Msimsimange, mie nampenda hivyo hivyo

Msimsimange, mie nampenda hivyo hivyo

Huyo mpeleke Car wash... unaongea na wale vijana unawakatia kama buku tano hivi. Wanamfumulia yale maji kama wanaosha malori ya kubeba taka. Hii nakusaidia ili mambo yasijezidi kuwa mabaya ukajikuta unalazimika kuingia gharama kubwa kuita Fire Brigade ...

Wajanja tushakuelewa lakini... hapa lazima unazungumzia kitimoto... Pamoja na mambo yake yote yale bado anabakia kuwa mboga tamu kuliko zote duniani na kwenye mabaa... shahidi yangu Kasie Mahaba Matata
C
Wee mzee muhuni sana, duh
 
Fursa hapa naona biashara kuogesha inahitajika.
Tangazo, Tangazo,Tangazo
White ice enterprises ltd,wanayofuraha kubwa kukujulisha kuwa wanatoa huduma ya kuogesha(private body wash) katika vipengele vifuatavyo;
-jumla na,
-rejareja.
Hatutahusika na yafuatayo;
-Kugusa tukuyu LA mteja,
-kuporomoka kwa mwili.

Miiko ya kazi
-tunato huduma kwa haraka na hakika
-hatutaki mazoea nje ya kazi.

Karibu
 
Tumeokoka na tunakomunika kitimoto na Faru John

Anataka kutupima naona

1593152208034.png
 
Sikai Ekitali, ebu fanya ukuje uyathibitishe haya maneno ya huyu mzee..[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom