Msimhukumu Rais Samia pasipokuwa na uhakika

Msimhukumu Rais Samia pasipokuwa na uhakika

Hivi wakati wana tia saini walikua na haraka sana kiasi cha kushindwa kurekebisha hapo alipotaka kuweka saini asiye husika.
Na anayehusika kuweka saini hapo alipatika kwa wakati au aliweka mwingine badala yake?

Waliharakisha asije tokea mtu akaharibu dili mkataba ukivuja kabla ya kusaini!!
 
Lina ratify mkataba ili uweze kutekelezwe. Kama linavyo ratify bilateral na multilateral agreements nyingine.

Amandla...
Bilateral na multilateral Agreements zinakuwa sheria za nchi zikishapitishwa na bunge.

Tafuta wanasheria wakusaidie kwenye hilo.
 
jamaa lipuudhi sana na halijielewi

Acha uongo basi ni kwamba aliyesaini hilo li IGA sio mtu wa Serikali ya Dubai wala sio mwakilishi wa Serikali ya Dubai Bali ni mtu wa DP .
Embu nionyeshe hao waliosaini upande wa Serikali ya Dubai
Ni wapi katiba/sheria ya Tanzania inasema lazima unayetaka wewe aweke sign ndio makubaliano yawe halali? Vinginevyo ayatambuliki Tanzania.
 
His Highness Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum, huyu ndiye kiongozi wa Serikali ya Dubai.
Kwenye hilo li IGA hakuna signature yake wale power of attorney yake .
Wakati upande wetu kuna saini ya Rais na power of attorney yake ya kumuidhinisha mzanzibari mwenzake auze bandarini zetu zote

content://com.android.chrome.FileProvider/images/screenshot/1688498991925861510822.jpg
Ni sheria gani inayosema raisi ndio mwenye power of attorney Tanzania.

Wewe unajua sheria za Dubai nani anamlaka ya kuingia makubaliano ya kimataifa kwa niaba ya nchi na nani hana.

If anything nimeshaeleza huko nyuma aijalishi kuna sign ya nani; ili hayo makubaliano yatambulike yanahitaji kuridhiwa na bunge sio sahihi iliyowekwa na mtu yeyote hapo.
 
Wewe kweli msomi. Nakuvulia kofia.
1. Unasema kuwa paragraph ya kwanza haizumzii IGA. Hivi hiyo Agreement itakayo remain in force ni nini kama sio IGA? Hicho unakazania ni vitu vitakavyotokea ili IGA isite kuwa enforceable. Navyo ni:
1. Miradi yote iishe.
2.HGAs zote na Mikataba ya miradi iishe.
Kwisha kwa mradi mmoja au miwili na hata HGAs nyingi zikiisha ili mradi ziko ambazo ni active IGA inakuwa enforceable. Hilo la haki ya kuvunja mkataba kiholela umelitoa wapi?
2. Bado unajichanganya. Article 20 kinahusu IGA sio HGA. Na ni kimbilio pekee kama upate mmoja hautaridhika na IGA maana para 4 ya Article 23 inasema IGA haiwezi kubezwa, kuahirishwa au kuvunjwa kwa sababu yeyote ile. Wewe unatujia na mambo yako ya kufikirika ya kuvunja IGA kiholela.
3. Hii Bilateral Agreement sio mkataba wa kujenga barabara, kiwanda, kununua mafuta n.k. ndio maana sio commercial agreement. Ni mkataba wa ushirikiano baina ya mataifa mawili katika maeneo yaliyoainishwa ndani yake.
4. Mtetezi wa serikali katika masuala ya mikataba ni AG, sio wakili wa wizara. Hauoni katia pua halafu kasepa. Amewaachia nyie wanasheria uchwara na wakina Steve Nyerere kutetea kitu ambacho hakiwezi kutetewa.
Baada ya huu mjadala ndio naanza kuelewa kwa nini Law School inawafelisha kiasi kile maana hata basic reasoning hamna. Mnajiona mna uelewa zaidi ya maprofesa wenu kama wakina Shivji na former AGs kama Warioba. Mnasikitisha sana.
By the way, condition katika mkataba sio sheria. Kama hata hilo haulijui basi there is no hope for you.

Amandla...
Uwezi kuelewa kwa sababu kwanza utaki kukubali IGA ni sheria.

Pili implications zake kama sheria IGA ni implied term kwenye mikataba itakayofuata.

Sasa kuendelea kujadiliana na wewe ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu. Huna abc za contract law, unaelezewa utaki kuelewa.

