Msimvimbisheni kichwa Mwingira, hana uwezo wa kupambana na Serikali

Msimvimbisheni kichwa Mwingira, hana uwezo wa kupambana na Serikali

Issue siyo kukaa kimya ila ukianzisha vita, unaopigana nao wakikujibu hatutaki MALALAMIKO meeengi kuwa unaonewa.

Kwasababu ukianzisha vita maana yake umeona unaiweza.
Haujajibu swali ipasavyo, sasa kipi bora ukiona unaonewa au ukiona kuna mambo ya hovyo. Bora kukaa kimya au kusema??
 
Mwingira Kawapiga kwenye Mshono,. Mlichofanikiwa ni kuiondoa video yake Youtube ingesambaa mpaka matumbo ya uzazi yangewakamta
 
Hebu tupunguze kudemka..
Alichosema Mwingira ni kweli kafanyiwa au kadanganya?
 
Mmechange mada ya Mwingira na kutaka kumgombanisha na serikali hovyo kabisa. Tukumbuke Mwingira ni mtanzania na humpaswi kumwondolea haki yake kikatiba.
 
Huu uzwazwa wako ndo tunataka tuonfikane nao. Eti rais anaweza kufanya chichote na kwa wakati wowote! Kwani rais yuko juu ya Sheria au ni nyie mnaomkuza tu na kwa sababu ya elimu duni. Nenda marekani au Kenya uone rais anavyojambishwa mpaka anaombaga msamaha kwa wananchi.

Urais ni public service Kama wewe na Mimi na ndo Mana alitupigia magoti ili tumpe hiyo service aweze kula au apate kazi vinginevyo angekuwa jobles hivyo lazima awe na customer care kubwa tusimnyanganye kazi hiyo tukampa mwingine. Wewe ukitukanwa na boss wako kazini huwa unafanyaje? Ukimind acha kazi tutafute mwingine.
Huku kwetu kuna watu wanakiona na kukitukuza cheo cha urais, huku Rais ni mtukufu
 
Huwezi kushindana na dola yeyote Duniani na ukabaki salama.

Mwingira kwa mfano naona watu wameanza kumjaza kichwa eti aendelee kuinanga mamlaka kupitia jukwaa lake la dini jambo ambalo hana uwezo kwalo.

Watu kama kina Mwingira huishia kuropoka na mara waonapo mambo yanakuwa magumu kwao huamua kukimbia Nchi.Na ndicho kinaenda kutokea kwa huyo nabii wa kujiita.
Kuweka wazi Namna Mwendakuzimu alivyotaka Kumuua ndio Kushindana na Dola ?, How ?
 
Huwezi kushindana na dola yeyote Duniani na ukabaki salama.

Mwingira kwa mfano naona watu wameanza kumjaza kichwa eti aendelee kuinanga mamlaka kupitia jukwaa lake la dini jambo ambalo hana uwezo kwalo.

Watu kama kina Mwingira huishia kuropoka na mara waonapo mambo yanakuwa magumu kwao huamua kukimbia Nchi.Na ndicho kinaenda kutokea kwa huyo nabii wa kujiita.
Mtu akiongea ukweli anapambana na serikali? Takataka kabisa 🚮
 
Yeye ni mama na wao ni vijana...

Wakimzingua anawazingua...
 
Wabongo ni Mabingwa sana wa USHABIKI na UNAFIKI.

Wataku-PUMP balaa ili ujichomeke kwenye VITA ukifikiri wako na wewe. Likikutokea lolote unajikuta uko peke yako.

Kama huwajui wabongo muulize Mange Kimambi, Mbowe, na Tundu Lissu.

Lissu aliwahi kukasirika mpaka kuita Taifa la waomba Mungu🤣

In short, Ili uonekane shujaa unatakiwa kuwa unaiponda sana serikali na Rais halafu na Rais anatakiwa akuache tu maana ndio unajijenga hivyo.

Na sasa hivi kwasababu ni Rais muislam, akianza kumpiga battle huyo mwingine, propagandanists wanaweza kuja na stori za kwasababu ni Mkristo, na unajua mashabiki wa bongo hawana akili.

Ila Rais anaweza kukufanya chochote wakati wowote na hakuna kitu utafanya.

Yuko wapi Azory Gwanda, Kanguye na Ben Saanane. Leo kila shabiki anaendelea na maisha yake utafikiri hakuna kitu kilichotokea.

Busara ni moja, usijiingize kupigana VITA ambayo unajua kabisa HUWEZI KUSHINDA.
Mawazo yako ya kijinga kama aliyokuwa nayo Magu hayajakutoka...kwamba mtu akiongea ukweli ambao haukupendezi inabidi auawe...haya sasa, huyo Punda yuko wapi sasaiv?
 
Huwezi kushindana na dola yeyote Duniani na ukabaki salama.

Mwingira kwa mfano naona watu wameanza kumjaza kichwa eti aendelee kuinanga mamlaka kupitia jukwaa lake la dini jambo ambalo hana uwezo kwalo.

Watu kama kina Mwingira huishia kuropoka na mara waonapo mambo yanakuwa magumu kwao huamua kukimbia Nchi.Na ndicho kinaenda kutokea kwa huyo nabii wa kujiita.
Hakuna popote Mwingira aliposema kuwa anapambana na serikali, na hakuna yoyote aliyesema kuwa Mwingira anapambana nan serikali.
Kilichofanyika ni kwamba Mwingira ameweka wazi roho mbaya za nyie wanaCCM na ukatili mliokusudia kuufanya dhidi ya uhai wake.

Hivi nyie praise team ni kwanini huwa mnapanic namna hii kila mkibananishwa kwenye kona ya kitanda???
 
Yule ni mhuni na tapeli.

Serikali ilifunga benki yake kwa sababu pesa nyingi za hovyo zilikuwa zinapitia kwake akafura!

Serikali imemnyang'anya mashamba aliyowadhulumu wananchi akafura!

Kuna tetesi Serikali inaendelea kumhoji ni wapi zaidi ya pesa bilioni 3 zilizopitia kwenye ac yake zilitokea na imezuia yeye kuzichukua benki amefura!

Mwingira hana usafi huo wa kufikia kuinyooshea kidole mamlaka eti kwa nyendo zake yule ni mzee wa fursa.
Hizi allegations umezileta hapa JF kujibu mahubiri yake?Bil 3 za nani?Bank a/c yake una access nayo na unafuatilia balance zake ukiwa wapi?Funguka.
Unaihusisha GoT na aliyoyakemea mhubiri katika mahubiri yake?
 
Mawazo yako ya kijinga kama aliyokuwa nayo Magu hayajakutoka...
Wewe mawazo ya kijanja kama aliyokuwa nayo babu yako yako wapi ? Huna akili
kwamba mtu akiongea ukweli ambao haukupendezi inabidi auawe...haya sasa, huyo Punda yuko wapi sasaiv?
Ukweli ni nini ?

Wapi nimesema mtu auwawe?

Huko aliko huyo Punda ndiko na wewe unakoelekea.
 
Back
Top Bottom