Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unajua alichopitia?...punguza mdomo...wewe kwa Mwingira mchumba tu...
Wapi kainanga serikali?...mtu ameumizwa unaleta porojo?
Muache aseme mdomo ni wake hii inaweza kumpunguzia maumivu aliyopata.
Jibu ni kwamba, nyie majizi hamna uhalali hata wa kuhoji hicho unachohiji kwani nyie wenyewe ni watuhumiwa wa wizi wa mabilioni na mnahitaji kuchunguzwa.Jikite kwenye mada
Ajabu umeng'ang'ania ajira ya Serikali hii hii unayoiona ya weziJibu ni kwamba, nyie majizi hamna uhalali hata wa kuhoji hicho unachohiji kwani nyie wenyewe ni watuhumiwa wa wizi wa mabilioni na mnahitaji kuchunguzwa.
Eti hazikuwa za umma!!
Yaani unabwabwaja kama hauna meno vile. Wewe unaishi tz au marekani? Live practical life not theories bwashee. Tz rais ni zaidi ya Mungu.Huu uzwazwa wako ndo tunataka tuonfikane nao. Eti rais anaweza kufanya chichote na kwa wakati wowote! Kwani rais yuko juu ya Sheria au ni nyie mnaomkuza tu na kwa sababu ya elimu duni. Nenda marekani au Kenya uone rais anavyojambishwa mpaka anaombaga msamaha kwa wananchi.
Urais ni public service Kama wewe na Mimi na ndo Mana alitupigia magoti ili tumpe hiyo service aweze kula au apate kazi vinginevyo angekuwa jobles hivyo lazima awe na customer care kubwa tusimnyanganye kazi hiyo tukampa mwingine. Wewe ukitukanwa na boss wako kazini huwa unafanyaje? Ukimind acha kazi tutafute mwingine.
Haya siyo maneno ya askofu MwingiraNa aliyepo sasa hivi ni mtoto wa shetani...
Wabongo sio wa kuwalia yamini. Hata maofisini ndio hivyo hivyo mtakunywa bia mtainjoy utaona marafiki ndio hao sasa itokee umefukuzwa hapo hamna rangi utaacha ona.Wabongo ni Mabingwa sana wa USHABIKI na UNAFIKI.
Wataku-PUMP balaa ili ujichomeke kwenye VITA ukifikiri wako na wewe. Likikutokea lolote unajikuta uko peke yako.
Kama huwajui wabongo muulize Mange Kimambi, Mbowe, na Tundu Lissu.
Lissu aliwahi kukasirika mpaka kuita Taifa la waomba Mungu🤣
In short, Ili uonekane shujaa unatakiwa kuwa unaiponda sana serikali na Rais halafu na Rais anatakiwa akuache tu maana ndio unajijenga hivyo.
Na sasa hivi kwasababu ni Rais muislam, akianza kumpiga battle huyo mwingine, propagandanists wanaweza kuja na stori za kwasababu ni Mkristo, na unajua mashabiki wa bongo hawana akili.
Ila Rais anaweza kukufanya chochote wakati wowote na hakuna kitu utafanya.
Yuko wapi Azory Gwanda, Kanguye na Ben Saanane. Leo kila shabiki anaendelea na maisha yake utafikiri hakuna kitu kilichotokea.
Busara ni moja, usijiingize kupigana VITA ambayo unajua kabisa HUWEZI KUSHINDA.
Ipo video ya Mwingira hapo juu akionyesha kile ulichokiita ujinga sasa ukishamsikiliza ndiyo jijibu wewe na yeye nani mjinga zaidiMleta mada ni mjinga mkubwa!! Huu upuuzi mliokuwa mnamshauri jambazi mwenzenu mmesababishia hadi amekufa! Mwingira hapambani na Serikali, Mwingira anaongea ukweli kuhusu "Ushetani" uliokuwa unafanyika awamu ya 5, ukiongozwa na shetani kuu ambalo hatupo nalo kwa sasa! Serikali ya Samia haina muda wa kutumia nguvu kupambana na watu wanaoongea, ushetani huo ulizikwa 17-3-2021! Kama ambavyo Polepole, Gwajima na wengine wote watakaojisikia kuongea chochote na wanaachwa tu waongee, na Mwingira naye ana haki hiyoo!! Jinga sana wewe jamaa, akiongea Polepole kuikashifu awamu ya 6 mnashangilia, akiongea Mwingira kuonesha ushetani wa JPM mnafura....