Ndio shida ilipo ata mwanasheria wa serikali anapowapa facts hamtaki kwa sababu tayari mna illogical reasoning zenu.
 
Uwezi kuelewa kwa sababu kwanza utaki kukubali IGA ni sheria.

Pili implications zake kama sheria IGA ni implied term kwenye mikataba itakayofuata.

Sasa kuendelea kujadiliana na wewe ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu. Huna abc za contract law, unaelezewa utaki kuelewa.

Ndio shida ilipo ata mwanasheria wa serikali anapowapa facts hamtaki kwa sababu tayari mna illogical reasoning zenu.
Mimi siwezi kukuamini kwa sababu nawajua wanasheria wa serikali. Nina imani zaidi na jopo la wanasheria wa TLS, Profesa Shivji kuliko nyie ambao pamoja na kujifanya mnajua contract kila siku mnatuingiza katika matatizo.

Humu ndani hatumuamini mtu kwa sababu ya cheo au wadhfa wake bali tunapima alichosema na kama ni convincing tutamuamini. Wewe huko haujafika.

Amandla...
 
Inabidi kwanza u define maana ya sheria.

Amandla...
F880EC01-C9C9-451A-9400-6F746E79ADC8.jpeg
 
Mimi siwezi kukuamini kwa sababu nawajua wanasheria wa serikali. Nina imani zaidi na jopo la wanasheria wa TLS, Profesa Shivji kuliko nyie ambao pamoja na kujifanya mnajua contract kila siku mnatuingiza katika matatizo.

Humu ndani hatumuamini mtu kwa sababu ya cheo au wadhfa wake bali tunapima alichosema na kama ni convincing tutamuamini. Wewe huko haujafika.

Amandla...
Sasa unajuaje tofauti ya facts and fiction kwenye maswala ya mikataba wakati wewe mwenyewe hujui.

It’s logical kuamini wanasheria kwa sababu there are supposed to be experts. But then what if they lack understanding on pertaining matters how can you tell misleading statements na wewe mwenyewe clueless.

Trust me hao watu unaorudia kuwataja awajawahi kushiriki kesi yeyote ya mgogoro wa kibiashara katika maisha yao na hawana abc za mikataba ni ngumu kwao kuelewa kwa sababu hujui tofauti ya mtu anaejua na asiejua.
 
Kakutuma uje umuongelee?
Me ninavyojua rais ndo msemaji wa mwisho akisema yy hakuna wakuongea kwa wanaccm inakuwaje tena
 
But She's the final decision maker, kwanini asilaumiwe? Ama sababu ya jinsia yake ndio akwepe lawama ya haya mapuuzi?

Mbona kipindi cha kikwete mlimtukana kila tusi bila kusingizia washauri wake? Mbona kipindi cha magu mlitukana pia kusema hashauriki na kila jambo limesababishwa na yeye pasipo kuhusisha institution nzima ya urais?

Sasa kwanini na huyu mama yenu musimtukane na abebe hizi lawama badala ya kuwasingizia hao washauri wake ambao hamuwajui zaidi ya kukisia na kubashiri?

Tukubali tu kuwa tunaongozwa na rais mwenye maono dhaifu na kila baya kalibariki yeye, hivyo hata matusi, kejeli atazibeba yeye na sio hao washauri wake ambao anaweza kuwapinga ama akaamua lakwake.

Sir+100 Must Go
 
Mimi siwezi kukuamini kwa sababu nawajua wanasheria wa serikali. Nina imani zaidi na jopo la wanasheria wa TLS, Profesa Shivji kuliko nyie ambao pamoja na kujifanya mnajua contract kila siku mnatuingiza katika matatizo.

Humu ndani hatumuamini mtu kwa sababu ya cheo au wadhfa wake bali tunapima alichosema na kama ni convincing tutamuamini. Wewe huko haujafika.

Amandla...
ADC0168A-3296-4BB3-9FD7-7DDECCE6CEFB.jpeg


Tafuta walau vitabu vya foundation level kujengea misingi ya hoja.

Ukipata hizo basic knowledge ni rahisi kujua mtu anachoongea na mantiki yake kisheria.

Hao watu unaowaongelea hawana foundation ya contract law, kwa kuwasikiliza tu; na rahisi sana kuelewa hiyo IGA kisheria kama umejifunza basics za mikataba tu ina maana gani.

Sio kubishana kwa kutoa vitu kichwani kwao, huo ubishi wa kishamba.

