Msimu huu kwa Mpira huu 'mwingi' wa Yanga SC tutawasingizia Wananunua tu

Yanga wamesajili kiushindani, hivi wanawakirisha nchi yetu kwenye mashindano yapi vile? Mkuu hata wewe ukicheza na watoto wa vijijini lazima utaonekana unajuwa kucheza mpira tena shinda hata Mbappe na Messi. Wanaume wanawakilisha nchi kimataifa si kucheza vijijini tu na wauza mboga mboga.
 
Tangia lini Vitani Maadui huchaguliana Silaha na jinsi ya Kupambana? Nina Uzoefu mkubwa wa Kupambana na Maadui ( Wapumbavu ) kama Wewe na nimeiga 'Characters' zote za Kiyahudi kuanzia kutumia Akili nyingi na Kumkabili Adui mpaka nimmalize na sijaiweka hapo hiyo Avatar ya Former Israel Premier Benjamin 'BIBI' Netanyahu bure au Kimakosa tu.
 
What a Foolish response from you Fool.
 
Hizi takataka ndio unajiita mchambuzi.
Nimekuuliza swali.
Yanga wecheza mechi 3 kati ya 30 formula gani umetumia kuweka uchambuzi wako huu.

UNAANZA KUANDIKA INSHA.
JIBU SWALI NILILOKUULIZA
 
Mpira mzuri dhidi ya akina nani?
Rivers utd wamewapiga nje ndani na kuwasepesha virago mapema.
(Usizungumzie derby, derby inabaki kuwa derby kokote duniani)
 
Hizi takataka ndio unajiita mchambuzi.
Nimekuuliza swali.
Yanga wecheza mechi 3 kati ya 30 formula gani umetumia kuweka uchambuzi wako huu.

UNAANZA KUANDIKA INSHA.
JIBU SWALI NILILOKUULIZA
Usinipotezee muda rejea post yangu #45 niliyokuandikia sawa? Eti umeniuliza Swali hivi Mpumbavu nae huwa anajua hata Kuuliza Swali? Yaani ndiyo nazidi tu Kukudharau.
 
Dalili za kutokuwa na akili kichwani. Unakimbilia kutoa maneno machafu.
Jikite kwenye mada yako Mzee. Tunakuuliza maswali yajibu kiume. Acha kutoa mipasho.

JE, WEWE NI HADIJA KOPPA!?
Mpumbavu nae huwa anajua Kuuliza Maswali? Umeanza kuwa na Akili lini hapa JamiiForums?
 
Ajabu kweli, eti mpira mzuri😂😂😂
Mpira mzuri dhidi ya team zipi. Wakati juzi tu wamecheza utopolo na wanigeria🚮🚮
Umeanza lini labda Kufuatilia Michezo?
 
Kama kawaida chizi kalogwa tena
 
Mpira mzuri dhidi ya akina nani?
Rivers utd wamewapiga nje ndani na kuwasepesha virago mapema.
(Usizungumzie darby, darby inabaki kuwa darby kokote duniani)
Sasa kama tu Wewe Mwana Simba SC Mwenzangu kuandika tu vyema na Kiufasaha neno 'Derby' umeshindwa na umeandika Kimakosa 'Darby' kwanini Watu wa Yanga SC wasitudharau, wasitucheke na watuite Makolo?
 
Mpumbavu nae huwa anajua Kuuliza Maswali? Umeanza kuwa na Akili lini hapa JamiiForums?
Acha mipasho Mzee.
Kama uzi umekushinda. Sepa.
Mechi za lingi yanga alizocheza.
1. Kagera
2. Geita Gold
3. KMC

Sasa uchambuzi wako huu wa kitoto umeegemea wapi!?
Yanga anatakiwa kucheza na team 15 mara mbili so far amecheza na team 3.

Uchambuzi wako ni wa taarabu. Nenda kaongee na ZUCHU.
🤣🤣🤣
 
Ajabu kweli, eti mpira mzuri😂😂😂
Mpira mzuri dhidi ya team zipi. Wakati juzi tu wamecheza utopolo na wanigeria🚮🚮
Huyu jamaa dish limeyumba. TV inaonesha chenga chenga.
 
Kama kawaida chizi kalogwa tena
Hivi BAKITA wanajua neno lako la 'Kalogwa' au lao la 'Karogwa' tu? Sasa kwa Kukosea huku neno hili tu jepesi na la Kawaida Mimi na Wewe Nani ameshajulikana na Kujianika kuwa ni Chizi 'aliyerogwa' tena?

Huwa nikiwadharau hapa siwakosei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…