Msimu huu kwa Mpira huu 'mwingi' wa Yanga SC tutawasingizia Wananunua tu

Msimu huu kwa Mpira huu 'mwingi' wa Yanga SC tutawasingizia Wananunua tu

Me nakuelewaga mkuu, MTU akifanya vizuri so vobaya kumpa pongezi hata kama no mshindani wako.. Ndo tulikuwa tunataka tupate Yanga imara namna hii ili tupambane bizuri na Simba
Asante Mkuu na Mtani wangu kutoka Yanga SC kiukweli kwa Msimu huu hata Mimi GENTAMYCINE naanza Kuwaogopa kwani mmesajili Wachezaji wa Kazi na mna Kikosi cha Ushindani na chenye Kiu ya Taji la Ligi Kuu.

Sehemu pekee tu ambayo nawashauri Yanga SC ( Watani zangu ) tafadhali kuweni Wavumilivu na huyu Kocha wenu Nabi kwani nimemtathmini ni Kocha ambaye si atawafaa Yanga SC kwa muda mrefu bali pia amefanikiwa kuifanya Yanga SC yenu sasa icheze Mpira wa Kitabuni na ambao kiukweli unavutia Kuutizama.
 
Haina haja ya kumtukana cha msingi kama muda wako wa kulala haujafika mjibu tu kwamba kulala ni miongoni mwa nguzo muhimu za afya muda ukifika nitalala ndugu yangu.
Tafadhali acha Kunipangia jinsi ya kuwajibu Wapumbavu na Maadui zangu hapa JamiiForums vinginevyo labda na Wewe pia una hamu na Majibu yangu mabaya ambayo huwa nawapa.

Na ulivyo Mnafiki umekimbilia Kunishauri Mimi ambaye nimechokozwa ila aliyenichokoza hujamwambia lolote. Acha kunilazimisha nianze Kukudharau nawe hapa JamiiForums kama ninavyowadharau Wapuuzi kadhaa kutokana na Upumbavu wao sawa?
 
Yaani hapa umejiona umeandika la maana. Yaani mechi 3 tu kati ya 30.
Wewe ni TOPOLO kama Haji Manara
 
Mechi 3/30 tayari Uzi.
Huu ni uchambuzi maandazi.
Pumbavu wapishe waliouelewa na Kuusoma vyema Uzi wangu wachangie Kimchezo na Wewe bakia na huu Unafiki wako ambao umekupofua mpaka Akili na hujui hata nini cha Kuchangia.
 
Yaani hapa umejiona umeandika la maana. Yaani mechi 3 tu kati ya 30.
Wewe ni TOPOLO kama Haji Manara
Tafadhali acha Kunipangia jinsi ya kuwajibu Wapumbavu na Maadui zangu hapa JamiiForums vinginevyo labda na Wewe pia una hamu na Majibu yangu mabaya ambayo huwa nawapa.

Na ulivyo Mnafiki umekimbilia Kunishauri Mimi ambaye nimechokozwa ila aliyenichokoza hujamwambia lolote. Acha kunilazimisha nianze Kukudharau nawe hapa JamiiForums kama ninavyowadharau Wapuuzi kadhaa kutokana na Upumbavu wao sawa?
Uchambuzi wako huu umetumia formula gani!?
 
Pumbavu wapishe waliouelewa na Kuusoma vyema Uzi wangu wachangie Kimchezo na Wewe bakia na huu Unafiki wako ambao umekupofua mpaka Akili na hujui hata nini cha Kuchangia.
Sasa kati yangu na wewe nani mpumbavu!?
Usijione unaakili machoni pako Mzee. Sasa kama unataka hao wauelewe usiweke kwenye public watumie DM.
Unyelile shi.
 
Yaani hapa umejiona umeandika la maana. Yaani mechi 3 tu kati ya 30.
Wewe ni TOPOLO kama Haji Manara
Unachokitafuta ni Kujibizana ( Kubishana ) nami ili ID yako hii ijulikane haraka na uwe Maarufu pia.

Usijali GENTAMYCINE nina Kipaji kikubwa cha 'Kupromoti' ID za Watu na Watu ( Wahusika ) pia hivyo nitakusaidia kwa hilo ili nawe uwe unaimbwa na Kukubalika mno hapa Jamvini JamiiForums sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE a.k.a 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' nilivyonavyo na 'Kubarikiwa' na Mwenyezi Mungu Wapumbavu wengi wa mfano wako hamna.
 
Sasa kati yangu na wewe nani mpumbavu!?
Usijione unaakili machoni pako Mzee. Sasa kama unataka hao wauelewe usiweke kwenye public watumie DM.
Unyelile shi.
You're the most authentic Moron on JF.
 
Unachokitafuta ni Kujibizana ( Kubishana ) nami ili ID yako hii ijulikane haraka na uwe Maarufu pia.

Usijali GENTAMYCINE nina Kipaji kikubwa cha 'Kupromoti' ID za Watu na Watu ( Wahusika ) pia hivyo nitakusaidia kwa hilo ili nawe uwe unaimbwa na Kukubalika mno hapa Jamvini JamiiForums sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE a.k.a 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' nilivyonavyo na 'Kubarikiwa' na Mwenyezi Mungu Wapumbavu wengi wa mfano wako hamna.
Mzee hebu ondoa ushenzi wako hapa. Usikimbilie kwenye kichochoro. Nimekuwa hapa since JF inaanzishwa.

Nimekuuliza swali dogo. Huo uchambuzi umetumia kanuni gani!? Maana sasa hivi utopolo wamecheza mechi 3 kati ya 30.