Binafsi nimeshaandika mpaka report za master thesis za vilaza za sheria kwenye maswala ya mikataba ya ‘Oil and Gas’ kwa kujifunza reasoning tu za foundation level.

Sasa hao watu unaodhani wanajua hawana building block za kujenga hoja za kisheria kwenye mikataba wanaropoka tu karibu wote.

👋
 
Sasa unajuaje tofauti ya facts and fiction kwenye maswala ya mikataba wakati wewe mwenyewe hujui.

It’s logical kuamini wanasheria kwa sababu there are supposed to be experts. But then what if they lack understanding on pertaining matters how can you tell misleading statements na wewe mwenyewe clueless.

Trust me hao watu unaorudia kuwataja awajawahi kushiriki kesi yeyote ya mgogoro wa kibiashara katika maisha yao na hawana abc za mikataba ni ngumu kwao kuelewa kwa sababu hujui tofauti ya mtu anaejua na asiejua.
Wewe umewahi kusimamia kesi za migogoro ya kibiashara? Umewahi kuishauri serikali inapotaka kuingia katika international treaties? Una ujuzi na utaalam zaidi ya Warioba katika masuala ya international treaties? Hapa tunazungumza bilateral agreement kati ya nchi mbili wewe unakazania commercial agreements kati ya business entities!
Mimi kwa arguments zako ambazo ziko all over the place naamini kabisa haujui lolote kuhusu contracts. Una regurgitate mambo uliyocram bila kuyaelewa.

Amandla...
 
Article 97.1 (p.37)of the Constitution of Tanzania states that :
Subject to the provisions in this Constitution, the National Assembly shall exercise its legislative power through the process of debating and passing Bills which eventually ( baadae) shall have to be assented by the President, and a Bill shall NOT become law unless it is passed by the National assembly and assented by the President in accordance with the provisions of this Article.

Haya, learned person, wapi katika Katiba yetu panaposema kuwa Bill ikipitishwa tu na Bunge inakuwa sheria? Badala ya kwenda kwenye Katiba kama learned person, were unaenda kwenye kamusi!

Naona unanipotezea wakati.

Amandla....
 
Ndugu zangu mengi yameibuka tangu kusainiwa kwa mkataba wa DP World. Hii nchi haiongozwi na kiongozi mmoja. Kuna idadi kubwa sana ya viongozi kuanzia wastaafu na waliopo madarakani.

Uamuzi wa kuwakabidhi DP World hakuufanya mwenyewe, aidha alishinikizwa ama lah. Tunaweza kumnyooshea kidole kumbe wapo waliomsababishia hilo tatizo.

Nashauri badala ya kumtuhumu tumtafute na kushauriana naye pengine tutaweza kumsaidia kuondokana na kipindi hiki kigumu.
Ulitamani hukumu imwendee nani? Unagitaji uhakika up!?
 
View attachment 2678767

Tafuta walau vitabu vya foundation level kujengea misingi ya hoja.

Ukipata hizo basic knowledge ni rahisi kujua mtu anachoongea na mantiki yake kisheria.

Hao watu unaowaongelea hawana foundation ya contract law, kwa kuwasikiliza tu; na rahisi sana kuelewa hiyo IGA kisheria kama umejifunza basics za mikataba tu ina maana gani.

Sio kubishana kwa kutoa vitu kichwani kwao, huo ubishi wa kishamba.

Binafsi nimeshaandika mpaka report za master thesis za vilaza za sheria kwenye maswala ya mikataba ya ‘Oil and Gas’ kwa kujifunza reasoning tu za foundation level.

Sasa hao watu unaodhani wanajua hawana building block za kujenga hoja za kisheria kwenye mikataba wanaropoka tu karibu wote.

👋
Bado unaonyesha kuwa haujui unachokisema. Report ya mater Thesis ndio nini? Ulikuwa ni examiner wakati mtu huyo unayemwita kilaza ana defend Thesis yake au uli defend Master's thesis ya kwako? Unataka kutuambia kuwa ulipitia mikataba ya 'oil and gas' ili ujifunze reasoning katika foundation level? Umewahi kweli wewe kukaa katika academia?

Unaleta vitabu vya foundation level kuonyesha umahiri wako wakati hao unaowaponda wameandika vitabu na articles kibao katika peer-reviewed journals! Wewe umeandika ngapi katika peer-reviewed journals? Najua hata maana ya peer-reviewed hauijui. Kwa kweli unasikitisha.

Amandla....
 
Back
Top Bottom