Acha nikuheshimu tu kwa sababu tayari umeshasema askofu na si Askofu.Haya siyo maneno ya askofu Mwingira
Mswahili anajiangalia nafsi yake tu. Hata huyo Mwingira itakuwa kuna maslahi yake yameguswa hapo anapiga kelele ili aachwe au atupiwe mfupa atulie.Wabongo sio wa kuwalia yamini. Hata maofisini ndio hivyo hivyo mtakunywa bia mtainjoy utaona marafiki ndio hao sasa itokee umefukuzwa hapo hamna rangi utaacha ona.
“Hahahahah si unajua bongo bila unafiki maisha hayaendi” ~ Mbongo flaniMswahili anajiangalia nafsi yake tu.
Na kibaya zaidi kila mmoja anapenda mambo mazuri, ila hayo mambo mazuri anapenda yamkute akiwa amekaa tu ana-sip Wine.
Unaweza kumkuta mtu anaponda kazi fulani, anamsema mtu fulani kwamba yeye hawezi kushirikiana naye halafu nyuma ya pazia ndio mshirika wake.
Sasa wewe msikilize utajikuta umebaki peke yako.
..Mwananchi anayetaka kupambana na Serikali huku akisahau kuwa yeye ni laghai na tapeli wa sadaka za wengine akishughulikiwa kama mhuni kwa sababu tofauti na genge la wahuni basi ninyi wahuni wenzake msipige keleleSerikali inayopambana na wananchi badala ya kuwapambania haina tofauti na genge la wahuni
BROO UNA MALIZA NGUVU BURE WANAOKUBISHIA WENGI WAO WASUKUMA AMBAO WANAJIVIKA KITAMBAAA HAWAONI YALIYOFANYIKAHuu uzwazwa wako ndo tunataka tuonfikane nao. Eti rais anaweza kufanya chichote na kwa wakati wowote! Kwani rais yuko juu ya Sheria au ni nyie mnaomkuza tu na kwa sababu ya elimu duni. Nenda marekani au Kenya uone rais anavyojambishwa mpaka anaombaga msamaha kwa wananchi.
Urais ni public service Kama wewe na Mimi na ndo Mana alitupigia magoti ili tumpe hiyo service aweze kula au apate kazi vinginevyo angekuwa jobles hivyo lazima awe na customer care kubwa tusimnyanganye kazi hiyo tukampa mwingine. Wewe ukitukanwa na boss wako kazini huwa unafanyaje? Ukimind acha kazi tutafute mwingine.
Mkiambiwa ukweli ndio kupambana na dola?!,nonsense [emoji57][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Huwezi kushindana na dola yeyote Duniani na ukabaki salama.
Mwingira kwa mfano naona watu wameanza kumjaza kichwa eti aendelee kuinanga mamlaka kupitia jukwaa lake la dini jambo ambalo hana uwezo kwalo.
Watu kama kina Mwingira huishia kuropoka na mara waonapo mambo yanakuwa magumu kwao huamua kukimbia Nchi.Na ndicho kinaenda kutokea kwa huyo nabii wa kujiita.
Nabii gani unayemfahamu kwamba ni nabii au alikuwa nabii na ilikuwaje wewe ukamtambua kwamba alikuwa nabii na nani alimwita kuwa ni nabii? (Naona harufu ya chuki za kiimani hapa).Huwezi kushindana na dola yeyote Duniani na ukabaki salama.
Mwingira kwa mfano naona watu wameanza kumjaza kichwa eti aendelee kuinanga mamlaka kupitia jukwaa lake la dini jambo ambalo hana uwezo kwalo.
Watu kama kina Mwingira huishia kuropoka na mara waonapo mambo yanakuwa magumu kwao huamua kukimbia Nchi.Na ndicho kinaenda kutokea kwa huyo nabii wa kujiita.
Mwisho wa siku utaandika ukimtakia pole huku wewe unakula ugali pembeniMkiambiwa ukweli ndio kupambana na dola?!,nonsense [emoji57][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]