Umeanza kwenda nje ya mada. Hii ni dalili ya kuwa punguwani
 
Mzee hebu ondoa ushenzi wako hapa. Usikimbilie kwenye kichochoro. Nimekuwa hapa since JF inaanzishwa.

Nimekuuliza swali dogo. Huo uchambuzi umetumia kanuni gani!? Maana sasa hivi utopolo wamecheza mechi 3 kati ya 30.

Umeanza kwenda nje ya mada. Hii ni dalili ya kuwa punguwani
Punguani atakuwa 'Mamaako' pekee tu.
 
You're the most authentic Moron on JF.
Tayari umeanza kutoa POVU
1634702942843.png
 
Ona sasa. Unajiita unaakili. Unaanza kunitukania wazazi wangu!?
Nyanoko.
HUWEZI KUJADILI NA WATU WENYE UWEZO KAMA MIMI. WEWE BADO KATOTO.
Wewe ulivyonitukana Mimi Punguani umeambiwa nami pia sina Watu wanaoniita Mzazi au Mimi siyo Mzazi?

Pumbavu...!!!
 
Ulilolitafuta ukitaka lingine sema tu lije.
Leta Mzee unanitisha!?
Unaleta uchambuzi uchwara tukuache tu.
Nenda shule kwanza ukajifunze sport analysis. Siyo kuingilia profession za wengine.
Ntombamva ebe.
 
Wewe ulivyonitukana Mimi Punguani umeambiwa nami pia sina Watu wanaoniita Mzazi au Mimi siyo Mzazi?

Pumbavu...!!!
Mimi naongea na wewe Mzee. Pambana na mimi. Usiwaingize watu ambao hawapo hapa. Hizo ni dalili za ufinyu kichwani.

Usitumie kichwa kufugia nywele pekee, jaribu kuweka akili ndani yake. Itakusaidia katika maisha yako.

Yaani kati ya mechi 30 tatu zimechezwa umekuwa mchambuzi. Jifunze kwangu dogo.
 
Leta Mzee unanitisha!?
Unaleta uchambuzi uchwara tukuache tu.
Nenda shule kwanza ukajifunze sport analysis. Siyo kuingilia profession za wengine.
Ntombamva ebe.
Yaani Mpumbavu kama Wewe unapata wapi Uhalali wa Kunipangia 'Brainiac' na 'All Rounder' kama cha Kufanya na Kuandika hapa JamiiForums?

Na kwa Kukusaidia tu sasa siishii tu kufanya Analysis za Mpira bali hata katika Masuala ya Siasa, Ulinzi, Usalama, Diplomasia, Jamii, Elimu na Taaluma kote huko nipo vyema ( nondo ) ile mbaya.

Sasa kama tu ID yangu hii ya GENTAMYCINE inasomwa na Kufuatiliwa kutwa na Marais wako wa sasa ( tokea akiwa Makamu ) n Hayati Mwendazake na Mstaafu Kikwete, Mkuu wako wa Majeshi CDF Jenerali Mabeyo ( na anaikubali hii ID hakuna mfano ) Viongozi, Waandishi wa Habari, Wadau wa Michezo, Taasisi ya Ikulu, Usalama wa Taifa na Wana Taaluma na Wanafunzi wa Vyuo Vikuu huku kila Kukicha tu nikiongeza idadi ya 'Followers' hapa Mpumbavu Mmoja kama Wewe utaweza Kujilinganisha na Mimi?

au hujui ( hujajua ) tu kuwa 85% ya Threads zangu hapa JamiiForums Watu wa Mitandao mingine ( siyo JamiiForums ) hupenda Kuzitumia ili Kuvutia Mijadala katika Blogs na Websites zao?

Kipawa ( Kipaji ) nilichonacho si cha Kawaida na ni Tunu ( Shani ) pekee kutoka kwa Mwenyezi Mungu na ndiyo maana nikabarikiwa na kuwa 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' hivi kiasi kwamba hata Wewe pamoja na Kuvutiwa nami umeamua Kuufungua huu Uzi wangu, Kuusoma Wote na mpaka kupata muda wa Kujibizana hivi nami.
 
Yanga kamfunga Simba ngao ya jamii 1-0
Kamfunga Geita gold 1-0, kamfunga Kmc 2-0 na mechi ya kagera sugar nayo 1-0.
Kimataifa kirafiki kafungwa na Zanaco 2-1, kafungwa na Rivers united Caf Champions league mara mbili 1-0 - tena 1-0.
Kimataifa katolewa hadi msimu ujao
Atacheza ligi na Fa mashindano ya ndani.
Angalia msafara wa Yanga una watu wangapi?
Na Fitna za Gsm unazijua????
Ubingwa kaupania sana Gsm kuliko Yanga unajua hilo? Ndani au nje ya uwanja Yanga atashinda - Gsm kwa fitna mipango mipango unawajua?? pamoja na genge la group la walioteuliwa kutafuta ushindi unawajua? Wapo sawa sawa wanaujua umafia kisawasawa.
Yaani kimpira bado saaaana na haitajulikana wakicheza ligi hii yetu.
Sema tu Simba hawaja jiandaa sana kimkati msimu huu hilo ndilo tatizo na huenda wakazidiwa na hayo, kumbuka mechi mbili za Simba na wakuu wa mikoa, watapata shiida mechi kadhaa wajaribu Simba kucheza mpira kabla ya mechi kwa baadhi za mechi au watapata shida kiasi.
Kumbuka hii ni Tanzania! Mpira wake na desturi zake.
Illa Simba ikitulia kimpira bado watakuwa bora kuliko Yanga tatizo lipo katika Mipango ya Gsm - msimu huu kajipanga hasubiri dk 90 umafia kwa kwenda mbele na kwa hakika wana uwezo.
Asante
 
Back
Top Bottom