Bado unaonyesha kuwa haujui unachokisema. Report ya mater Thesis ndio nini? Ulikuwa ni examiner wakati mtu huyo unayemwita kilaza ana defend Thesis yake au uli defend Master's thesis ya kwako? Unataka kutuambia kuwa ulipitia mikataba ya 'oil and gas' ili ujifunze reasoning katika foundation level? Umewahi kweli wewe kukaa katika academia?View attachment 2678767
Tafuta walau vitabu vya foundation level kujengea misingi ya hoja.
Ukipata hizo basic knowledge ni rahisi kujua mtu anachoongea na mantiki yake kisheria.
Hao watu unaowaongelea hawana foundation ya contract law, kwa kuwasikiliza tu; na rahisi sana kuelewa hiyo IGA kisheria kama umejifunza basics za mikataba tu ina maana gani.
Sio kubishana kwa kutoa vitu kichwani kwao, huo ubishi wa kishamba.
Binafsi nimeshaandika mpaka report za master thesis za vilaza za sheria kwenye maswala ya mikataba ya ‘Oil and Gas’ kwa kujifunza reasoning tu za foundation level.
Sasa hao watu unaodhani wanajua hawana building block za kujenga hoja za kisheria kwenye mikataba wanaropoka tu karibu wote.
👋